Uweri the second
Member
- Mar 11, 2021
- 35
- 31
Siyo mzee wa message sent kweli?? Daaah. RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kama aliiga ni wachache watajua hiloLeonard Mambo alikuwepo miaka ya mwisho wa sitini mpaka sabini.
RIPTANZIA:Mtangazaji maarufu wa Radio free Afrika na Star Tv,Juma Ahmed Baragaza amefariki dunia leo Agosti 7.Atakumbukwa zaidi katika vipindi mabli mbali alivyojipatia umaarufu ikiwemo Mambo Mambo na RFA,pamoja na Asili ya Mtanzania kupitia Star Tv. https://t.co/zisHrfqQDLView attachment 1884193
Ndio huyu mwamba.....duh.....Je huu ni ungwana? La hasha huu si uungwana.
R. I. P
achana kusimika mzizi kila pahala utafeliUna maana gani?
Duu kweli pic walete nyingine maana hata mie nishamuona japo ni muda mrefu Dstv nayo inatukosesha localMungu ampunguzie adhabu ya kaburi. Lakini picha inaonyesha kama alikuwa mteja wa ushauri nasaha. Mtumiaji wa kunde
Ndo huyo mkuuNdio huyu mwamba.....duh.....
Leonard Mambo Mbotela.....jamaa aliyetangazaga Kupinduliwa kwa serekali ya kenya 1982.....Chini ya kamanda wa kijeshi Ezekiel OchukaKama alikuwa na kipindi 'jee huu ni uungwana?' basi aliiga kutoka kwa Leonard Mambo wa Sauti ya Kenya. Kipindi chake hicho kilikuwa kikirushwa kila jumapile saa saba kasorobo.
Daaaaah usizania huko mzee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi. Lakini picha inaonyesha kama alikuwa mteja wa ushauri nasaha. Mtumiaji wa kunde