Aliyekuwa askofu Konde aondolewa wakfu. Fimbo, msalaba na pete yake vyaondolewa wakfu pia. Sasa atabakia kuwa muumini wa kawaida

Aliyekuwa askofu Konde aondolewa wakfu. Fimbo, msalaba na pete yake vyaondolewa wakfu pia. Sasa atabakia kuwa muumini wa kawaida

Kanisa la KKKT Dayosisi ya Konde leo imetangaza kumwondolea wakfu wa Uaskofu aliyekuwa askofu wa Dayosisi hiyo, Dk. Edward Mwaikali.

Pia imeviondolea wakfu vifaa vya Kiaskofu alivyokuwa anatumia kama pete, msalaba pamoja na fimbo ambavyo alikabidhiwa tarehe 18 Januari 2018 alipowekwa wakfu kuiongoza Dayosisi ya Konde.

Uamuzi huo umefanyika leo Jumapili Juni 5, 2022 wakati wa lbada ya kumweka wakfu mrithi wake, Dk. Geofrey Mwakihaba.

Wamefikia hatua hiyo baada ya Dk. Mwaikali kugoma kuvirejesha ili vitumike kwa mrithi wake kwa mujibu wa taratibu za kanisa hilo.

Dk. Mwaikali aliondolewa madarakani tarehe 22 Machi 2022 na Mkutano Mkuu Maalum wa KKKT Dayosisi hiyo kwa kile kilichoelezwa kushindwa kuiongoza vyema.

Vitu vingine ambavyo amegoma kuvirejesha ni kiti cha uaskofu na mavazi ambavyo navyo vimeondolewa wakfu.

View attachment 2251168
kwahiyo yeye sasaivi atakuwa anafanya kazi gani? au ndio jobless? wamempa mafao yake, kuna maslahi yeyote au ndo nitolee?
 
kwahiyo yeye sasaivi atakuwa anafanya kazi gani? au ndio jobless? wamempa mafao yake, kuna maslahi yeyote au ndo nitolee?
KKKT wainjikisti,wachungaji na maaskofu huwa kwenye mfuko wa NSSF unalipwa.kiinua mgongo na NSSF na Pension ya kila mwezi unalipwa na NSSF

Ukiondoka unamalizana na NSSF tofauti na makanisa mengine
 
Kanisa la KKKT Dayosisi ya Konde leo imetangaza kumwondolea wakfu wa Uaskofu aliyekuwa askofu wa Dayosisi hiyo, Dk. Edward Mwaikali.

Pia imeviondolea wakfu vifaa vya Kiaskofu alivyokuwa anatumia kama pete, msalaba pamoja na fimbo ambavyo alikabidhiwa tarehe 18 Januari 2018 alipowekwa wakfu kuiongoza Dayosisi ya Konde.

Uamuzi huo umefanyika leo Jumapili Juni 5, 2022 wakati wa lbada ya kumweka wakfu mrithi wake, Dk. Geofrey Mwakihaba.

Wamefikia hatua hiyo baada ya Dk. Mwaikali kugoma kuvirejesha ili vitumike kwa mrithi wake kwa mujibu wa taratibu za kanisa hilo.

Dk. Mwaikali aliondolewa madarakani tarehe 22 Machi 2022 na Mkutano Mkuu Maalum wa KKKT Dayosisi hiyo kwa kile kilichoelezwa kushindwa kuiongoza vyema.

Vitu vingine ambavyo amegoma kuvirejesha ni kiti cha uaskofu na mavazi ambavyo navyo vimeondolewa wakfu.
Kwani vitu walivyomuondolea vinamaajabu gani ktk utendaji?
 
Mimi sio muumini wa dini kwa sababu mungu hayupo ila dini kama taasisi za kihiyari zina taratibu zake na lazima kama unataka kua muumini ama kiongozi ufuate hizo taratibu.

