Aliyekuwa Mkurugenzi wa Sheria TFF amaliza utata: Asema Fei Toto amekosea, mkataba hauvunjwi kienyeji vile

Una akili mbovu nani amedhulumiwa? Kama anaona mil 4 ni ndogo kwanini alikubali kusaini mkataba?
Wachezaji wetu shule imewapitisha kushoto
Wewe ndio unaakili za kuvukia Barabara nenda Katoe elimu Kwa wachezaji kama amekosea
 
Hatari sana hii.. Huyo kiongozi wa TFF ni bora angekaa kimya.
Umeongea vizuri kabisa.
 
Ina maana ule mkataba wa hadi 2024 kati ya Yanga na Fei ni mkataba hewa?
 
- ww hujui sheria, hujui Legal principles zinazotumika, kwenye mikataba Kuna kitu kinaitwa Privity to contract, Feisal hawezi kujiondokea tu kienyeji, bila kukaa mezani na Klabu yake Ya Yanga na Club anayotaka kwenda, the undermining principle hapa ni kuwa mchezaji ni wa timu, Ile aliyoingia nayo mkataba tu i.eFeisal salum And Young Africans huwezi kuondoka, na kama mkataba una lugha tata/isiyoeleweka Mkataba huo utatafsiriwa against the Maker ni Sina uhakika kama mkataba ulikuwa haueleweki
 
Una akili mbovu nani amedhulumiwa? Kama anaona mil 4 ni ndogo kwanini alikubali kusaini mkataba?
Wachezaji wetu shule imewapitisha kushoto
Ndio maana baada ya akili kumkaa sawa ameamua kuuvunja
 
Feisal anao mkataba hai hadi May 2024. Hivyo sio free agent ni mali ya Yanga.

Pili Feisal au Yanga wanayo haki ya kuvunja mkataba. Na utaratibu wa kuvunja ni lazima mdaliane na kufikia muafaka wa kuvunja.
Mkuu, ukisitisha mkataba unakuwa free, hakuna haja ya mazungumzo tena. Sasa kama ni mali ya Yanga siku zote hata baada ya kufanya termination, hicho kipengele kina maana gani hapo?
 
-mkataba hausomwi peke yake unasoma na provisions nyingine za Mkataba Ili kupata context
 
Ina maana ule mkataba wa hadi 2024 kati ya Yanga na Fei ni mkataba hewa ?
Si ameshalipa signing fee sh. 100,000,000/= na mishahara ya miezi mitatu sh. 12,000,000/= ? Baada ya hapo anakuwa huru, na akiwa huru anazungumza na timu yoyote ikiwemo Simba bila kulazimika kuihusisha Yanga. Kwani Dejan wakati anasajiliwa Simba alilazimika kuzungumza na Yanga? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Una akili mbovu nani amedhulumiwa? Kama anaona mil 4 ni ndogo kwanini alikubali kusaini mkataba?
Wachezaji wetu shule imewapitisha kushoto
-feisal alitakiwa atumie The doctrine of novation
 
Hahahaaa!! Aliekua wa TFF. Mm nilijua wa sasa.
 
Mkataba wa fei toto unawalakini,na ndio maana wajanja wameona wakapita nao.Watu wameng'ang'ania vifungu hawakumbuki hivyo vifungu vimeongezeka huko kwenye mkataba
 
Mkuu, ukisitisha mkataba unakuwa free, hakuna haja ya mazungumzo tena. Sasa kama ni mali ya Yanga siku zote hata baada ya kufanya termination, hicho kipengele kina maana gani hapo?
Kwahiyo unamini unaweza kusitisha mkataba kwa kuweka hela kwenye akaunti ya club na mambo yakaisha!!
 
Uto...wanamuhitaji Fei maana hawajaridhia yeye aondoke ,Kama ni pesa wanazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…