Acha upimbi. Unapata faida gani kuombea watu vifo?
😳😳😳 mjumbe vipi tena, mbona kama huna uchungu wa msure wa dada Vicky kuondoka?Duuu
Hili SHUWA limeondoka? Ila hata hivyo limekula Sana maisha hata akiondoka poa tu
Mkuu umenifumbua macho, ngoja nilitafiti na mimi hili, wanaume namba inapungua.Tafiti isiyo rasmi: 96% ya death cases ni wanaume aged beyond 50 years. #TuwalindeWababa!
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Duuu
Hili SHUWA limeondoka? Ila hata hivyo limekula Sana maisha hata akiondoka poa tu
Mvaa Barakoa wa Jana High Table wa Chalinze ana taarifa?Moja ya wahadhiri nguli na wanazuoni wa kitanzania Dkt. Servacius Likwelile hatunaye.
Hapana, tuchukue tahadhariCorona inaua,tuchukue hatua
Nilikuwa napiga beer juzi hapo Beda Park mzee nae nilikuwa namuona one one timeRest easy Dr. Likwelile, jirani yangu Msakuzi pale Beda Park.
Mungu akupe pumziko la milele
Beda park ndio bar yake au huwa anakuja kula mtungiNilikuwa napiga beer juzi hapo Beda Park mzee nae nilikuwa namuona one one time
Hiki kirusi kitakua ni cha kike, mbona kinapenda sana wababa!Tafiti isiyo rasmi: 96% ya death cases ni wanaume aged beyond 50 years. #TuwalindeWababa!