Huyo askofu alienda kinyume na taratibu za kanisa na kujiona ni mkubwa kuliko kanisa sasa kanisa limemmaliza kabisa.

Ni vyema watu kuheshimu taratibu za taasisi walizokubali kwa hiyari yao kua wanachama ama viongozi.

Nakumbuka miaka ile ya kuibuka kwa makanisa ya kilokole, kiongozi mmoja wa kanisa la kilokole, Kulola aliasi TAG na akaamua kukatalia majengo na makanisa ya TAG. Tukawa tunajiuliza kama umeamua kua mwenyewe kivyako si uachie vitu vya watu, ikawa shida kubwa.

The same ikaja kwa Free Pentecoste church na Pentecoste church of Tanzania, Mlima wa Moto(Juzi nimesikia mchungaji wa mlima wa moto amefichwa tabata na changudoa toka mwezi wa 2, hii ni balaatupu mchungaji kutekeleza kondoo aliopewa awaongoze amejificha kwa malaya anakula utamu tu) na TAG, Father Nkwere na Kanisa Katoliki nk.
Utamu kitu ingine wewe acha kumlaumu huyo mtumishi wa Bwana naye ana haki ya kula utamu ambao Mungu wetu ameuumba kwa ajili yetu sote.
 
Kanisa la KKKT Dayosisi ya Konde leo imetangaza kumwondolea wakfu wa Uaskofu aliyekuwa askofu wa Dayosisi hiyo, Dk. Edward Mwaikali.

Pia imeviondolea wakfu vifaa vya Kiaskofu alivyokuwa anatumia kama pete, msalaba pamoja na fimbo ambavyo alikabidhiwa tarehe 18 Januari 2018 alipowekwa wakfu kuiongoza Dayosisi ya Konde.

Uamuzi huo umefanyika leo Jumapili Juni 5, 2022 wakati wa lbada ya kumweka wakfu mrithi wake, Dk. Geofrey Mwakihaba.

Wamefikia hatua hiyo baada ya Dk. Mwaikali kugoma kuvirejesha ili vitumike kwa mrithi wake kwa mujibu wa taratibu za kanisa hilo.

Dk. Mwaikali aliondolewa madarakani tarehe 22 Machi 2022 na Mkutano Mkuu Maalum wa KKKT Dayosisi hiyo kwa kile kilichoelezwa kushindwa kuiongoza vyema.

Vitu vingine ambavyo amegoma kuvirejesha ni kiti cha uaskofu na mavazi ambavyo navyo vimeondolewa wakfu.

View attachment 2251168

Moshi. Wiki moja baada ya kuvuliwa madaraka, aliyekuwa askofu wa Dayosisi ya Konde ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Edward Mwaikali na baadhi ya wachungaji na waumini wamejitenga na kanisa hilo.

Uamuzi huo ulitangazwa jana katika Kanisa Kuu la Ruanda jijini Mbeya na Dk Mwaikali aliyesema yeye, wachungaji na waumini wanaomuunga mkono sasa watakuwa wanaabudu katika Kanisa la Kiinjili Afrika Mashariki (KKAM).

KKAM lilianzishwa mwaka 1999 na kupata usajili mwaka 2005 na tayari limepanuka na kusambaa katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Tanga, Manyara, Singida, Tabora, Shinyanga, Dar es Salaam na lipo katika hatua za mwisho kuanzisha tawi mkoani Mwanza.

Jumapili ya Juni 5, KKKT Dayosisi ya Konde ilitangaza kumvua uaskofu Dk Mwaikali na liliviondolea wakfu vifaa vya uaskofu ambavyo ni pete, msalaba, fimbo na mavazi ambayo bado anayo askofu huyo.

Uamuzi huo umetokana na mgogoro uliodumu katika dayosisi hiyo kwa muda mrefu ambapo wajumbe wa mkutano mkuu maalum uliofanyika Aprili walipiga kura ya kumwondoa madarakani na kumchagua Geofrey Mwakihaba kuirithi nafasi yake.

