TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

Hapana, uskimbie na usitukane, ana hoja, jibu maswali yake hapa hapa,

Unataka kumkimbia?!!!
Ebo! Jibu hoja hapahapa

mwache akimbie, kasema kani block, well I am having a field day!

Tumepunguza msambazaji mmoja wa sifa za kichawa na kiongo za uzalendo na utumishi wa wastaafu. Balozi Lukindo, Balozi Nhigula... Everybody is like, balozi whooo??? How you say that name again?

Okay, do me favor, will you ? Nobody ever heard of those jacks, hatuwafahamu, tusaidie, wamefanya nini cha uzalendo ili kusudi tuwatambue, tuwaenzi. Ume collapse! Ulilishwa indoctrination toka utotoni za kuenzi mabalozi! For nothing!

Katika kutetea na kuomboleza damu za Watanzania waliotupwa kwenye viroba Coco Beach, na waliopokwa ardhi zao Mbarari, Tarime, na Loliondo, na kwenye kupinga tozo na vikokotoo vya kututia umasikini kapuku, Roma Mkatoliki amefanya mengi ya kizalendo kuliko mabalozi wote combined! Au, Ney wa Mitego, Rais wa Kitaa!

I mean, wastaafu wote wa Foreign Affairs combined hawawezi kufunga kamba za viatu vya Neyi wa Mitego. Kwa saab hawajawahi ku risk pensheni zao kututetea kwa lolote. Balozi Lukindo anahitaji utambulisho. Ney wa Mitego, bila suti, bila tai, ulinzi, mshahara, V8 VX, bila sauti bungeni, msaidizi wala ofisi, is a household name! Rais wa Kitaa!

Kwa hiyo tuna wazalendo wetu tuliowaona kwa macho wakijitoa muhanga - sio wa pensheni, hawana pensheni, ila wa maisha yao - wakipinga raia kutekwa na Usalama wa Taifa na gestapo wa Jeshi la Polisi na kufia kwenye ma gullag vituoni. Usitutajie wastaafu ambao hawajawahi kutumia gravitas zao na diplomasia zao kutatua mgogoro hata wa shamba moja la kijiji dhidi ya mwekezaji. Wamekaa kwa adabu wanasubiri waingizwe kwenye mabodi na ma Tume ya Rais. Empty suits. Shame on them.
 
Huyu hakuwa mlinzi mkuu. Mlinzi mkuu yupo ambaye wote ureport kwake. Alipewaga ubalozi.
Kuna kada fulani ya mabalozi old school wale wazee kina George Nhigula, Raphael Lukindo, Salim Ahmed Salim, wale umakini na uzalendo wao sijui kama tutaupata tena nchi hii.
Hakuna sahvi.....
Wale walikuwa madiplomat bana
Achana na hawa sahv

Ova
 
Ad hominem attacks !

Unashambulia maisha binafsi ya mtu na mahusiano yake na wanawake zake, na "tamaa zake za kudinya," (umalaya). Na kama Mdude Nyagali ni malaya, a nobody, na hana lolote, kwa nini intelligence apparatus ya Tanzania ime revoke passport yake jana ???????????????????????????

hi kufanya nini, wamesema nini, zaidi ya kumwambia Nyerere, Nyerere nataka kurudi kijijini ! hahahahahaaaaaaa
Ponda kajenga Ubungo tangu mwanzoni mwa 2000s
 
Umeshindwa kutaja!

Unasema niko negative kwa kila kitu!

Mnataka msifiwe kwa lipi mlilofanya kwenye nchi dysfunctional kama hii ?
Kwani hapa Tanzania tuna kitu gani positive in modern history ?

Balozi mzalendo, mzalendo kwa lipi ? Balozi gani ?

Sasa dondoka sehemu yeyote ya nchi hii, mbabatize mtoto wa miaka 9, muulize, who is Mdude Nyagali, and what he done for this country ? Watakupa documentary evidence kwenye simu zao. Hawatakupa mythical narratives za "alimwambia Nyerere nataka kurudi kijijini kutoka ubalozini! Unataka kurudi kijijini, jiuzulu rudi kijijini!

Hao mabalozi woooote combined, hawawezi kufunga kamba za viatu za Mdude Nyagali, a virtual illiterate from the most deprived and despondent backwaters of the country, who has ceaselessly and valiantly stuck his neck out in the battle to upend the system of savage repression of your and my rights to petition the government for redress of grievances.


And this is the least common denominator of all.

Salim Ahmed Salim, the Great, is a fiction for the masses.
Sasa mdude kafanya nini nae zaidi ya politik za majukwaani na social media. Bure kabisa kama yardstick yako ni siasa za uanaharakati, hizo zilishafanyika wayback wakati wa uhuru na ukombozi wa kusini mwa afrika. rubbish bin garbage.
 
Umeshindwa kutaja!

Unasema niko negative kwa kila kitu!

Mnataka msifiwe kwa lipi mlilofanya kwenye nchi dysfunctional kama hii ?
Kwani hapa Tanzania tuna kitu gani positive in modern history ?

Balozi mzalendo, mzalendo kwa lipi ? Balozi gani ?

Sasa dondoka sehemu yeyote ya nchi hii, mbabatize mtoto wa miaka 9, muulize, who is Mdude Nyagali, and what he done for this country ? Watakupa documentary evidence kwenye simu zao. Hawatakupa mythical narratives za "alimwambia Nyerere nataka kurudi kijijini kutoka ubalozini! Unataka kurudi kijijini, jiuzulu rudi kijijini!

Hao mabalozi woooote combined, hawawezi kufunga kamba za viatu za Mdude Nyagali, a virtual illiterate from the most deprived and despondent backwaters of the country, who has ceaselessly and valiantly stuck his neck out in the battle to upend the system of savage repression of your and my rights to petition the government for redress of grievances.


And this is the least common denominator of all.

Salim Ahmed Salim, the Great, is a fiction for the masses.
Nimbabatize mtoto wa miaka 9,hawa hawa watoto wetu au.
 
Umeshindwa kutaja!

Unasema niko negative kwa kila kitu!

Mnataka msifiwe kwa lipi mlilofanya kwenye nchi dysfunctional kama hii ?
Kwani hapa Tanzania tuna kitu gani positive in modern history ?

Balozi mzalendo, mzalendo kwa lipi ? Balozi gani ?

Sasa dondoka sehemu yeyote ya nchi hii, mbabatize mtoto wa miaka 9, muulize, who is Mdude Nyagali, and what he done for this country ? Watakupa documentary evidence kwenye simu zao. Hawatakupa mythical narratives za "alimwambia Nyerere nataka kurudi kijijini kutoka ubalozini! Unataka kurudi kijijini, jiuzulu rudi kijijini!

Hao mabalozi woooote combined, hawawezi kufunga kamba za viatu za Mdude Nyagali, a virtual illiterate from the most deprived and despondent backwaters of the country, who has ceaselessly and valiantly stuck his neck out in the battle to upend the system of savage repression of your and my rights to petition the government for redress of grievances.


And this is the least common denominator of all.

Salim Ahmed Salim, the Great, is a fiction for the masses.
Nimesoma andiko lako nilijua utaleta hoja za maana kumjibu Kiranga , ila nimegundua wewe ni debe tupu , ni mwanaharakati uchwara , na siasa za kipinzani

Mabalozi hao old school walikuwa mabalozi kweli na wazalendo kweli na sio wanaharakati kama Mdude Nyagali

Nyie Generation M , mna matatizo sana
 
Back
Top Bottom