Aliyekuwa Mkuu wa usalama wa taifa wa zaire afariki

Aliyekuwa Mkuu wa usalama wa taifa wa zaire afariki

Basi Nenda

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2017
Posts
20,774
Reaction score
47,866
honore ngbanda nzambo ko atumba ni jina alilojipa wakati wa aunthetication policy miaka ya 70 lakini jina walilompa wandishi wa habari wa marekani ni the terminator
huyu alikuwa mkuu wa usalama wa taifa wa zaire na baadaye aliteuliwa na mobutu kuwa mshauri wake wa maswala ya usalama
akiwa mwanafunzi wa seminary walifanya mgomo shuleni huku yeye akiwa kiongozi wa mgomo ndipo akaitwa pamoja na wenzie wajieleze mbele ya rais mobutu.hapo ndipo mobutu aligundua uwezo wa huyu mzee na akasema afuatiliwe achunguzwe na wana usalama wa taifa ili aje ampeleke mafunzo ya usalama wa taifa
aliitwa terminator sababu wakati wake wasiojulikana waliteka watu na kuuwa yani waliitwa ma bundi sababu hawakuonekana mchana wanakufuata usiku tu
alikuwa ni mtu mdadisi sana akikutana na watu wageni mfano wandishi wa habari walipokutana naye yeye aliwahoji.alikuwa na tabia zake za ki afisa usalama kila muda.na analaumiwa kwa anguko la zaire kwa sababu watu wanadai hakumshauri vizuri rais ,lakini yeye anajitetea tuhuma hizo kwa kusema rais mwenyewe hakuwa na ofisi kwa mfano kuna muda walikutana shambani hivo kutokana na kelele za mashine na uwepo wa wafanyakazi wa shambani alishindwa kuzungumza maswala nyeti ya usalama na hata alipopata nafasi ya kumshauri rais,alifanyiwa fitna na wenzie ambao walikuwa karibu na rais
amefariki asubuhi ya leo hapa morocco
 

Attachments

  • img_1_1616342228137.jpg
    img_1_1616342228137.jpg
    5.1 KB · Views: 7
honore ngbanda nzambo ko atumba ni jina alilojipa wakati wa aunthetication policy miaka ya 70 lakini jina walilompa wandishi wa habari wa marekani ni the terminator
huyu alikuwa mkuu wa usalama wa taifa wa zaire na baadaye aliteuliwa na mobutu kuwa mshauri wake wa maswala ya usalama
akiwa mwanafunzi wa seminary walifanya mgomo shuleni huku yeye akiwa kiongozi wa mgomo ndipo akaitwa pamoja na wenzie wajieleze mbele ya rais mobutu.hapo ndipo mobutu aligundua uwezo wa huyu mzee na akasema afuatiliwe achunguzwe na wana usalama wa taifa ili aje ampeleke mafunzo ya usalama wa taifa
aliitwa terminator sababu wakati wake wasiojulikana waliteka watu na kuuwa yani waliitwa ma bundi sababu hawakuonekana mchana wanakufuata usiku tu
alikuwa ni mtu mdadisi sana akikutana na watu wageni mfano wandishi wa habari walipokutana naye yeye aliwahoji.alikuwa na tabia zake za ki afisa usalama kila muda.na analaumiwa kwa anguko la zaire kwa sababu watu wanadai hakumshauri vizuri rais ,lakini yeye anajitetea tuhuma hizo kwa kusema rais mwenyewe hakuwa na ofisi kwa mfano kuna muda walikutana shambani hivo kutokana na kelele za mashine na uwepo wa wafanyakazi wa shambani alishindwa kuzungumza maswala nyeti ya usalama na hata alipopata nafasi ya kumshauri rais,alifanyiwa fitna na wenzie ambao walikuwa karibu na rais
amefariki asubuhi ya leo hapa morocco
What's the Logic behind this Thread of yours?
 

Honoré Ngbanda Nzambo Ko Atumba, president of Apareco died this Sunday March 21 2021 in Morocco​

Death this Sunday in Morocco, of Honoré Ngbanda Nzambo Ko Atumba, president of the Alliance of Patriots for the Refoundation of Congo (Apareco) and former chief of intelligence of Mobutu, Minister of Defense and "special adviser" under Mobutu.
 
Honorè Ngbanda Nzambo Ko Atumba, swahiba mkuu wa rais Mobutu Sese Seko wa Congo DR amefariki nchini Morocco.

