TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo amefariki leo Januari 29, 2024 katika Hospitali ya Mloganzila, Dar es Salaam, maziko yanatarajiwa kufanyika Januari 31, 2024, Same.
Kikwe 2.jpeg

Kikwe.jpeg
 
Huyu mzee kijana wake wa kiume namfaham vyema Dogo nlikuwa nae kitaaa tukaja kupotezana ila tukaja kukutana kwa Group , akamaliza chuo mara paap nikaja kumuona picha yake kavaa kaunda ikuul pale, kipindi cha magu nkajua tayari kashakuwa memba wa kijito, nikasena mtoto wa simba ni Simba aloo

Rip mzeee
 
Back
Top Bottom