Hata hivyo, wiki moja tu baada ya kuondolewa, Dk Mwaikali jana alitangaza kujiunga KKAM, kanisa lililoasisiwa na Askofu Mkuu Jesse Angowi aliyewahi kuwa kingozi wa KKKT.

ADVERTISEMENT
Bado haijawekwa wazi Dk Mwaikali, wachungaji wake na waumini waliotangaza kuondoka naye watatumia majengo gani kuendesha ibada kwa kuwa tayari mkuu wa KKKT, Askofu Fredrick Shoo alionya wasizitumie rasilimali za kanisa hilo.



Alichokisema Dk Mwaikali

Akizungumza ndani ya Kanisa Kuu la KKKT Ruanda jana, Dk Mwaikali alisema tayari KKAM walishawaandikia barua ya kuwapokea na walishawatumia cheti cha usajili wa kanisa.

“Hawa ndugu zetu wa Kanisa la Kiinjili la Afrika Mashariki tayari walishatuandikia barua ya kutupokea na wametutumia cheti cha usajili,” alisema Dk Mwaikali ambaye anakubalika kwa baadhi ya washarika wa Dayosisi ya Konde.

“Na sisi kwa uamuzi wa kura zenu natangaza rasmi kwamba na sisi tutakwenda kwenye mwavuli huo. Kama nilivyowatangazia kwamba siku ya utambulisho rasmi tutawaalika maaskofu wa kanisa hilo waje,” alisema Dk Mwaikali.

Mchungaji Nyibuko Mwambola aliwatoa hofu waumini wanaohamia KKAM kuwa Dk Mwaikali hakushindwa kesi bali mahakama iliwataka wapatane hivyo wapo kwenye utaratibu huo.

“Kama mahakama imesema mkapatane si Serikali wala polisi wanaoweza kuingilia. Tujitahidi sana kutunza amani. Sisi ni wachungaji tukitoka huko nje ni wananchi tuna haki ya kusema na asiwepo wa kunyanyaswa,” alisema Dk Mwambola.

Mmoja wa waumini, Baraka Mwasambamba alisema wamefurahi kuhamia KKAM na popote atakapokuwapo Dk Mwaikali watakuwa upande wake.

“Mzazi akikuambia sikutambui unatafuta namna ya kujisitiri ili maisha yaendelee. Huu mgogoro umetutesa sana na unatuumiza vichwa,”alisema.

ADVERTISEMENT
 
Saizi dini ni biashara huyo askofu alikuwa hali na kipofu

Moshi. Wiki moja baada ya kuvuliwa madaraka, aliyekuwa askofu wa Dayosisi ya Konde ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Edward Mwaikali na baadhi ya wachungaji na waumini wamejitenga na kanisa hilo.

Uamuzi huo ulitangazwa jana katika Kanisa Kuu la Ruanda jijini Mbeya na Dk Mwaikali aliyesema yeye, wachungaji na waumini wanaomuunga mkono sasa watakuwa wanaabudu katika Kanisa la Kiinjili Afrika Mashariki (KKAM).

KKAM lilianzishwa mwaka 1999 na kupata usajili mwaka 2005 na tayari limepanuka na kusambaa katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Tanga, Manyara, Singida, Tabora, Shinyanga, Dar es Salaam na lipo katika hatua za mwisho kuanzisha tawi mkoani Mwanza.

Jumapili ya Juni 5, KKKT Dayosisi ya Konde ilitangaza kumvua uaskofu Dk Mwaikali na liliviondolea wakfu vifaa vya uaskofu ambavyo ni pete, msalaba, fimbo na mavazi ambayo bado anayo askofu huyo.

