jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Usiogope kifo, hakikwepeki ndiyo maana ukaambiwa kila nafsi itaonja Umauti ni swala la muda tu!Duuh vifo kila kona, Mungu tuokoe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiogope kifo, hakikwepeki ndiyo maana ukaambiwa kila nafsi itaonja Umauti ni swala la muda tu!Duuh vifo kila kona, Mungu tuokoe.
Hakika siasa za mtu mmoja zinatupoteza
Usiogope kifo,hakikwepeki ndiyo maana ukaambiwa kila nafsi itaonja Umauti ni swala la muda tu!!
Una uhakika amekufa na Corona?.
Au ndo furahisha genge
Ameenda kumuandalia makao yule mtu! Yani huko kwa sasa anasema sikiliza sauti itokayo nyikani, nimekuja kumuandalia makao yule atakayekuja kwa ajili ya kuwa mkuu wenu. Amin nawaambieni yu njiani kuja!Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig.Jen Mstaafu Emmanuel Maganga amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Milambo Mkoani Tabora usiku huu.
View attachment 1682982
#RIPMaganga
5 tenaAliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brig.Jen Mstaafu Emmanuel Maganga amefariki Dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Milambo Mkoani Tabora usiku huu.
View attachment 1682982
#RIPMaganga
Kila Mtu akifariki corona, kwani Kabla ya corona Watu walikuwa hawafi.Corona itatumaliza
Kwani bado lipo?
Na liende tuAmeenda kumuandalia makao yule mtu! Yani huko kwa sasa anasema sikiliza sauti itokayo nyikani, nimekuja kumuandalia makao yule atakayekuja kwa ajili ya kuwa mkuu wenu. Amin nawaambieni yu njiani kuja!
Unataka huyo mtu mmoja afanye nini? Je ambao nchi zao huyo mtu mmoja amechukua hatua kuna nini kipya kimetokea?
Hata kipindi nasoma maswali ya hivi kuulizwa majina ya wakuu wa mikoa /mawaziri yalikuwa yanatoka sana kwa sasa Sina uhakika Mara kila kukicha wanabadilikaZamani ukuu Wa mkoa ilkuwa cheo cha hatari,ilkuwa ni lazima uwajue wakuu Wa mikoa yote Tanzania.
Maana wakati mwingine unaweza kuulizwa swali kwenye mtihani,mf taja mkuu Wa mkoa Wa Mwanza?,unataja chapu.
Ila toka wameanza kuwekwa vijanavijana hawa mwendo kasi ka kina Gambo,Makonda,Hapi nk,wameharibu hicho cheo tokana na matendo yao hasa hicho cheo kuwa cha kisiasa zaidi.
Mi nilikuwa hata sijui mkuu Wa mkoa huo JIna ndo naskia Leo baada ya Ku RIP,hata ukiniuliza sa hii mkuu Wa mkoa nilioko saa jina lake sijui mpaka niingie Google.