TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

TANZIA Aliyekuwa mlinzi mkuu wa Rais Kikwete, Hamis Lukindo afariki Dunia

Balozi Lukindo aliagiza benzi lina chapa za jina lake kutoka kiwandani Ujerumani ?

Wait a minute, hold up! Mlisema alikuwa Mzalendo makini, kipenzi cha Julius Nyerere, the most modest statesman in all of African history, akaomba apewe kazi kijijini kutoka ubalozini Italia, yani mfano nadra wa maisha ya chini, na unyenyekevu, sasa anaagiza mabenzi custom made. Tushike lipi ?

Kuna siku Pombe Magufuli, give the devil his due, aliwakomba maofisa wa Foreign Affairs, kwenye msafara wake Uleling'ombe na Mbigiri Kilosa ndani ndani huko, halafu akamwambia Waziri Kabudi, utabaki hapa kutatua hizi kero. Foreign Affairs na misafara ya ndani wapi na wapi ?

Hayati Magufuli, mpeni shetani sifa zake, kumbe aliona hawa Foreign Affairs wanapoenda nje labda hata hawajui malengo ni nini. Akataka wajue wanaenda kushughulikia agenda za maisha ya akina nani.

View attachment 2890386


Maisha ya watu dirt-poor, dog-sick, dying hungry, masikini wachafu, kapuku wa kutupwa.
Sasa kama unasifia balozi wa third world kujiagiza benzi custom made, kwa kipato cha ujanja ujanja serikalini, unaona ni poa, then you are a piece of dookie. Ndo maana tunawalaani, tunawakataa.


Binti wa Mwakipesile Mbarikiwa, aliyetiwa nguvuni kwa kutunga battle cry ya "Mnatuona Nyani Tu," na kumnyooshea kidole Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa kwa utekaji na mauaji ya wakosoaji, amefanya makubwa kuliko mabalozi wote combined!

Her father, Rev. Mwakipesile Mbarikiwa, a country bumpkin who owns a church without a building, and currently rotting in jail for his relentless condemnation of injustice and corruption, not least the give-away port deal with Dubai investors, has done more for the country than the empty suits of retired diplomats, all combined! Nobody knows Balozi Lukindo. Mwakipesile Mbarikiwa is a household name!
Again and again, these are our heroes, forever and a day.
Duh unataka watu waishi kilofa mzee
Kuwa na magari ni kosa au kujipenda

Ova
 
..binafsi sijaridhishwa na jinsi Salim Salim na Joseph Warioba kushindwa kupaza sauti wakati haki na utawala bora vikienda mrama.

Yes, correct. Nimelisema hilo miaka 20 na zaidi. Salim Ahmed Salim is an over-rated, good-for-nothing douche bag who rode on Julius Nyerere's diplomatic coattails.

Muondoe Sinde Warioba kwenye sentensi moja na Salim Ahmed Salim, tema mate chini, na ututake radhi. Sinde Warioba is a towering royalty in the pantheon of greatest patriots down the history of this country. Aliweka pensheni yake rehani na mwili wake na heshima zake, akakataa uchawa kwa watawala, akamvimbia Pombe Magufuli na Jakaya Kikwete japo walimpa cheo na ulaji wa kuongoza tume ya katiba ya watu. Every man has a price, there wasn't enough money in the country to buy Sinde Warioaba. True icon.


Warioba 2.jpg


Lakini hapa sikutaka kuwatumia statesmen kama Warioba kuwapima mabalozi wastaafu na ma douche bags. Nimewalinganisha na the least common denominator ili kuonyesha jinsi mabalozi na wastaafu walivyo madebe matupu, empty suits. Good for nothing!

Unaposema kila mtu anafanya uzalendo kwa nafasi yake, okay, balozi mstaafu ni raia huru kama hawa raia wa kawaida, amefanya nini kwenye nafasi yake? Tuna ma existential crisis, matatizo meeengi yanayohitaji kusemewa, kukemewa, kuchambuliwa. Unashindwaje advocacy and patriotism na Abdul Nondo mtoto wa chuo, of all the people ?


1961 Salim Ahmed Salim anateuliwa na Karume kuwa balozi Havana. 1964 anateuliwa na Nyerere kuwa balozi Cairo. Pombe Magufuli, aliyezaliwa 1959, alikuwa kichanga kinanyonya in 1961 wakati Salim anakaa meza moja na Fidel Castro ku present credentials and proposals za Julius Nyerere kwa matatizo ya dunia, leo unamwogopa Magufuli. Abdul Nondo hamwogopi! Grow some freaking balls, will you ?

Ndo maana unaposema Balozi Lukindo ni mzalendo makini, balozi Nhigula, everybody is like Balozi whoooo ? Nobody knows those yokels. Mtoto wa shule Abdul Nondo amefanya mengi ya kuisemea na kupigania nchi yake kuliko mabalozi wetu down the tortured history of this country, all combined!


nondo 2.jpg
 
TAARIFA KWA UMMA

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee Ali Hassan Mwinyi amepelekwa hospitali akiugua maradhi ya kifua. Anaendelea kupata matibabu chini ya uangalizi wa karibu wa madaktari.

Kutokana na ushauri wa madaktari wake, familia imeona ni vyema apate faragha akiwa anapatiwa matibabu. Hivyo Familia inaiomba jamii kumkumbuka kwenye Dua, Sala, na Maombi.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu amjaalie shifaa ya haraka Mzee wetu pamoja na wagonjwa wengine wote wanaokabiliwa na maradhi mbali mbali.

