Kufanya kitu kinyume na sheria tafsiri yake ni nini?Ndiye aliyeakhirisha mechi!?
Yeye ndiye aliyetoa maamuzi ya kuahirisha mechi!?Kufanya kitu kinyume na sheria tafsiri yake ni nini?
Hakuna uhuni Kama vipengele vimetimia. Je Kuna sehem ya mkataba inawataka yanga na fei kukaa pamoja kabla? Kama kipo sawa ila hapo sioni uhuni wa jamaaHujui taratibu za kuvunja mkataba unaongea kihisia, mkataba hauvunjwi kihuni
Yanga Sc wasingejua pesa zimetoka kwa Fei kama hawakujulishwa.Kwamba ajiwekee tu hela kimya kimya na kuondoka !
Unaelewa kazi ya mwana sheria ni nini?Yeye ndiye aliyetoa maamuzi ya kuahirisha mechi!?
Kanuni za FiFa zinataka hivoHakuna uhuni Kama vipengele vimetimia. Je Kuna sehem ya mkataba inawataka yanga na fei kukaa pamoja kabla? Kama kipo sawa ila hapo sioni uhuni wa jamaa
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Yanga aligomea derby ipi wewe kisura?Huyu mwanasheria alishindwa kuiwajibisha Yanga ilipogoma kucheza mechi ya Derby, leo hii anataka atufundishe nini kuhusu sheria?
Sawa mkuu sio lazima huamini maana sipo kwajili ya kukuaminisha.Basi nalazimika kuamini na wewe unaongea maneno matupu.Ungekuwa na uhakika na hicho kipengele kuwa kipo ungekiweka hapa.
ππππSimba na Yanga wamezoea kufanya janja janja Feitoto anawakumbusha kuwa mpira ni pesa sio kuwafurahisha viongozi, acheni ujanja WA kuwadhulumu wachezaji
Mpaka Sasa hivi azam hawajamtangaza kama mchezaj wao unasemaje wamefanikisha kumshajili achana na stori za vijiweniAnachosema huyo akipo kwenye mkataba,kwamba Azam wakae au Fei akae na Yanga.
kwa kifupi mkataba wa Fei na Yanga ulikua na matobo ambayo Fei na Azam wameyatumia
Mkuu mbona unanitolea uvivu. Mimi nimeuliza kama swali wala sina uelewa na masula ya sheria.Hicho kipengele cha masaa 24 ndo ukiandika barua na kuweka mshahara wa miezi mitatu unakuwa tayari umeacha kazi? Hivi kumbe walipofaulu 26 pekee ilikuwa sahihi?
Aliandika notice ya kuvunja mkataba halafu ndiyo akalipa hiyo hela.Kwahiyo unamini unaweza kusitisha mkataba kwa kuweka hela kwenye akaunti ya club na mambo yakaisha!!
Free Agent mwaka 1 mmoja na nusu? Mkataba unaingiwa na pande mbili na hata ukivinjwa lazima pande mbili zikae chini bila kusahau third party ambayo inataka kuvunja huo mkataba.Huyo amesema mazungumzo, lakini mazungumzo ni iwapo kuna klabu inammiliki mchezaji. Kwa sakata hili, hakukuwa na haja ya mazungumzo kwani hakuna klabu iliyokuwa inammiliki. Kwa ufupi, Feisal alikuwa free agent, na Azam ingezubaa hata Simba ingemsajili
Husizani rahisi kama ndio hivyo hata Madrid wangefanya uhuni huo kwa Ronaldo na wasingeshindwa,ila badae wange gonna ukuta tu.Mkuu, ukisitisha mkataba unakuwa free, hakuna haja ya mazungumzo tena. Sasa kama ni mali ya Yanga siku zote hata baada ya kufanya termination, hicho kipengele kina maana gani hapo?
Hata haujaelewa kilichoongelewaHuyo amesema mazungumzo, lakini mazungumzo ni iwapo kuna klabu inammiliki mchezaji. Kwa sakata hili, hakukuwa na haja ya mazungumzo kwani hakuna klabu iliyokuwa inammiliki. Kwa ufupi, Feisal alikuwa free agent, na Azam ingezubaa hata Simba ingemsajili