Mazungumzo ya kunusuru utawala wa Mobutu Sese Seko mwaka 1997 ulipo elemewa kijeshi huku ikionekana dhahiri majeshi yake yatashindwa na majeshi ya Mzee Laurent Desire Kabila, Honorè Ngbanda Nzambo Ko Atumba alikuwa ni mtu anayetegemewa kushawishi jumuiya ya kimataifa ikubali kumshawishi Mzee Laurent Kabila asitishe majeshi yake yasimfurushe Mobutu Sese Seko ili mazungumzo ya maridhiano ya mezani yafanyike.

9 May 1997 Johannesburg. The angry exchange over a satellite phone finally persuaded Kabila to end two tense days of stalling and stalemate Sunday. He quickly joined Mandela and Mobutu aboard the Outeniqua, a South African converted icebreaker docked in the torpid Congolese port of Pointe-Noire.

Kabila’s first face-to-face meeting with Mobutu since the rebellion erupted in October failed to immediately produce a cease-fire or persuade the cancer-stricken dictator to resign or go into exile. Kabila’s army is reportedly gathering outside Kinshasa and could capture the capital in days. Source : Zaire Peace Drive a Coup for Mandela


Published on 21 Jul 2015
Johannesburg, Republic of South Africa

SOUTH AFRICA: LEADERS OF ZAIRE'S GOVERNMENT ARRIVE FOR TALKS


Year 1997 Zaire Peace Talk
English/Nat Representatives of Zaire's government and rebels trying to topple it headed to South Africa on Thursday for talks aimed at ending their conflict. The leader of the government delegation, Honore Ngbanda, shrugged off journalists' questions as he flew into Johannesburg. Touching down at Johannesburg's Lanseria airport Thursday, the leader of Zaire's government delegation arrived for talks aimed at ending his country's conflict. Ngbanda previously represented Zaire's President Mobutu Sese Seko at talks in South Africa. This time he was accompanied by just a few members of his delegation, expected to total at least seven. The rest are expected to arrive Friday, including members of Zaire's opposition parties. Earlier Thursday, the rebels holding much of eastern Zaire rejected an offer by Mobutu's new Prime Minister, Etienne Tshisekedi, of several cabinet posts. But Ngbanda refused to comment on the subject. SOUNDBITE: Q: "We've just heard that the rebels have rejected the latest offer." "We believe we've come to negotiate, and good discussions by responsible people are not done through the press, but around the table. Thank you, I've got nothing more to say." SUPER CAPTION: Honore Ngbanda, Leader of Zairean Government delegation United Nations envoy Mohamed Sahnoun arrived in Pretoria on Wednesday and held talks with South African officials to prepare for the Zairean talks. But there was no confirmation that the two sides would even meet face-to-face. The goal of the discussions could be simply to guarantee further talks - perhaps involving Mobutu and rebel leader Laurent Kabila. South Africa has a stake in successful peace talks for nearby Zaire. It seeks to establish a firm role in solving African problems and has already seen a spillover of Zaire's strife in neighbouring countries.
 
People die everyday, and people are born everyday! We tend to know more about the deaths of the powerful and the famous but all people are equal in the hands of their creator!!
 
Nimecheka alivyojitetea, inaonekana alikua genius.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
huyo majibu yake mengi yalikua hvo kwa mfano alijitetea kwamba alifahamu kuna rushwa na wanajeshi hewa wanaolipwa mishahara hivo akaagiza wanajeshi wote wahesabiwe maana ilidaiwa wapo elfu kumi,lakini anadai ma jenerali wakamdanganya mobutu kwamba wanajeshi wamesema watampindua kama watahesabiwa hivo mobutu akambembeleza asiwahesabu
 
Honorè Ngbanda Nzambo Ko Atumba, swahiba mkuu wa rais Mobutu Sese Seko wa Congo DR amefariki nchini Morocco.

Mazungumzo ya kunusuru utawala wa Mobutu Sese Seko mwaka 1997 ulipo elemewa kijeshi huku ikionekana dhahiri majeshi yake yatashindwa na majeshi ya Mzee Laurent Desire Kabila, Honorè Ngbanda Nzambo Ko Atumba alikuwa ni mtu anayetegemewa kushawishi jumuiya ya kimataifa ikubali kumshawishi Mzee Laurent Kabila asitishe majeshi yake yasimfurushe Mobutu Sese Seko ili mazungumzo ya maridhiano ya mezani yafanyike.




