Aliyekuwa askofu Konde aondolewa wakfu. Fimbo, msalaba na pete yake vyaondolewa wakfu pia. Sasa atabakia kuwa muumini wa kawaida

Aliyekuwa askofu Konde aondolewa wakfu. Fimbo, msalaba na pete yake vyaondolewa wakfu pia. Sasa atabakia kuwa muumini wa kawaida

Si unajua raisi wao ni kutoka kwa kabila linaloota pesa nae kawaambukiza maaskofu wenzake,

Si unajua raisi wao ni kutoka kwa kabila linaloota pesa nae kawaambukiza maaskofu wenzake, wote ni wachovya asali
Huyo rais was amekaa miaka mingapi kiasi cha kuwazoeza kulamba asali? Watu wenye mawazo kama yako ya kikabila wanatia fedheha sana!
 
Kuna watu hawasali Lutheran lakin wanajifanya wanaijua Sana KKKT wabongo vichwa maji ujuaji mwingi mwingine anajikuta anaijua Urusi na marekani nje ndani Kama wew s mlutheri s ukae kimya wengine hawaijui hata urus na marekani wako bara gan lakin wanajikuta wajuaji Wabongo acheni ujuaji kwa vutu ambavyo hamvijui
 
Kwani alitoka kuwa muumini wa kawaida hadi kuwa askofu? labda waseme wanamwondelea uaskofu abaki na uchungaji lakini siyo kusema abaki kuwa muumini wa kawaida.
 
Mwingira aliitangulia KKKT kuanzisha benki, Tv, Kilimo na Ufugaji Katavi, Sacoss, mgodi Arusha nk. Fernandes pia aliitangulia Pentecost kuanzisha Tv, Gamanywa naye akatangulia kuanzisha redio na gazeti, wapentekoste wakamzulia ugomvi kwamba redio ni yao, kumbe hawakujuwa redio siyo mitambo ambayo ndiyo ilikuwa yao, huku Gamanywa akimiliki leseni na masafa, ndiyo wakaja kujuwa kwamba kumbe redio ni leseni na masafa, siyo mitambo na news room.
huku kwetu tuna redio inaitwa upendo hapa pwani tu haipatikani inalazimu tusikilize redio ya wapo.

kkkt mna nini lakini. nani kawaondolea ROHO MTAKATIFU WA MUNGU ?

namtamani hata dada yangu aliyeamua kusali kwa lazaro.
 
KKK (T) inachekesha sana hapa duniani.

Maswali wasiyoweza kujibu:

1. Wakfu huwa ni wa binadamu au MUNGU?

2. Kwanini Kanisa lina madeni yasiyolipika kama ya HIPC?

3. Kwanini Maaskofu hawawezi kuhamishwa Dayosisi? (Wako autonomous)

4. Kwanini Watumishi wanakosaga mishahara wakati fulani na mara nyingi?

5. Kwanini Maaskofu wengine wana muda maalum wa kutumika na wengine wanakaa hadi kustaafu kwa Kanisa hilo hilo moja?

6. Kama Kanisa limewekeza kwenye elimu kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuu kwanini watoto wa watumishi wanafukuzwa shule kwa kukosa ada? Utumishi wa wazazi wao hautoshi kuwa dhamana ya kusoma bila ada? (kwanini wasipewe scholarship?)

7. Kama Kanisa limewekeza kwenye afya kuanzia afya ya msingi hadi ya umma (Primary to Public Health) kwa maana ya zahanati, vituo vya afya, hospitali, hospitali teule, hospitali za rufaa, hospitali za umahiri (consultant hospitals) kwanini watumishi na familia zao wafe kwa kukosa ela za medical evacuation kwenda ughaibuni? Kwanini wanakuwa ombaomba kwa ndugu, jamaa, marafiki, majirani, waumini ndiyo wawachangie?

8. Kwanini watumishi wanaoondolewa wakfu wakienda wakaanzisha Makanisa yao au Huduma zao wanafanikiwa sana? Wakfu huwa ni wa binadamu au MUNGU? Angalia Mwingira alikuwa Mwinjilisti wa KKKT, angalia Fernandes alikuwa Mchungaji wa Pentecost, angalia Moses Kulola alitimuliwa TAG akaanzisha EAGT, Gamanywa aliondoka Pentecost nk nk.

9. Kwanini asilimia 90 ya watumishi kwenye Makanisa haya ya Kimagharibi wanafanikiwa kiuchumi nje ya mfumo wanaouhubiri? Wakianzisha na kusimama kwenye Makanisa yao au Huduma zao ndipo wanapopata mafanikio makubwa na kuwa Mamilionea. Mwingira aliitangulia KKKT kuanzisha benki, Tv, Kilimo na Ufugaji Katavi, Sacoss, mgodi Arusha nk. Fernandes pia aliitangulia Pentecost kuanzisha Tv, Gamanywa naye aliitangulia Pentecost kuanzisha media..

10. Kwanini watumishi wanaotumika kwenye vituo vya Dayosisi (siyo Dayosisi kwenyewe) baadhi yao wana ugomvi wa sadaka na waumini?