Uamuzi huo umetokana na mgogoro uliodumu katika dayosisi hiyo kwa muda mrefu ambapo wajumbe wa mkutano mkuu maalum uliofanyika Aprili walipiga kura ya kumwondoa madarakani na kumchagua Geofrey Mwakihaba kuirithi nafasi yake.

Hata hivyo, wiki moja tu baada ya kuondolewa, Dk Mwaikali jana alitangaza kujiunga KKAM, kanisa lililoasisiwa na Askofu Mkuu Jesse Angowi aliyewahi kuwa kingozi wa KKKT.

ADVERTISEMENT
Bado haijawekwa wazi Dk Mwaikali, wachungaji wake na waumini waliotangaza kuondoka naye watatumia majengo gani kuendesha ibada kwa kuwa tayari mkuu wa KKKT, Askofu Fredrick Shoo alionya wasizitumie rasilimali za kanisa hilo.



Alichokisema Dk Mwaikali

Akizungumza ndani ya Kanisa Kuu la KKKT Ruanda jana, Dk Mwaikali alisema tayari KKAM walishawaandikia barua ya kuwapokea na walishawatumia cheti cha usajili wa kanisa.

“Hawa ndugu zetu wa Kanisa la Kiinjili la Afrika Mashariki tayari walishatuandikia barua ya kutupokea na wametutumia cheti cha usajili,” alisema Dk Mwaikali ambaye anakubalika kwa baadhi ya washarika wa Dayosisi ya Konde.

“Na sisi kwa uamuzi wa kura zenu natangaza rasmi kwamba na sisi tutakwenda kwenye mwavuli huo. Kama nilivyowatangazia kwamba siku ya utambulisho rasmi tutawaalika maaskofu wa kanisa hilo waje,” alisema Dk Mwaikali.

Mchungaji Nyibuko Mwambola aliwatoa hofu waumini wanaohamia KKAM kuwa Dk Mwaikali hakushindwa kesi bali mahakama iliwataka wapatane hivyo wapo kwenye utaratibu huo.

“Kama mahakama imesema mkapatane si Serikali wala polisi wanaoweza kuingilia. Tujitahidi sana kutunza amani. Sisi ni wachungaji tukitoka huko nje ni wananchi tuna haki ya kusema na asiwepo wa kunyanyaswa,” alisema Dk Mwambola.

Mmoja wa waumini, Baraka Mwasambamba alisema wamefurahi kuhamia KKAM na popote atakapokuwapo Dk Mwaikali watakuwa upande wake.

“Mzazi akikuambia sikutambui unatafuta namna ya kujisitiri ili maisha yaendelee. Huu mgogoro umetutesa sana na unatuumiza vichwa,”alisema.

ADVERTISEMENT
 
Kutoka ASKOFU hadi kuwa Muumini, tena wa kawaida. Aisee!! Hapana. Hii ni Adhabu kali sana. Mimi ningehama Mji kabisa.

Kuna 'kitu' hakiko sawa katika Uongozi wa KKKT.

Moshi. Wiki moja baada ya kuvuliwa madaraka, aliyekuwa askofu wa Dayosisi ya Konde ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Edward Mwaikali na baadhi ya wachungaji na waumini wamejitenga na kanisa hilo.

Uamuzi huo ulitangazwa jana katika Kanisa Kuu la Ruanda jijini Mbeya na Dk Mwaikali aliyesema yeye, wachungaji na waumini wanaomuunga mkono sasa watakuwa wanaabudu katika Kanisa la Kiinjili Afrika Mashariki (KKAM).

KKAM lilianzishwa mwaka 1999 na kupata usajili mwaka 2005 na tayari limepanuka na kusambaa katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Tanga, Manyara, Singida, Tabora, Shinyanga, Dar es Salaam na lipo katika hatua za mwisho kuanzisha tawi mkoani Mwanza.

Jumapili ya Juni 5, KKKT Dayosisi ya Konde ilitangaza kumvua uaskofu Dk Mwaikali na liliviondolea wakfu vifaa vya uaskofu ambavyo ni pete, msalaba, fimbo na mavazi ambayo bado anayo askofu huyo.