Published on 21 Jul 2015
Johannesburg, Republic of South Africa

SOUTH AFRICA: LEADERS OF ZAIRE'S GOVERNMENT ARRIVE FOR TALKS


English/Nat Representatives of Zaire's government and rebels trying to topple it headed to South Africa on Thursday for talks aimed at ending their conflict. The leader of the government delegation, Honore Ngbanda, shrugged off journalists' questions as he flew into Johannesburg. Touching down at Johannesburg's Lanseria airport Thursday, the leader of Zaire's government delegation arrived for talks aimed at ending his country's conflict. Ngbanda previously represented Zaire's President Mobutu Sese Seko at talks in South Africa. This time he was accompanied by just a few members of his delegation, expected to total at least seven. The rest are expected to arrive Friday, including members of Zaire's opposition parties. Earlier Thursday, the rebels holding much of eastern Zaire rejected an offer by Mobutu's new Prime Minister, Etienne Tshisekedi, of several cabinet posts. But Ngbanda refused to comment on the subject. SOUNDBITE: Q: "We've just heard that the rebels have rejected the latest offer." "We believe we've come to negotiate, and good discussions by responsible people are not done through the press, but around the table. Thank you, I've got nothing more to say." SUPER CAPTION: Honore Ngbanda, Leader of Zairean Government delegation United Nations envoy Mohamed Sahnoun arrived in Pretoria on Wednesday and held talks with South African officials to prepare for the Zairean talks. But there was no confirmation that the two sides would even meet face-to-face. The goal of the discussions could be simply to guarantee further talks - perhaps involving Mobutu and rebel leader Laurent Kabila. South Africa has a stake in successful peace talks for nearby Zaire. It seeks to establish a firm role in solving African problems and has already seen a spillover of Zaire's strife in neighbouring countries.

kaliaminika mno,kama alipewa missions kama hizi aongoze lazima kafa tajiri
 
honore ngbanda nzambo ko atumba ni jina alilojipa wakati wa aunthetication policy miaka ya 70 lakini jina walilompa wandishi wa habari wa marekani ni the terminator
huyu alikuwa mkuu wa usalama wa taifa wa zaire na baadaye aliteuliwa na mobutu kuwa mshauri wake wa maswala ya usalama
akiwa mwanafunzi wa seminary walifanya mgomo shuleni huku yeye akiwa kiongozi wa mgomo ndipo akaitwa pamoja na wenzie wajieleze mbele ya rais mobutu.hapo ndipo mobutu aligundua uwezo wa huyu mzee na akasema afuatiliwe achunguzwe na wana usalama wa taifa ili aje ampeleke mafunzo ya usalama wa taifa
aliitwa terminator sababu wakati wake wasiojulikana waliteka watu na kuuwa yani waliitwa ma bundi sababu hawakuonekana mchana wanakufuata usiku tu
alikuwa ni mtu mdadisi sana akikutana na watu wageni mfano wandishi wa habari walipokutana naye yeye aliwahoji.alikuwa na tabia zake za ki afisa usalama kila muda.na analaumiwa kwa anguko la zaire kwa sababu watu wanadai hakumshauri vizuri rais ,lakini yeye anajitetea tuhuma hizo kwa kusema rais mwenyewe hakuwa na ofisi kwa mfano kuna muda walikutana shambani hivo kutokana na kelele za mashine na uwepo wa wafanyakazi wa shambani alishindwa kuzungumza maswala nyeti ya usalama na hata alipopata nafasi ya kumshauri rais,alifanyiwa fitna na wenzie ambao walikuwa karibu na rais
amefariki asubuhi ya leo hapa morocco
Azikwe huko huko Morroco kama Mobutu
 
kaliaminika mno,kama alipewa missions kama hizi aongoze lazima kafa tajiri

Sana, watu kama hawa katika vurugu hunufaika sana kwa kujilimbikizia fedha zinazotumika 'kuimarisha amani'. Mara nyingi ma diktekta huwapa fungu kubwa na kutembea wamebeba briefcases zilizojaa maelfu ya dolari yaliyofungwa na mipira ya rababendi kwa ajili ya kuhonga wapinzani na pia operesheni za kutafuta ushawishi kimataifa fedha nyingi hutumika ili wajaribu kibaki madarakani. Mobutu silaha yake kubwa ilikuwa kuhoga mabilioni ya fedha na vyeo kwa wapinzani wake wa kisiasa.