11. Kwanini KKKT, Moravian (version zote mbili) na Anglikana Mchungaji au Askofu anaweza kupigwa na waumini au kufukuzwa?

Hapo juu namba 4, 6, 7, 9 na 10 wahanga wake ni watumishi walio chini kwenye vituo vya Dayosisi, siyo walio makao makuu ya Dayosisi.
Vyote ulivyouliza vinamajibu ila kujibu mpumbavu ni kuipoteza muda

Hujui kuhusu kkkt
 
Wewe mburula, hizo ni taarifa zinapatikana kwenye public domains. Wengine sisi ni wanasheria tumehusika kwenye cases nyingi ya taasisi mbalimbali zikiwemo za dini hivyo tunajua.

Una akili ndogo sio rahisi kuelewa mambo mengi kwa wakati mmoja.
Wewe utakuwa juha kabisa unapojiita mwanasheria wewe unajihisi upo mwenyewe? Nahakika utakuwa unajitolea somewhere ndo huwa mnambwbwe sana
 
Mwingira aliitangulia KKKT kuanzisha benki, Tv, Kilimo na Ufugaji Katavi, Sacoss, mgodi Arusha nk. Fernandes pia aliitangulia Pentecost kuanzisha Tv, Gamanywa naye akatangulia kuanzisha redio na gazeti, wapentekoste wakamzulia ugomvi kwamba redio ni yao, kumbe hawakujuwa redio siyo mitambo ambayo ndiyo ilikuwa yao, huku Gamanywa akimiliki leseni na masafa, ndiyo wakaja kujuwa kwamba kumbe redio ni leseni na masafa, siyo mitambo na news room.
Kaanzishe na wewe kanisa lako ujue siri ya urembo sio kutuuliza sisi.
 
huku kwetu tuna redio inaitwa upendo hapa pwani tu haipatikani inalazimu tusikilize redio ya wapo.

kkkt mna nini lakini. nani kawaondolea ROHO MTAKATIFU WA MUNGU ?

namtamani hata dada yangu aliyeamua kusali kwa lazaro.
Kkkt haina sheria ya kukubana au kukulazimisha ubaki hapo, hupo free kusali unako taka ukawe na amani.......
Redio ipo inaitwa upendo lkn inawalazimu kusikiliza wapo!?!? Uliambiwa lazima ukiwa kkkt usikilize upendo.....

Kkkt itabaki hivyo ilivyo..kasoro haziwezi kosekana kwa cse inaendeshwa na wanadamu kama wewe.
 
huku kwetu tuna redio inaitwa upendo hapa pwani tu haipatikani inalazimu tusikilize redio ya wapo.

kkkt mna nini lakini. nani kawaondolea ROHO MTAKATIFU WA MUNGU ?

namtamani hata dada yangu aliyeamua kusali kwa lazaro.
Ulimsikia wapi Roho Mtakatifu anasikiliza redio?
 
Ukitaka kulielewa hili vizuri ni kama Magufuli alivyomuondowa CAG Profesa Assad wakati hakuwa na mamlaka hayo kikatiba.

Hivyo basi Askofu wa mnyororo akishawekwa wakfu hakuna mwenye uwezo wa kumvuwa huo Uaskofu hilo halipo.

Kinachowezekana ni kumvuwa tu madaraka ya Kiaskofu kwenye dayosisi na mfano mzuri ni Askofu Mokiwa wa Anglican alivuliwa madaraka tu lakini bado ni Akofu.

Huwezi kumvuwa Jaji title yake, huwezi kumvuwa mwalimu tittle yake, kinachoendelea Konde ni bangi tu kuzidi kutuamsha kwamba dini ni biashara na hii ni vita ya kimaslahi.
Tunachanganyana tu kwa sababu ya ujinga wetu.Mtu anakuwa mchungaji kwa sababu anachunga watu,akiacha kuchunga/kjsimamia kundi la watu mfano akawa mfanyabiashara anakuwa siyo mchungaji tena.
Askofu ni mwangalizi wa dayosisi.Yaani dayosisi ni eneo linakuwa lina makanisa mengi alafu askofu anayasimamia yale makanisa.Au anawasimamia wale wachungaji,sasa wakimuondolea madaraka hayo anaendeleaje kuwa askofu.
Huyo anakuwa kama mtu aliyefukuzwa kazinya ualimu ila anaitwa mwalimu.Ila kimsingi siyo mwalimu.
 
Dini ni biashara kama biashara nyingine tu
Tofauti ni kwamba biashara ya dini inalipa haina hasara.

Wewe kazi yako ni kuwajaza hofu kondoo mazoba kuhusu mbinguni wakati wewe mwenyewe hujawahi kufika mbinguni na hujui hatma yako.
 
Tofauti ni kwamba biashara ya dini inalipa haina hasara.

Wewe kazi yako ni kuwajaza hofu kondoo mazoba kuhusu mbinguni wakati wewe mwenyewe hujawahi kufika mbinguni na hujui hatma yako.
Hhahahah !! Kabisa kaka!
 
Back
Top Bottom