NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Rip ndugu!!
Kikwete pole kwa kumpoteza mtu muhimu!!
Hope utapata mtu was kuziba pengo lake!
Kikwete pole kwa kumpoteza mtu muhimu!!
Hope utapata mtu was kuziba pengo lake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usitutishe mkuu!Mimi, wewe pamoja na mtoa mada, tujiandae, tuhakikishe tunatengeneza maisha yetu kabla mwenye shamba hajaja kutuvuna!
RIP Kamanda
😂Usitutishe mkuu!
kulikuwaga na member flani humu anajiita lukindo alikuwa na avatar picha flani ya ndege. Alikuwaga very active akapotea ghafla ni mda sasa, inaonekana alibadilisha jina ya id na avatar picha.Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo amefariki leo Januari 29, 2024 katika Hospitali ya Mloganzila, Dar es Salaam, maziko yanatarajiwa kufanyika Januari 31, 2024, Same.
Asante sana mkuu na wewe pia 🙏🏿Rest in peace afande
Huwa inajulikana anaitwa Details Leader, ambaye kwenye convoy ya ulinzi wa rais yeye ndio mkuu na wanakuwa wawili wanapokezana. Ndani ni kipindi cha Magu walikuwa wawili pia, yule black na yule ostazi wa RufijiKila nafsi itaonja umauti, apumzike kwa amani.
Ila natamani kujua ni vigezo gani vimetumika kujua yeye ndio alikuwa mlinzi mkuu?
Hilo najua, nilitaka taarifa zaidi…Huwa inajulikana anaitwa Details Leader, ambaye kwenye convoy ya ulinzi wa rais yeye ndio mkuu na wanakuwa wawili wanapokezana. Ndani ni kipindi cha Magu walikuwa wawili pia, yule black na yule ostazi wa Rufiji
Du? WeweHilo najua, nilitaka taarifa zaidi…
Hata hivyo asante.
Kamanda MlinziRIP kamanda.
Mleta mada kasema ni Mloganzila siyo Mlinganzila.RiP Mzee Lukindo ndio maana JK ameenda sana Mlinganzila week hizi 2 ....
kulikuwaga na member flani humu anajiita lukindo alikuwa na avatar picha flani ya ndege. Alikuwaga very active akapotea ghafla ni mda sasa, inaonekana alibadilisha jina ya id na avatar picha.