Léon Kengo wa Dondo is a Congolese politician who served as the "first state commissioner" several times under Mobutu Sese Seko in Zaïre. He was one of the most powerful figures in the regime and was a strong advocate of economic globalization and free-market economics . Source : Refworld | Amnesty International Report 1995 - Democratic Republic of Congo (formerly Zaire)

5 Nov 1996

Zairean Official Honorè Ngbanda Nzambo Ko Atumba Tells Rwanda To Withdraw From Eastern Zaire

From Mildred Mulenga; PANA Staff Correspondent
LUSAKA, Zambia (PANA) - A senior Zairean official warned Tuesday that the country would use force to remove what he said was the Rwandan army from eastern Zaire, who are aiding anti-government Tutsi rebels.

Honore Ngbanda Atumba, the special adviser to Zairean President Mobutu Sese Seko, said the Rwandans had to withdraw immediately.

Zaire has accused the Tutsi-dominated Rwandan army of helping the rebel army of 20,000, known as the Banyamurenge, fight Kinshasa's troops. The authorities in Kigali have denied the charge.

Ngbanda, speaking at a press conferene in Lusaka, said that Zaire had captured 10 Rwandans who, during interrogation, admitted that they were government troops.

The presence of these troops in eastern Zaire was non-negotiable, he added. Therefore, Zaire would not attend Tuesda's regional summit in Nairobi to end the fighting.

"We will only sit in meetings with other countries after the Rwandans have been evacuated from our territory," he said.

Fighting between the Banyamurenge and the Zairean army has led to an exodus of Rwandan Hutu refugees from camps in eastern Zaire.

Ngbanda also blamed Burundi, with its largely Tutsi army, of helping the Banyamurege in nthe current onflict.

He said the the fighting in eastern Zaire was an ethnic war between Tutsi and Hutu refugees and that the minority Tutsi were determined to wipe out the Hutu majority.

Ngbanda, who spent half an hour explaining the history of the Banyamurenge, denied claims that these people were indigenous to Zaire.

He said that the Rwandan refugees settled in Zaire at a place known as Mulenge after the 1920 exodus from Rwanda and in another mass exit during the Second World War.

"The Banyamurenge are Rwandans who migrated to Zaire, including those who came after 1994," he said.

Ngbanda is scheduled Wednesday to brief South African President Nelson Mandela on the situation in Zaire. He is also expected to meet with the leaders of Cote D'Ivoire, Gabon, Kenya, Nigeria and Sudan.

He has already met with Presidents Benjamin Mkapa of Tanzania and Frederick Chiluba of Zambia.
Source : Zairean Official Tells Rwanda To Withdraw From Eastern Zaire - Democratic Republic of the Congo
 
Sana, watu kama hawa katika vurugu hunufaika sana kwa kujilimbikizia fedha zinazotumika 'kuimarisha amani'. Mara nyingi ma diktekta huwapa fungu kubwa na kutembea wamebeba briefcases zilizojaa maelfu ya dolari yaliyofungwa na mipira ya rababendi kwa ajili ya kuhonga wapinzani na pia operesheni za kutafuta ushawishi kimataifa fedha nyingi hutumika ili wajaribu kibaki madarakani. Mobutu silaha yake kubwa ilikuwa kuhoga mabilioni ya fedha na vyeo kwa wapinzani wake wa kisiasa.

5 Nov 1996

Zairean Official Honorè Ngbanda Nzambo Ko Atumba Tells Rwanda To Withdraw From Eastern Zaire

From Mildred Mulenga; PANA Staff Correspondent
LUSAKA, Zambia (PANA) - A senior Zairean official warned Tuesday that the country would use force to remove what he said was the Rwandan army from eastern Zaire, who are aiding anti-government Tutsi rebels.

Honore Ngbanda Atumba, the special adviser to Zairean President Mobutu Sese Seko, said the Rwandans had to withdraw immediately.

Zaire has accused the Tutsi-dominated Rwandan army of helping the rebel army of 20,000, known as the Banyamurenge, fight Kinshasa's troops. The authorities in Kigali have denied the charge.

Ngbanda, speaking at a press conferene in Lusaka, said that Zaire had captured 10 Rwandans who, during interrogation, admitted that they were government troops.

The presence of these troops in eastern Zaire was non-negotiable, he added. Therefore, Zaire would not attend Tuesda's regional summit in Nairobi to end the fighting.

"We will only sit in meetings with other countries after the Rwandans have been evacuated from our territory," he said.

Fighting between the Banyamurenge and the Zairean army has led to an exodus of Rwandan Hutu refugees from camps in eastern Zaire.

Ngbanda also blamed Burundi, with its largely Tutsi army, of helping the Banyamurege in nthe current onflict.

