Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Gharama sana Samia anatuingiza...hivi nini kinasababisha kuhamisha mtu je hafai ama ni ujinga tu. Gharama ya kuhamisha DC ni kiasia gani? Huyu mama kiutendaji sio kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi sana unafanywa na hii serikali.Hamisha, teua tengua yaani ni mambo ya hovyo na hakuna jipya
Ila kwa Sasa anakuzidi kila kitu.Huyu mwamba hakuna anachojua ni mweupe sana kichwani. Nimesoma naye udsm 2007 namjua sana.
Ananizidi Nini? Yeye mshahara wake mil 4 kwa mwezi. Mi hapa NMB mshahara wangu mil 12. Sasa ananizidi niniIla kwa Sasa anakuzidi kila kitu.
Ngumu sana kuendelea hasa kutokana na hizi siasa za kipumbavu za ccm.Majukumu ya DC yangeongezewa kuwa majukumu ya DED ILI tupunguze mzigo Kwa serikali!
nchi hii ni maskini, matumizi ni makubwa mno.
Kwani amekosea wapi hapo!? Kama huyu ajuza utopolo anaendesha nchi ndiyo ashindwe Mtatiro Julius!?Kwa English hiyo uliyomalizia kwenye post yako, sishangqi kwa nini unamuona Mtatiro ni genius. Kwenye kundi la vipofu, mwenye chongo ndiyo mfalme wao
Magufuli hakuwa mtu mzuri. Kupinga mipango yake ilikuwa sawa na kujihukumu adhabu ya kifo. Sio rahisi sana kupambana na hawa madikteta. Kwa kweli simlaumu Bwana Mtatiro.Kuunga juhudi za raisi kunalipa sana, nakala iwafikie Yericko Nyerere na gadlisten malisa plus mdude
CCM killed the young man charisma and talent. Lipumba na Maalim ndio waliiona tunu na kipaji cha huyu bwana mdogo, mimi nilishuhudia maana akikuwa mbele yangu hapo Mlimani.
Kile kipaji cha kujenga hoja na kuzitetea, uwezo mkubwa wa kuhoji na kutetea hoja siouni tena kwa huyu jamaa. Kweli hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
Asante kwa mchango mzuri.Hivi akili zenu zina kazi gani? Akiwa DARUSO alikuwa mwanafunzi na kiongizi. Alitekeleza majukumu yake kwa wakati huo.
Sasa ni DC Shinyanga, bado unataka a behave kama mwanafunzi kiongozi wa DARUSO
Walishatuona wajingaUpuuzi sana unafanywa na hii serikali.
Ana taalamu ya utawala wa umma na sheria.Mtatilo ana uwezo wa kufanya kama dc na ded at the sametime. This man will be able to be the country president
MkuryaNilimaanisha Dini(Muislam) na wala sio kabila
Na wewe mbumbumbu wa lugha ya Malkia siyo? Nendeni MEMKWA msituchoshe na broken English humuKwani amekosea wapi hapo!? Kama huyu ajuza utopolo anaendesha nchi ndiyo ashindwe Mtatiro Julius!?
Unaishi Kwa kukariri! Eti Lugha ya Malkia!Na wewe mbumbumbu wa kugha ya Malkia siyo? Nendeni MEMKWA msituchoshe na broken English humu