Aliyekuwa Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari na Willy Qulwi Qambalo wa Karatu wajiunga CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa UVCCM Taifa

Sawa, lakini mbona mnalalamika sana? Au HANA HAKI YA KUHAMA? hata kama alihama zamani
nani kalalamika ? unaweza kuwa mgeni jf labda , Nassari alimrekodi Mnyeti akinunua madiwani wa Chadema na kusambaza video ile , haya yote kasahau ? sasa tukihoji ndio uite kulalamika ?
 
nani kalalamika ? unaweza kuwa mgeni jf labda , Nassari alimrekodi Mnyeti akinunua madiwani wa Chadema na kusambaza video ile , haya yote kasahau ? sasa tukihoji ndio uite kulalamika ?
Sasa hayo machozi ya familia ya Bathlomeo yanahusika vp kipindi hiki?
 
nani kalalamika ? unaweza kuwa mgeni jf labda , Nassari alimrekodi Mnyeti akinunua madiwani wa Chadema na kusambaza video ile , haya yote kasahau ? sasa tukihoji ndio uite kulalamika ?
mnachohoji ni nini. huyo ni mke wenu mmemuoa kwamba hawezi kwenda kwa mwingine ..
 
Huyu angebaki Chadema ningeshangaa manake wakati anavuliwa ubunge,alitoa sababu ya kipuuzi na ya kitoto sana,yaani kwa kifupi hafai kupewa nafasi yoyote ya uongozi.
Umewaza kama mimi make alisema eti hawezi kumuacha mke wake anaumwa eti aingie bungeni
 
hapa vipi?

wanasiasa buana!!

 
ILA BORA HUYU DOGO YEYE HAKUTOA MANENO MACHAFU YA KUICHAFUA CHADEMA KAMA WENZAKE AKINA LIJUALIKALI ANAONESHA ANAJITAMBUA KWA KITENDO CHAKE CHA KUSHUKURU ALIPOTOKA
 
ILA BORA HUYU DOGO YEYE HAKUTOA MANENO MACHAFU YA KUICHAFUA CHADEMA KAMA WENZAKE AKINA LIJUALIKALI ANAONESHA ANAJITAMBUA KWA KITENDO CHAKE CHA KUSHUKURU ALIPOTOKA
Ashukuru, asi shukuru, hakustahili kwenda kuungana na watu walio mwaga damu za watu walio kuwa wana mpigania apate ubunge.. Hivi ame sahau machozi ya zile familia kweli??? Sija amini bado kwamba Nasari hana upeo
 
Hivi hata huko kwa Wazungu tulikoiga demokrasia yao, nako wanasiasa wana hama hama vyama kama huku kwetu?
 
Asisahau kuwashukuru Chadema kwa kumuweka kwenye ramani, akapata Ubunge...akapata na ada ya chuo humo humo.
 
Vp Ile mikanda aliye record na kuipeleka takukuru
Anayo bado.... Dah wanasiasa Hawa [emoji28][emoji28][emoji28]

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…