He said the the fighting in eastern Zaire was an ethnic war between Tutsi and Hutu refugees and that the minority Tutsi were determined to wipe out the Hutu majority.

Ngbanda, who spent half an hour explaining the history of the Banyamurenge, denied claims that these people were indigenous to Zaire.

He said that the Rwandan refugees settled in Zaire at a place known as Mulenge after the 1920 exodus from Rwanda and in another mass exit during the Second World War.

"The Banyamurenge are Rwandans who migrated to Zaire, including those who came after 1994," he said.

Ngbanda is scheduled Wednesday to brief South African President Nelson Mandela on the situation in Zaire. He is also expected to meet with the leaders of Cote D'Ivoire, Gabon, Kenya, Nigeria and Sudan.

He has already met with Presidents Benjamin Mkapa of Tanzania and Frederick Chiluba of Zambia.
Source : Zairean Official Tells Rwanda To Withdraw From Eastern Zaire - Democratic Republic of the Congo
pesa nyingi ya vita ilipotea bila kujulikana ilikwenda wapi, jamaa aka wa blame wenzie ndio wameiba
kumbe kwenye conflict ya zaire na mkapa alikuwa anapewa bliefs !!
 
itategemea na wosia wake,kama alitaka congo watampeleka,mobutu yeye ana makaburi matatu,mawili yapo congo ambapo moja alijichimbia akiwa mzima kabisa wa afya na lingine alichimbiwa alipokufa,la tatu ndimo yumo
Kwani mwili ulisharejeshwa toka Morocco? Kama haujarejeshwa hayo makaburi yaliyoko DRC yamehifadhi nn?
 
pesa nyingi ya vita ilipotea bila kujulikana ilikwenda wapi, jamaa aka wa blame wenzie ndio wameiba
kumbe kwenye conflict ya zaire na mkapa alikuwa anapewa bliefs !!

Marshal Mobutu Sese Seko alikuwa anajua sana kutumia vizuri nafasi ya ushawishi kikanda / geopolitics na kuwagawa waCongomani ili aendelee kubaki madarakani.

Tatizo historia inaonesha ni ngumu kiongozi au chama tawala kudumisha ushawishi 30 mfululizo na kina honorè Ngbanda Nzambo Ko Atumba walibaini hilo na kutumia nafasi zao wakijitayarisha akidodoka Mobutu Sese Seko, wao kina Ngbanda Nzambo Ko Atumba wataanzisha vyama vya siasa 'vipya' Président national de l'APARECO www.apareco-rdc.com na kujaribu bahati yao diktekta akiondoka.
 
Ukitaka ku-survive kama alivyofanya Honoré Ngbanda Nzambo Ko Atumba basi msikilize Prof. Palamagamba Kabudi juu ya jinsi ya kuishi na bosi wako.

Honoré Ngbanda Nzambo Ko Atumba na Prof. Kabudi wote hawakujifanya wapo juu ya mabosi wao, wote walitambua nafasi zao hata kama walikuwa wajanja sana au wasomi sana walijua bosi ni nani.

Msikilize gwiji la utambuzi wa siasa zilizopo na mfumo wa utawala uliopo madarakani, Prof. Palamagamba Kabudi akitoa somo muhimu :


16 Nov 2020
Macho ya Watanzaia wengi siku ya leo yanaelekea jijini Dodoma kusikiliza kile kitakachojiri kwenye hafla ya uapisho wa Waziri Mkuu Mteule wa Tanzania Kassimu Majaliwa. Hafla hii iafanyika katika Ikulu ya Chamwino jijii Dodoma ambapo inatarajiwa kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali
 
Marshal Mobutu Sese Seko alikuwa anajua sana kutumia vizuri nafasi ya ushawishi kikanda / geopolitics na kuwagawa waCongomani ili aendelee kubaki madarakani.

Tatizo historia inaonesha ni ngumu kiongozi au chama tawala kudumisha ushawishi 30 mfululizo na kina honorè Ngbanda Nzambo Ko Atumba walibaini hilo na kutumia nafasi zao wakijitayarisha akidodoka Mobutu Sese Seko, wao kina Ngbanda Nzambo Ko Atumba wataanzisha vyama vya siasa 'vipya' Président national de l'APARECO www.apareco-rdc.com na kujaribu bahati yao diktekta akiondoka.
kweli kabisa jamaa aliwagawa kisiasa licha ya kuwaunganisha
 
Back
Top Bottom