Abdullah Ali Mwinyi
Msemaji wa Familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kulikuwaga na member flani humu anajiita lukindo alikuwa na avatar picha flani ya ndege. Alikuwaga very active akapotea ghafla ni mda sasa, inaonekana alibadilisha jina ya id na avatar picha.
Labda ni yeye
 
Inaonekana ni wahamiaji wakongwe kama akina Mhando wapo Tanga na ubenani, akina Mgaya wapo Tanga na ubenani pia
Na kimwaga pia, tanga na unyamwezini. Hawa waliletwa na wakoloni kama manamba wa kulima mkonge
 
Ad hominem attacks !

Unashambulia maisha binafsi ya mtu na mahusiano yake na wanawake zake, na "tamaa zake za kudinya," (umalaya). Na kama Mdude Nyagali ni malaya, a nobody, na hana lolote, kwa nini intelligence apparatus ya Tanzania ime revoke passport yake jana ???????????????????????????

Henry Kissinger kafa juzi, NY Times wameandika exhaustive eulogy, alikuwa malaya.
Martin Luther King Jr., mchungani mpigania haki Marekani, alikuwa malaya.
Peter the Great alikuwa malaya
JF Kennedy alikuwa malaya
Napoleon the First alikuwa malaya
Louis the 14th alikuwa malaya
King Solomon alikuwa malaya
Alexander the Great alikuwa malaya, and a homosexual!

Umalaya kamwe haujawahi kuwa kipimo cha uongozi mzuri au mbaya.

Getting back to the brass tacks....

Hao mabalozi wooooote combined, hawawezi kufunga kamba za viatu vya Christopher Mtikila au Shehe Ponda Issa Ponda, ambae hajawahi kushika hata ofisi kata, hatujui hata kama kasoma, masikini wa Kinondoni Mtambani, ambae amepigwa risasi akipambana kufumua mifumo ya tawala dhalimu inayotulazimisha kubakia kwenye u-third world.

Mabalozi makini na wazalendo wamewahi kufanya nini, wamesema nini, zaidi ya kumwambia Nyerere, "Nyerere nataka kurudi kijijini" Okay, rudi kijijini, the Devil may care ! hahahahahaaaaaaa
Eti ' Nyerere nataka kurudi kijijini' 😀😀😀 .
 
Uhuru ni wa mtu binafsi. Hiyo dini ni uhuru wa mtu kuifata au kutoifata. Hiyo Sio sheria ya nchi.

Sawaa, lakini katika dini(Uisilamu) hilo halipo, sema kuna baadhi ya waislamu hawaelewi, Mtu anajiita muislamu hata kutamka tu Innaa lillaahi wainnaa ilaihi raaji'un hajui.

Tusome dini jamani
 
Yes, correct. Nimelisema hilo miaka 20 na zaidi. Salim Ahmed Salim is an over-rated, good-for-nothing douche bag who rode on Julius Nyerere's diplomatic coattails.

Muondoe Sinde Warioba kwenye sentensi moja na Salim Ahmed Salim, tema mate chini, na ututake radhi. Sinde Warioba is a towering royalty in the pantheon of greatest patriots down the history of this country. Aliweka pensheni yake rehani na mwili wake na heshima zake, akakataa uchawa kwa watawala, akamvimbia Pombe Magufuli na Jakaya Kikwete japo walimpa cheo na ulaji wa kuongoza tume ya katiba ya watu. Every man has a price, there wasn't enough money in the country to buy Sinde Warioaba. True icon.


View attachment 2892464

Lakini hapa sikutaka kuwatumia statesmen kama Warioba kuwapima mabalozi wastaafu na ma douche bags. Nimewalinganisha na the least common denominator ili kuonyesha jinsi mabalozi na wastaafu walivyo madebe matupu, empty suits. Good for nothing!

Unaposema kila mtu anafanya uzalendo kwa nafasi yake, okay, balozi mstaafu ni raia huru kama hawa raia wa kawaida, amefanya nini kwenye nafasi yake? Tuna ma existential crisis, matatizo meeengi yanayohitaji kusemewa, kukemewa, kuchambuliwa. Unashindwaje advocacy and patriotism na Abdul Nondo mtoto wa chuo, of all the people ?


1961 Salim Ahmed Salim anateuliwa na Karume kuwa balozi Havana. 1964 anateuliwa na Nyerere kuwa balozi Cairo. Pombe Magufuli, aliyezaliwa 1959, alikuwa kichanga kinanyonya in 1961 wakati wewe tayari unakaa meza moja na Fidel Castro ku present credentials and proposals za Julius Nyerere kwa matatizo ya dunia, leo unamwogopa Magufuli. Abdul Nondo hamwogopi! Where are your freaking balls ?

Ndo maana unaposema Balozi Lukindo ni mzalendo makini, balozi Nhigula, everybody is like Balozi whoooo ? Nobody knows those yokels. Mtoto wa shule Abdul Nondo amefanya mengi ya kuisemea na kupigania nchi yake kuliko mabalozi wetu down the tortured history of this country, all combined!


View attachment 2892480

..Sinde Warioba amekuwa akisema, but I think he has also been too soft kwa watawala. Kwa mfano, sikumuelewa aliposimama ktk jukwaa na kumpigia kampeni Magufuli.

..Salim Salim kama alishindwa kujipigania mwenyewe alipodhalilishwa na wana mtandao usitegemee akapigania wananchi wanaonyanyaswa na kuonewa na Ccm.

..Hisia zako kuhusu hawa wazee nazielewa na hauko peke yako ktk hilo.
 
Back
Top Bottom