TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

Dah ngoja nimcheki mwanae nimpe pole, alikuwa rafiki yangu sana kipind tuko chuo harakati za maisha zikatutenganisha.
 
Jambo gani ambalo litaweza kukufurahisha wewe? Lina vipimo gani vya kukufurahisha wewe tulitafute?

Maana nisije kukutajia mambo kemkem kumbe wewe kivuruge tu nia yako kuwa negative kwa kila kitu.
Umeshindwa kutaja!

Unasema niko negative kwa kila kitu!

Mnataka msifiwe kwa lipi mlilofanya kwenye nchi dysfunctional kama hii ?
Kwani hapa Tanzania tuna kitu gani positive in modern history ?

Balozi mzalendo, mzalendo kwa lipi ? Balozi gani ?

Sasa dondoka sehemu yeyote ya nchi hii, mbabatize mtoto wa miaka 9, muulize, who is Mdude Nyagali, and what he done for this country ? Watakupa documentary evidence kwenye simu zao. Hawatakupa mythical narratives za "alimwambia Nyerere nataka kurudi kijijini kutoka ubalozini! Unataka kurudi kijijini, jiuzulu rudi kijijini!

Hao mabalozi woooote combined, hawawezi kufunga kamba za viatu za Mdude Nyagali, a virtual illiterate from the most deprived and despondent backwaters of the country, who has ceaselessly and valiantly stuck his neck out in the battle to upend the system of savage repression of your and my rights to petition the government for redress of grievances.


And this is the least common denominator of all.

Salim Ahmed Salim The Great, is a fiction for the masses.
 
Umeshindwa kutaja!

Unasema niko negative kwa kila kitu!

Mnataka msifiwe kwa lipi mlilofanya kwenye nchi dysfunctional kama hii ?
Kwani hapa Tanzania tuna kitu gani positive in modern history ?

Balozi mzalendo, mzalendo kwa lipi ? Balozi gani ?

Sasa dondoka sehemu yeyote ya nchi hii, mbabatize mtoto wa miaka 9, muulize, who is Mdude Nyagali, na kaifanyia nini nchi hii? Hawatakupa mythical narratives za "alimwambia Nyerere nataka kurudi kijijini kutoka ubalozini! Unataka kurudi kijijini ? Jiuzulu rudi kijijini!

Hao mabalozi woooote combined, hawawezi kufunga kamba za viatu za Mdude Nyagali, a virtual illiterate from the most deprived and despondent backwaters of the country, who has ceaselessly and valiantly stuck his neck out in the battle to upend the system of savage repression of your and my rights to petition the government for redress of grievances.


And this is the least common denominator of all.

Salim Ahmed Salim, the Great, is a fiction for the masses.
Nimekuomba unitajie unataka standard gani ya kupimia uzalendo.

Umeshindwa kutaja. Standard. Hoja.

Unataja jina la mtu. Mdude.

Yani unaacha kujadili hoja, standards, principles, unataka kujadili Mdude.

Mdude Nyagali huyo aliyeshindwa kujua sexual espionage za a common whore tamaa za kudinya zikamtoa akili na zikamvulisha nguo hadharani watu wenye akili nchi nzima wakajua jamaa hafai kuwa kiongozi kwa sababu kashikwa kijinga na malaya wa kawaida tu?

Clearly we are not only not on the same page. We are not even reading the same book.
 
Huwa inajulikana anaitwa Details Leader, ambaye kwenye convoy ya ulinzi wa rais yeye ndio mkuu na wanakuwa wawili wanapokezana. Ndani ni kipindi cha Magu walikuwa wawili pia, yule black na yule ostazi wa Rufiji
Hata wakati huu wa mama namuona yuko na Veronica na yule demu mwingine wa kizenji.
 
Nimekuomba unitajie unataka standard gani ya kupimia uzalendo.

Umeshindwa kutaja. Standard. Hoja.

Unataja jina la mtu. Mdude.

Yani unaacha kujadiki h9ja, standards, principles, unataka kujadili Mdude.

Mdude Nyagali huyo aliyeshindwa kujua sexual espionage za a common whore tamaa za kudinya zikamtoa akili na zikamvulisha nguo hadharani watu wenye akili nchi nzima wakajua jamaa hafai kuwa kiongozi kwa sababu kashikwa kijinga na malaya wa kawaida tu?

Clearly we are not only not on the same page. We are not even reading the same book.

Ad hominem attacks !

