Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA, Saed Kubenea amejiondoa ndani ya chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo

Aliyekuwa Mbunge wa Ubungo kupitia CHADEMA, Saed Kubenea amejiondoa ndani ya chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo

Nccr siku hizi kulikoni,au Yale majimbo 15 yameota mbawa,asieijua ccm akamuulize mrema na tlp,au le profesele

Ccm wamegundua Mbatia hana mvuto, hivyo wamebadili terms mpaka Mbatia kazira. Ndio maana hata Mbatia hakuhudhuria mkutano wa ccm.
 
Mh. Jokate Yeye atagombea wapi mkuu?
Kuhusu jokate kugombea unaniulizaje Mimi Mkuu? Halafu muda wa kuchukua fomu kwa CCM umeshaisha. Labda huko CDM sijui muda wa Viti Maalum kuchukua fomu unaisha lini au tunasubiria maelekezo ya Mwenyekiti.
 
Nane ni wachache mno, inatakiwa waondoke wote. Wapiga kura tunaojitambua shida yetu ni tume huru ya uchaguzi. Baada ya hiyo kupatikana ndio tutarudi kuangalia nani anataka kugombea, na kwanini anahama.
Kwa hii Ccm hata muwe na tume kama Iebc ya Kenya lazima mpigwe tu. Maana huu sio utekelezaji wa ilani bali ni utumishi uliotukuka
 
Mzee Wa kuchungulia fursa aka kimaslahi

Ova
 
Ccm wamegundua Mbatia hana mvuto, hivyo wamebadili terms mpaka Mbatia kazira. Ndio maana hata Mbatia hakuhudhuria mkutano wa ccm.
Shetani Hana rafiki,kina sokombi walioandikiwa barua sijui Wana Hali gani, kwann watu huwa vipofu kwa Mambo ya wazi kabisa,check le profesele cuf imemfia kwa tamaa ya Bigii leo mutungi si swahiba tena.
 
Kwa hii Ccm hata muwe na tume kama Iebc ya Kenya lazima mpigwe tu. Maana huu sio utekelezaji wa ilani bali ni utumishi uliotukuka

Sio ccm, sema kwa namna rais huyu anavyotumia madaraka yake, ni ngumu kushindwa kwa mazingira yaliyopo.
 
Naamini Kubenea ana kitu kinamsumbua japo hajawa muwazi, maana nikijaribu kutafakari amekuwa akihusishwa na tuhuma za usaliti na hata kuhama chama mara kadhaa na kuna siku aliitisha press conference ikihusishwa na kutangaza kuhama chama japo alibadili gia angani.

Ila imekuwa tofauti na matarajio ya kuhama kwake maana alitarajiwa kuhamia CCM kuunga juhudi ama NCCR-Mageuzi baada ya kugain momentum lakini ameshangaza kuhamia ACT-Wazalendo.

Ameonekana mara kadhaa kupoteza imani ndani ya Chadema na kuonekana hana raha wala amani huko ndani. Nadhani Kubenea ana kitu ambacho hakiko sawa ila amekuwa akijistahi sana kuelezea umma.
Amemfata mamvi ,ila ameona asiende moja kwa moja ajifiche kwanza mvua kibarazani kwa Act
 
Ile tindikali aliyowahi kumwagiwa bado sumu ipo kwenye ubongo wake ndo mana hatulii
 
Tuliyajua haya kuwa yanakuja.
Na hapa ndipo penye tatizo kuu la kuwaondoa CCM lilipo lalia.

Je, CHADEMA na ACT-Wazalendo wataziba pua zao wasihisi harufu inayoelekea kuharibu kila kitu?

Wanao uwezo wa kujua la mhimu zaidi ni lipi ili waliwekee nguvu zaidi kuliko kumwacha adui wao mkuu akichekelea?

Mimi nina dhana inayonifanya niamini kwamba wanaweza kumkabili adui yao kwa pamoja bila ya kuwepo na madhara makubwa kati yao wala kwa taifa letu.

Kuna sababu zitakazofanya wavumiliane, angalau kwa sasa.

Huko mbele ya safari ikishindikana kuvumiliana kwa vinasaba vilivyopo kati yao, basi, wasambaratike wakitaka wenyewe.

Tunachotaka sasa hivi kuliko kingine chochote ni kutuondolea zimwi hili lililopo sasa.
 
Ccm wamegundua Mbatia hana mvuto, hivyo wamebadili terms mpaka Mbatia kazira. Ndio maana hata Mbatia hakuhudhuria mkutano wa ccm.
Sasa mnakuwa paranoid. Paranoia hiyo inaweza kuwaharibia sana. Kubenea ameandamwa kila siku na shutma za usaliti bila yeyote kujitokeza kumtetea. Amehama bila kumtukana mtu sasa mnageukia chama alichohamia kuwa kinabebwa na CCM. Ukweli ni kuwa upinzani sio Chadema peke yake na hivyo kinatakiwa kikubali kuishi na vyama vingine vya upinzani na hata wanachama wake ambao wana mawazo tofauti na uongozi.

Amandla...
 
Sasa mnakuwa paranoid. Paranoia hiyo inaweza kuwaharibia sana. Kubenea ameandamwa kila siku na shutma za usaliti bila yeyote kujitokeza kumtetea. Amehama bila kumtukana mtu sasa mnageukia chama alichohamia kuwa kinabebwa na CCM. Ukweli ni kuwa upinzani sio Chadema peke yake na hivyo kinatakiwa kikubali kuishi na vyama vingine vya upinzani na hata wanachama wake ambao wana mawazo tofauti na uongozi.

Amandla...

Kubenea kahamia NCCR? Au umeivaa hii mada kichwa kichwa baada ya kunywa vibia viwili kwenye kigrocery cha mangi?
 
Kubenea kahamia NCCR? Au umeivaa hii mada kichwa kichwa baada ya kunywa vibia viwili kwenye kigrocery cha mangi?
Shida yenu ni kuwa wote mnatuona wajinga. Kwa kusema kuwa Mbatia ( ambae siku zote mnadai kuwa anatumika na CCM) amekosa mvuto una imply kuwa mbadala wake ni chama ambacho Kubenea amehamia. Sasa kama CUF, NCCR na sasa ACT Wazalendo wote ni vibaraka wa CCM basi ina maana mnadhani kuwa mwenye copyright ya kuwa mpinzani ni CHADEMA peke yake. Huo ni upuuzi mtupu. Waacheni wanaohama wahamie kokote wanakotaka bila ku insinuate kuwa wanatumiwa na Chama Tawala.

Amandla...
 
Haya yupo huru sasa atuambie Ben Saanane alikuwa anaonekana vijiwe gani.
 
Shida yenu ni kuwa wote mnatuona wajinga. Kwa kusema kuwa Mbatia ( ambae siku zote mnadai kuwa anatumika na CCM) amekosa mvuto una imply kuwa mbadala wake ni chama ambacho Kubenea amehamia. Sasa kama CUF, NCCR na sasa ACT Wazalendo wote ni vibaraka wa CCM basi ina maana mnadhani kuwa mwenye copyright ya kuwa mpinzani ni CHADEMA peke yake. Huo ni upuuzi mtupu. Waacheni wanaohama wahamie kokote wanakotaka bila ku insinuate kuwa wanatumiwa na Chama Tawala.

Amandla...

Usitake kunilisha maneno tafadhali, naona unanitajia vyama kibao ili kutaka kunitoa kwenye nilichosema. Umeivaa post yangu kichwa kichwa, naona saa hii unataka kulazimisha hoja zako mfu. Kaa kushoto pls.
 
Back
Top Bottom