Aliyekuwa Mkuu wa usalama wa taifa wa zaire afariki

ni kweli, ila mwigulu nae alijua kuishi na boss,wakati mwingine ni kujidai huoni mambo mengine
 
Kwani mwili ulisharejeshwa toka Morocco? Kama haujarejeshwa hayo makaburi yaliyoko DRC yamehifadhi nn?
haujarejeshwa,makaburi yapo tupu,yule mzee alijenga kanisa alafu akaweka handaki kwa chini ambapo huko chini kuna chumba akamzika mkewe alafu akatengeneza na makaburi ya wanae na yeye
yani unakuta kabuli lina jina na tarehe yake ya kuzaliwa kabisa na wanae hvo hvo kilichobaki ikawa mtoto akifa inawekwa tu tarehe ya kifo maana jina lishawekwa akiwa hai
 

APARECO press release on the creation of the municipality of Minembwe, Fizi South Kivu Province DR Congo

Web: www.info-apareco.com Facebook: Honoré Ngbanda Nzambo Ko Atumba E-mail: cabinet.pn.apareco@gmail.com

Communiqué de l’APARECO au sujet de la création de la commune de Minembwe

 
Mobutu naye kama alifia Morocco !
 
Mobutu naye kama alifia Morocco !

Historia inaonesha Wababe, wapambe, "watu wasiojulikana" na wafuasi chini ya madiktekta pia mara nyingi mwisho wao huwa wa kuishi kwa mashaka, kujificha na upweke mwingi.
 
kama alikuwa ameokoka hakuna shida
 
Alichelewa kuvuta Rest in Hell Thief
 
itategemea na wosia wake,kama alitaka congo watampeleka,mobutu yeye ana makaburi matatu,mawili yapo congo ambapo moja alijichimbia akiwa mzima kabisa wa afya na lingine alichimbiwa alipokufa,la tatu ndimo yumo
Hahaha Mobutu alikuwa na vituko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…