Unashambulia maisha binafsi ya mtu na mahusiano yake na wanawake zake, na "tamaa zake za kudinya," (umalaya). Kama Mdude Nyagali ni malaya, a nobody, na hana lolote, kwa nini intelligence apparatus ya Tanzania ime revoke passport yake jana ???????????????????????????

Henry Kissinger kafa juzi, NY Times wameandika exhaustive eulogy, alikuwa malaya.
Martin Luther King Jr., mchungani mpigania haki Marekani, alikuwa malaya.
Peter the Great alikuwa malaya
JF Kennedy alikuwa malaya
Napoleon the First alikuwa malaya
Louis the 14th alikuwa malaya
King Solomon alikuwa malaya
Alexander the Great alikuwa malaya, and a homosexual!

Umalaya kamwe haujawahi kuwa kipimo cha uongozi mzuri au mbaya.

Getting back to the brass tacks....

Hao mabalozi wooooote combined, hawawezi kufunga kamba za viatu vya Christopher Mtikila au Shehe Ponda Issa Ponda, ambae hajawahi kushika hata ofisi kata, hatujui hata kama kasoma, masikini wa Kinondoni Mtambani, ambae amepigwa risasi akipambana kufumua mifumo ya tawala dhalimu inayotulazimisha kubakia kwenye u-third world.

Mabalozi makini na wazalendo wamewahi kufanya nini, wamesema nini, zaidi ya kumwambia Nyerere, "Nyerere nataka kurudi kijijini" Okay, rudi kijijini, the Devil may care ! hahahahahaaaaaaa
 
Jambo gani ambalo litaweza kukufurahisha wewe? Lina vipimo gani vya kukufurahisha wewe tulitafute?

Maana nisije kukutajia mambo kemkem kumbe wewe kivuruge tu nia yako kuwa negative kwa kila kitu.
Yeye jambo lake ni siasa za kiipendelea chadema
 
Ad hominem attacks !

Unashambulia maisha binafsi ya mtu na mahusiano yake na wanawake zake, na tamaa za kudinya (umalaya. Na kama Mdude Nyagali is a nobody, ni malaya hana lolote, kwa nini intelligence apparatus ya Tanzania ime revoke passport yake jana ???????????????????????????

Henry Kissinger kafa juzi, NY Times wameandika exhaustive eulogy alikuwa malaya.
Martin Luther King Jr. alikuwa malaya.
Peter the Great alikuwa malaya
JF Kennedy alikuwa malaya
Napoleon the First alikuwa malaya
Louis the 14th alikuwa malaya
King Solomon alikuwa malaya
Alexander the Great alikuwa malaya, and a homosexual!

Umalaya kamwe haujawahi kuwa kipimo cha uongozi.

Getting back to the brass tacks....

Hao mabalozi wooooote combined, hawawezi kufunga kamba za viatu vya Christopher Mtikila au Shehe Ponda Issa Ponda, ambae hajawahi kushika hata ofisi kata, hatujui hata kama kasoma, masikini wa Kinondoni Mtambani, ambae amepigwa risasi akipambana kufumua mifumo ya tawala dhalimu zinazotulazimisha kubakia kwenye u-third world.

Mabalozi makini na wazalendo wamewahi kufanya nini, wamesema nini, zaidi ya kumwambia Nyerere, Nyerere nataka kurudi kijijini ! hahahahahaaaaaaa
Sio ad hominem attack kama inahusu judgement katika uongozi, ni relevant character criticism.

Na just because so and so did it, that does not make it right.

Wewe ni fanboy mpumbavu usiye na standards, badala ya kuangalia standards na principles, unaangalia watu. Ndiyo maana hatuelewani.

That whoke namedropping, tge entire kist, is a logical non sequitur fallacy.

Nimekuuliza kipimo chako cha umakini au uzalendo ni kipi nikutafutie jibu litakalokuridhisha, hujanipa.

Inaonekana hata wewe mwenyewe hujui unataka nini, na mimi siwezi kukupa wewe kitu ambacho wewe hukijui.

Naona unani bore tu, nakupeleka ignore list. Sitaki majibizano ya shombo yasiyokuwa na standard wala muelekeo.

Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
 
Yeye jambo lake ni siasa za kiipendelea chadema
Kuna watu wengine wamekuja hapa kufanya social experiments tu.

Yani mtu anakuja anasema "ngoja niwanyee mavi hawa halafu niangalie uwezo wao wa kustahamili kunyewa mavi wao wakikubali tu kunyewa mavi".

