TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

duuu...... umepeleka mashitaka kwa member mwingine kutafuta sympathy ?
hahahahahaaaaa

mmezoea kutudanganya na ma historia ya uongo na uchawa kuhusu viongozi wa nchi hii.

Balozi karudi nyumbani 1995, ana masifa kibao ya udiplomasia nguli sijui OAU huko. Hapa nyumani tuna masaibu na madhila kibao yanayohitaji intervention ya elder statesman lakini kajifungia kimya tuliii, hawajalli kutatua hata mgogoro wa shamba la jirani. Ungedhani hawa ndio watusemee pale polisi wanapohujumu uchaguzi, TANAPA wakiua wanavijiji, usalama wakiteka raia, kwa uzito walio nao mbele ya mamlaka za nchi.... lakini wapi, zip, nothing, good for nothing....

I mean, give the devil his due, Paul Makonda katatua matatizo mengi ya migogoro ya ardhi kuliko migogoro yote iliyotatuliwa na mabalozi wote combined!

Makini na mzalendo na balozi mkongwe, give me a freaking break, mzalendo kwa lipi ????????
Dogo acha uchizi unaijia migogoro ya ardhi wewe? Sio uropoka tu taja hiyo migogoro ambayo makonda katatua nchi nzima
 
Huyu mzee kijana wake wa kiume namfaham vyema Dogo nlikuwa nae kitaaa tukaja kupotezana ila tukaja kukutana kwa Group , akamaliza chuo mara paap nikaja kumuona picha yake kavaa kaunda ikuul pale, kipindi cha magu nkajua tayari kashakuwa memba wa kijito, nikasena mtoto wa simba ni Simba aloo

Rip mzeee
Connection tu. Ndio maana nchi nafeli kila kona #Nepotism
 
Mercedes zake zote alizokuwa ananunua brand new kutoka Germany
Zilikuwa special order
Na ndani zina chata zake majina.....
Naona badaye akawa tu mtu wa ibada ibada akawa anaishi simple life

.... akaendaga India kwa ajili ya medical checkup hko si akavuta

Balozi Lukindo aliagiza benzi lina chapa za jina lake kutoka kiwandani Ujerumani ?

Wait a minute, hold up! Mlisema alikuwa Mzalendo makini, kipenzi cha Julius Nyerere, the most modest statesman in all of African history, na akaomba apewe kazi kijijini kutoka ubalozini Italia, yani mfano nadra wa maisha ya chini, na unyenyekevu, sasa anaagiza mabenzi custom made. Tushike lipi ?

Kuna siku Pombe Magufuli, give the devil his due, aliwakomba maofisa wa Foreign Affairs, kwenye msafara wake Uleling'ombe na Mbigiri, Kilosa ndani ndani huko, halafu akamwambia Waziri Kabudi, utabaki hapa kutatua hizi kero. Foreign Affairs na misafara ya ndani wapi na wapi ?

Hayati Magufuli kumbe aliona hawa Foreign Affairs wanapoenda nje labda hata hawajui malengo ni nini. Akataka wajue wanaenda kushughulikia agenda za maisha ya akina nani.

WATU WETU.jpg


Maisha ya watu dirt-poor, dog-sick, dying hungry, masikini wachafu, kapuku wa kutupwa.
Sasa kama unasifia balozi wa third world kujiagiza benzi custom made, kwa kipato cha ujanja ujanja serikalini, unaona ni poa, then you are a piece of dookie. Ndo maana tunawalaani, tunawakataa.


Binti wa Mwakipesile Mbarikiwa, aliyetiwa nguvuni kwa kutunga battle cry ya "Mnatuona Nyani Tu," na kumnyooshea kidole Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa kwa utekaji na mauaji ya wakosoaji, amefanya makubwa kuliko mabalozi wote combined!

Her father, Rev. Mwakipesile Mbarikiwa, a country bumpkin who owns a church without a building, and currently rotting in jail for his relentless condemnation of injustice and corruption, not least the give-away port deal with Dubai investors, has done more for the country than the empty suits of retired diplomats, all combined! Nobody knows Balozi Lukindo. Mwakipesile Mbarikiwa is a household name!
Again and again, these are our heroes, forever and a day.
 
Hapo sawa, ila sio "PUMZIKA KWA AMANI" hata baadhi ya waislamu wanatamka hivyo, sijui kama ni sahihi!
Ni chaguo la mtu. Dini ipo na uamuzi wa mtu upo pia. Kwa hiyo mtu kutamka vile apendavyo bado ni uhuru wake .
 
Mtikila huyu huyu aliyehongwa pesa na CRDB akanyamaza asifanye fyoko au Christopher Mtikila gani?

Yeye unamjua Christopher Mtikila kuliko Monica Sozigwa anavyomjua?
Ha haa haaa.😆
Hii ya Mtikila nilikuwa siijui.
Natamani ungenipa habari zaidi juu ya kisanga chote lakini hapa siyo mahali pake kwenye TANZIA.
 
na vitakuwamo ambavyo nafsi zinavipenda na macho yanavifurahia …” (Kurani 43:71)

“Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita!” (Kurani 69:24)

“… Humo watapambwa kwa mavazi ya mikononi ya dhahabu, na watavaa nguo za kijani za hariri na at'ilasi, huku wakiegemea humo juu ya makochi. Ni malipo bora hayo! Na matandiko mazuri mno ya kupumzikia!” (Kurani 18:31)

HAYA NI MAISHA YA WAISLAM SAFI BAADA YA KUONDOKA KTK HII DUNIA
Na vp kuhusu mabikra 72 wakiwa ahera??
 
kulikuwaga na member flani humu anajiita lukindo alikuwa na avatar picha flani ya ndege. Alikuwaga very active akapotea ghafla ni mda sasa, inaonekana alibadilisha jina ya id na avatar picha.
Hapana Mkuu umepotoaha kwa magu alikuyekuwa mlinzi Mkuu no yule aliekuwa anasimama nyuma ya black au huyo ostaz was rufiji alilkuwa mrefu na yupo slim
 
Back
Top Bottom