Uamuzi huo umetokana na mgogoro uliodumu katika dayosisi hiyo kwa muda mrefu ambapo wajumbe wa mkutano mkuu maalum uliofanyika Aprili walipiga kura ya kumwondoa madarakani na kumchagua Geofrey Mwakihaba kuirithi nafasi yake.

Hata hivyo, wiki moja tu baada ya kuondolewa, Dk Mwaikali jana alitangaza kujiunga KKAM, kanisa lililoasisiwa na Askofu Mkuu Jesse Angowi aliyewahi kuwa kingozi wa KKKT.

ADVERTISEMENT
Bado haijawekwa wazi Dk Mwaikali, wachungaji wake na waumini waliotangaza kuondoka naye watatumia majengo gani kuendesha ibada kwa kuwa tayari mkuu wa KKKT, Askofu Fredrick Shoo alionya wasizitumie rasilimali za kanisa hilo.



Alichokisema Dk Mwaikali

Akizungumza ndani ya Kanisa Kuu la KKKT Ruanda jana, Dk Mwaikali alisema tayari KKAM walishawaandikia barua ya kuwapokea na walishawatumia cheti cha usajili wa kanisa.

“Hawa ndugu zetu wa Kanisa la Kiinjili la Afrika Mashariki tayari walishatuandikia barua ya kutupokea na wametutumia cheti cha usajili,” alisema Dk Mwaikali ambaye anakubalika kwa baadhi ya washarika wa Dayosisi ya Konde.

“Na sisi kwa uamuzi wa kura zenu natangaza rasmi kwamba na sisi tutakwenda kwenye mwavuli huo. Kama nilivyowatangazia kwamba siku ya utambulisho rasmi tutawaalika maaskofu wa kanisa hilo waje,” alisema Dk Mwaikali.

Mchungaji Nyibuko Mwambola aliwatoa hofu waumini wanaohamia KKAM kuwa Dk Mwaikali hakushindwa kesi bali mahakama iliwataka wapatane hivyo wapo kwenye utaratibu huo.

“Kama mahakama imesema mkapatane si Serikali wala polisi wanaoweza kuingilia. Tujitahidi sana kutunza amani. Sisi ni wachungaji tukitoka huko nje ni wananchi tuna haki ya kusema na asiwepo wa kunyanyaswa,” alisema Dk Mwambola.

Mmoja wa waumini, Baraka Mwasambamba alisema wamefurahi kuhamia KKAM na popote atakapokuwapo Dk Mwaikali watakuwa upande wake.

“Mzazi akikuambia sikutambui unatafuta namna ya kujisitiri ili maisha yaendelee. Huu mgogoro umetutesa sana na unatuumiza vichwa,”alisema.

ADVERTISEMENT
 
Ni nini wameamua kumdhihaki hivi.

Wameshindwa kumstahi hata kidogo mpaka wanamdhalilisha hivi.

Hivi vitu unaweza ona ni kawaida ila vinaumiza moyo.

Wao wana uhakika upi kuwa ni watumishi halali wa Bwana.
Alibembelezwa sana, amekaa vikao na maaskofu wenzie Mara nyingi wakimsihi aache uamzi ulioleta mgogoro wa kuhamisha dayosisi, lakini Kama walivyo raia wengine wa Kyela ni full misimamo, option iliyobaki ni hiyo...
 
Moshi. Wiki moja baada ya kuvuliwa madaraka, aliyekuwa askofu wa Dayosisi ya Konde ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Edward Mwaikali na baadhi ya wachungaji na waumini wamejitenga na kanisa hilo.

Uamuzi huo ulitangazwa jana katika Kanisa Kuu la Ruanda jijini Mbeya na Dk Mwaikali aliyesema yeye, wachungaji na waumini wanaomuunga mkono sasa watakuwa wanaabudu katika Kanisa la Kiinjili Afrika Mashariki (KKAM).