Watu wa aina hiyo nawajua siku nyingi. Nisha deal nao sana. Wengi wana matatizo ya akili kutokana na frustrations zao za maisha, wanataka kuja kuzimalizia hapa.

Hawaelewi uzi ukiwekewa TAZIA maana yake nini. No home training, no grace, no manners at all.

Yani watu wanataka kuisema vibaya tu serikali bila context, hawajui nani civil servant, nani politician.Hawajui historia wala sacrifice za watu wengi wazuri waliofanya kazi ngumu katika mazingira mabaya sana ya Tanzania.

Wao wanaenda kama guluguja asiye na uti wa mgongo wala ubongo. Ukiwa umefanya kazi serikalini tu, basi wewe mshenzi huna maana yoyote. Hustahili sifa wala heko yoyote.

Ukiwa mpinzani malaya mbwa usiyejitambua, wewe mzuri tu, hata ufanye nini, mradi wewe mpinzani, wewe mzuri tu.

Upumbavu wa hali ya juu. Hawa wapinzani nyumbu ndiyo maana wanaendeshwa na CCM miaka nenda rudi, licha ya CCM kuwa na matatizo yake kibao. Most are very shortsighted and emotional people.

Hawa nawapeleka ignore list tu wala sina muda nao.

Anapapatikia upinzani kama vile upinzani umeanza leo, kwani upinzani hatuujui sisi?

Yani mtu kuwasifia mabalozi wakongwe waliokuwapo na kufariki/kustaafu ubalozi kabla hata vyama vingi havijaanza Tanzania ishakuwa nongwa?

Nwamwambia, nipe basi kipimo chako cha uzalendo na umakini niwaweke hawa mabalozi kwenye mizani nikupe tathmini yangu kwa kutumia kipimo ulichoridhika nacho wewe mwenyewe, maana sitaki kukupa kipimo changu ushaanza kuniona sina kipimo sahihi.

Mtu badala ya kunipa hicho kipimo chake, ananiambia Mdude Nyagali na Christopher Mtikila.

What a stupid fanboy!

Mtikila huyu huyu aliyehongwa pesa na CRDB akanyamaza asifanye fyoko au Christopher Mtikila gani?

Yeye unamjua Christopher Mtikila kuliko Monica Sozigwa anavyomjua?
 
Nwamwambia, nipe basi kipimo chako cha uzalendo mjua?
duuu...... umepeleka mashitaka kwa member mwingine kutafuta sympathy ?
hahahahahaaaaa

mmezoea kutudanganya na ma historia ya uongo na uchawa kuhusu viongozi wa nchi hii.

Balozi karudi nyumbani 1995, ana masifa kibao ya udiplomasia nguli sijui OAU huko. Hapa nyumani tuna masaibu na madhila kibao yanayohitaji intervention ya elder statesman lakini kajifungia kimya tuliii, hawajalli kutatua hata mgogoro wa shamba la jirani. Ungedhani hawa ndio watusemee pale polisi wanapohujumu uchaguzi, TANAPA wakiua wanavijiji, usalama wakiteka raia, kwa uzito walio nao mbele ya mamlaka za nchi.... lakini wapi, zip, nothing, good for nothing....

I mean, give the devil his due, Paul Makonda katatua matatizo mengi ya migogoro ya ardhi kuliko migogoro yote iliyotatuliwa na mabalozi wote combined!

Makini na mzalendo na balozi mkongwe, give me a freaking break, mzalendo kwa lipi ????????
 
Sio ad hominem attack kama inahusu judgement katika uongozi, ni relevant character criticism.

Na just because so and so did it, that does not make it right.

Wewe ni fanboy mpumbavu usiye na standards, badala ya kuangalia standards na principles, unaangalia watu. Ndiyo maana hatuelewani.

That whoke namedropping, tge entire kist, is a logical non sequitur fallacy.

Nimekuuliza kipimo chako cha umakini au uzalendo ni kipi nikutafutie jibu litakalokuridhisha, hujanipa.

Inaonekana hata wewe mwenyewe hujui unataka nini, na mimi siwezi kukupa wewe kitu ambacho wewe hukijui.

Naona unani bore tu, nakupeleka ignore list. Sitaki majibizano ya shombo yasiyokuwa na standard wala muelekeo.

Kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.
Hapana, uskimbie na usitukane, ana hoja, jibu maswali yake hapa hapa,

Unataka kumkimbia?!!!
Ebo! Jibu hoja hapahapa
 
Back
Top Bottom