Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Basi atakuwa amepatwa na uwendawazimu. Mtu yeyote anayeanza kukisema vibaya chama alichokuwepo kabla, lazima ana shida kichwani.
Siku zote umekaa huko, hukuwahi kulalamika, siku unaondoka au umefukuzwa, unaanza kusema kuwa namwaga mboga - really stupid. Na atakayezingatia unayoyasema, kichwani lazima kuwe na upungufu.
Wenye akili
- Lowasa alipotoka CCM kwenda CDM alisema nini dhidi ya CCM? Alipotoka CDM kwenda CCM alisema nini dhidi ya CDM?
- Dr. Slaa alipotoka CCM kwenda CDM alisema nini dhidi ya CCM? Alipotoka CDM kwenda CCM alisema nini dhidi ya CDM?
- Nyarandu alipotoka CCM kwenda CDM alisema nini dhidi ya CCM?
- Rwakatare alipotoka CUF kwenda CDM alisema nini dhidi ya CUF, alipoenda tena CUF alisema nini dhidi ya CDM
Wapo wengi wa namna hiyo. Hivyo ndivyo wenye akili wanavyofanya.
Lakini wale ambao wanasimama kwenye mstari unaogawanya waliowazima na wenye upungufu wa akili, kama akina Lijuakali, fuatilia walisema nini siku walipoondoka vyama vyao vya awali kwenda vyama vingine. Na ndivyo watakavyofanya watakapoondoka waliko leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote umekaa huko, hukuwahi kulalamika, siku unaondoka au umefukuzwa, unaanza kusema kuwa namwaga mboga - really stupid. Na atakayezingatia unayoyasema, kichwani lazima kuwe na upungufu.
Wenye akili
- Lowasa alipotoka CCM kwenda CDM alisema nini dhidi ya CCM? Alipotoka CDM kwenda CCM alisema nini dhidi ya CDM?
- Dr. Slaa alipotoka CCM kwenda CDM alisema nini dhidi ya CCM? Alipotoka CDM kwenda CCM alisema nini dhidi ya CDM?
- Nyarandu alipotoka CCM kwenda CDM alisema nini dhidi ya CCM?
- Rwakatare alipotoka CUF kwenda CDM alisema nini dhidi ya CUF, alipoenda tena CUF alisema nini dhidi ya CDM
Wapo wengi wa namna hiyo. Hivyo ndivyo wenye akili wanavyofanya.
Lakini wale ambao wanasimama kwenye mstari unaogawanya waliowazima na wenye upungufu wa akili, kama akina Lijuakali, fuatilia walisema nini siku walipoondoka vyama vyao vya awali kwenda vyama vingine. Na ndivyo watakavyofanya watakapoondoka waliko leo.
Sent using Jamii Forums mobile app