KKAM lilianzishwa mwaka 1999 na kupata usajili mwaka 2005 na tayari limepanuka na kusambaa katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Tanga, Manyara, Singida, Tabora, Shinyanga, Dar es Salaam na lipo katika hatua za mwisho kuanzisha tawi mkoani Mwanza.

Jumapili ya Juni 5, KKKT Dayosisi ya Konde ilitangaza kumvua uaskofu Dk Mwaikali na liliviondolea wakfu vifaa vya uaskofu ambavyo ni pete, msalaba, fimbo na mavazi ambayo bado anayo askofu huyo.

Uamuzi huo umetokana na mgogoro uliodumu katika dayosisi hiyo kwa muda mrefu ambapo wajumbe wa mkutano mkuu maalum uliofanyika Aprili walipiga kura ya kumwondoa madarakani na kumchagua Geofrey Mwakihaba kuirithi nafasi yake.

Hata hivyo, wiki moja tu baada ya kuondolewa, Dk Mwaikali jana alitangaza kujiunga KKAM, kanisa lililoasisiwa na Askofu Mkuu Jesse Angowi aliyewahi kuwa kingozi wa KKKT.

ADVERTISEMENT
Bado haijawekwa wazi Dk Mwaikali, wachungaji wake na waumini waliotangaza kuondoka naye watatumia majengo gani kuendesha ibada kwa kuwa tayari mkuu wa KKKT, Askofu Fredrick Shoo alionya wasizitumie rasilimali za kanisa hilo.



Alichokisema Dk Mwaikali

Akizungumza ndani ya Kanisa Kuu la KKKT Ruanda jana, Dk Mwaikali alisema tayari KKAM walishawaandikia barua ya kuwapokea na walishawatumia cheti cha usajili wa kanisa.

“Hawa ndugu zetu wa Kanisa la Kiinjili la Afrika Mashariki tayari walishatuandikia barua ya kutupokea na wametutumia cheti cha usajili,” alisema Dk Mwaikali ambaye anakubalika kwa baadhi ya washarika wa Dayosisi ya Konde.

“Na sisi kwa uamuzi wa kura zenu natangaza rasmi kwamba na sisi tutakwenda kwenye mwavuli huo. Kama nilivyowatangazia kwamba siku ya utambulisho rasmi tutawaalika maaskofu wa kanisa hilo waje,” alisema Dk Mwaikali.

Mchungaji Nyibuko Mwambola aliwatoa hofu waumini wanaohamia KKAM kuwa Dk Mwaikali hakushindwa kesi bali mahakama iliwataka wapatane hivyo wapo kwenye utaratibu huo.

“Kama mahakama imesema mkapatane si Serikali wala polisi wanaoweza kuingilia. Tujitahidi sana kutunza amani. Sisi ni wachungaji tukitoka huko nje ni wananchi tuna haki ya kusema na asiwepo wa kunyanyaswa,” alisema Dk Mwambola.

Mmoja wa waumini, Baraka Mwasambamba alisema wamefurahi kuhamia KKAM na popote atakapokuwapo Dk Mwaikali watakuwa upande wake.

“Mzazi akikuambia sikutambui unatafuta namna ya kujisitiri ili maisha yaendelee. Huu mgogoro umetutesa sana na unatuumiza vichwa,”alisema.

ADVERTISEMENT
Watu wa Kyela Wana shida hio, walijitenga Kanisa la Moravian Tanzania KMT wakaanzisha Kanisa la kiinjili la Moravian, wamejitenga na KKKT wakaanzisha la kwao, Hadi chama Cha waalimu CWT wamejitenga wameanzisha CHAKUNINI..sijui, nashangaa wameshindwa kujitenga na CCM.
 
Back
Top Bottom