chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Na nukuu:
Inawezekana labda ndio jambo lililimtoa kwenye picha alipoonekana ni hatari kutunza tena siri hiyo.
Kwenye “Military Intelligence” kazi kubwa huwa ni kuchunguza uwezo wa kijeshi wa nchi jirani inayokuzunguka. Baadhi ya taarifa ambazo hukusanywa ni
(a) Budget ya kupigana na jirani endapo kutakuwa na hitaji hilo,
(b) Mwenendo wa nchi jirani katika ununuzi wa zana za kivita (akinunua sana kwa kipindi kifupi ni razima jirani apeleleze sasabu ni nini?).
(C) Kujua rafiki wa nchi jirani ambaye ni lazima atakaa upande wa jirani endapo utapambana na jirani husika.
(hapa namaanisha taarifa zote za jirani msaidizi wa adui lazima zijulikane ikiwemo uwezo wake kijeshi, bajeti ya kumshinda, nguvu yake na madhaifu yake).
Baada ya maelezo hapo juu, je Idara yetu ya “Military Intelligence”haikushtuka wakati UZI GUNS from russia,Machetes from China etc vinapita kwenda Rwanda kwa wingi ndani ya muda mfupi?
Je, ni kweli alikuwa na mengi
Inawezekana labda ndio jambo lililimtoa kwenye picha alipoonekana ni hatari kutunza tena siri hiyo.
Kwenye “Military Intelligence” kazi kubwa huwa ni kuchunguza uwezo wa kijeshi wa nchi jirani inayokuzunguka. Baadhi ya taarifa ambazo hukusanywa ni
(a) Budget ya kupigana na jirani endapo kutakuwa na hitaji hilo,
(b) Mwenendo wa nchi jirani katika ununuzi wa zana za kivita (akinunua sana kwa kipindi kifupi ni razima jirani apeleleze sasabu ni nini?).
(C) Kujua rafiki wa nchi jirani ambaye ni lazima atakaa upande wa jirani endapo utapambana na jirani husika.
(hapa namaanisha taarifa zote za jirani msaidizi wa adui lazima zijulikane ikiwemo uwezo wake kijeshi, bajeti ya kumshinda, nguvu yake na madhaifu yake).
Baada ya maelezo hapo juu, je Idara yetu ya “Military Intelligence”haikushtuka wakati UZI GUNS from russia,Machetes from China etc vinapita kwenda Rwanda kwa wingi ndani ya muda mfupi?
Je, ni kweli alikuwa na mengi