Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me and uYou are next
Umenikumbusha Bolo Yeung alivyomchimba mkwara Van damme!You are next
Pumbavu!kwa hyo bila korona angeishi milele
Van Damme alitetemeka... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umenikumbusha Bolo Yeung alivyomchimba mkwara Van damme!
Nyimbo za kihindi alikuwa Prince Baina Kamukulu nae alishakufa.Huyu ndo yule jnaa wa nyimbo za kihindi?
Hahahaa malizia jina nipate raha LEONARD. MAMBO MBOTELAKama alikuwa na kipindi 'jee huu ni uungwana?' basi aliiga kutoka kwa Leonard Mambo wa Sauti ya Kenya. Kipindi chake hicho kilikuwa kikirushwa kila jumapile saa saba kasorobo.
Huyu Leonard Mambo Mbotela wa KBC idhaa ya taifa ndio alikuwa mwenye kipindi cha je, huu ni uungwana.Leonard Mambo alikuwepo miaka ya mwisho wa sitini mpaka sabini.
kwa hyo bila korona angeishi milele
Hata sauti zilikuwa zinaendanaUjue huwa nachanganya huyu Baragaza na yule Fredwaa... aisee kidogo niseme sasa amekufa mara ya pili
Hata kule kwa Fredwaa komenti yangu niliandika Mambo Mambo Na Vodacom (nikikusudia) nikidhani ni huyu Baragaza