Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIP nilipenda utangazaji wake sijui alikuwa anaumwaa!Mtangazaji maarufu wa Radio free Afrika na Star Tv, Juma Ahmed Baragaza amefariki dunia leo Agosti 7. Atakumbukwa zaidi katika vipindi mbali mbali alivyojipatia umaarufu ikiwemo Mambo Mambo na RFA pamoja na Asili ya Mtanzania kupitia Star Tv.
View attachment 1884193
Hamjui Mungu huyo akiamua lake anatenda, kuna mkaka alikuwa anamuuguza ndugu yake kilichofuata kaumwa yeye malaria siku yakwanza yapili kaondoka kaacha mgonjwa hata ndugu walijua mgonjwa wazani!Ulifundishwa vle kuwajua walioathirika? Utakufa wewe ukiwaamini kwa macho, na watu Kama nyie ndo wepesi wa kutangaza watu kuwa wamewaka kwa macho[emoji848][emoji848]
Daah amefanya nimkumbuke Zuberi Msabaha wa Bolingo time, Kwa heri malegend wa ukweliMtangazaji maarufu wa Radio free Afrika na Star Tv, Juma Ahmed Baragaza amefariki dunia leo Agosti 7. Atakumbukwa zaidi katika vipindi mbali mbali alivyojipatia umaarufu ikiwemo Mambo Mambo na RFA pamoja na Asili ya Mtanzania kupitia Star Tv.
View attachment 1884193
Radio gani hio?Leonard Mambo alikuwepo miaka ya mwisho wa sitini mpaka sabini.
Ahsante mkuu...enzi hizo hiki kipindi kilikuwa kinanichelewesha hata kanisani...ibada inaanza saa nne kipindi kinaanza saa tatu na nusu. Nilikuwa nazuga hadi kiishe ndio niondoke sema wakati ule nilikuwa mdogo sikuwa nakariri majina ya watangazajiUmegeuza, Alianza Baragaza wakifanya kwa kupokezana na Fredwaa na ndipo akaja Wambura Mtani ambaye anaendelea nacho mipindi hicho cha JE, HUU ni UUNGWANA, kesho jumapili Mungu akipenda utaweza kumsikia akiendesha kipindi hicho.
Baragaza alikuwa akitangaza kipindi cha Mambo Mambo na Sweet Menthol (SM) kinachoruka hewani kuanzia saa 10:15 jioni mpaka saa 12:00 jioni jumatatu hadi ijumaa na baadae kikabadilika jina na kunaitwa Mambo Mambo. Pia alikuwa anatangaza kipindi cha lugha gongana. Baadae alikuwa Meneja wa vipindi RFA kama Sikosei
Apumzike kwa Amani.
Daah kitambo sana watu walikuwa wakipiga simu anasema mambo? Wanajibu mambo mambo na vodacom, ukijibu 'poa' unakatiwa simuUsichanganye mtani wambura na juma baragaza
Huyu alikuwa mambo mambo na vodacom
Bila kusahau amjaalie kauli thabiti, innallilah wainallilah rajiuunAllah amstiri na ampunguzie adhabu ya kaburi.
Amiiin AmiiinAllah amstiri na ampunguzie adhabu ya kaburi.
Ndio mkuuDuh?!kumbe!?
Alikuwa Nairobi, Kenya (Sauti ya Kenya)Radio gani hio?
Mkuu!, huku kwetu hata mnywa pombe ana msamaha wa wazi kabisa, acha huyo mnywa pombe naliwe kosa lolote ulijualo juu ya uso wa dunia lina msamaha akitaka muumba, kikubwa ni toba tu.Huyu ana sura ya mtumiaji wa pombe. Hayo mambo unayomsemea sioni kama anaelekea hata