Aliyekuwa muigizaji wa Isindigo maarufu kwa jina la Letti Matabhane Afariki

Aliyekuwa muigizaji wa Isindigo maarufu kwa jina la Letti Matabhane Afariki

GOKILI

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
632
Reaction score
438
Lesego Motsepe aliekuwa mwigizaji katika tamthiliya ya Isidingo amefariki ghafla leo saa tano asubuhi nyumbani kwao huko Afrika Kusini akiwa na umri wa miaka 40.Lesego aliyekuwa anaigiza kama Letti Matabane kwenye tamthiliya hiyo alijitangaza rasmi mwaka 2011 kuwa ni mwathirika wa HIV/AIDS.Akitangaza desemba ,2011 kuwa yeye ni mwathirika ,alisema aligundulika kuwa ni mwathirika na amekuwa akiishi na virusi hivo tokea akiwa na umri wa miaka 23 ambao ulikuwa ni mwaka 1997.R.I.P LETTI.UPHUMLE NGOXOLO SISI.

Huyu ni mmoja wa waigizaji nilikua nawapenda kwenye tamthilia ya Isindigo the Need. Alipumzika kuigiza katika tamthilia wakamtoa kwa njia ya kifo cha ajali ya gari katika mchezo.

Alikataa kuendelea kutumia madawa ya ARVs toka 2012, jambo ambalo linafanya wadau wengi kuamini kifo chake kingeweza kuepukika kwa kunywa madawa hayo yanayosaidia kurefusha maisha.

Rest in Peace Lesabo.



Lesego.jpg

Former Isidingo actress Lesego Motsepe (39) died on Monday in her Randburg home. Her brother, Moemise Motsepe, found the actress at 11 in the morning.


Lesego, who played Letti Matabane in Isidingo for 10 years, was HIV positive and in 2012 said she would no longer be taking her antiretrovirals and instead focus on living a healthy lifestyle. One of her last high-profile roles was to portray songbird Brenda Fassie on stage. She also told YOU in an interview that she wanted to "travel across Africa and teach acting in different places".


If she hadn't become an actress, she said, she would have become a lawyer or a psychologist. "It's a sad day; I'm in tears. Lesego was my colleague and friend for over the decade," says actress Hlubi Mboya. Hlubi played Lesego's sister-in-law in Isidingo.


"She was very vocal about not being on ARVs. I feel like this misfortune could have been prolonged, if only she had made a different decision. Condolences to the family. She [Lesego] was a sweetheart, a song bird with a gracious heart."


Hamba kahle, Lesego.

Source - Former Isidingo passes: Rest in peace, Lesego | YOU


Former Isidingo actress Lesego Motsepe, who played Lettie Matabane, has died.

According to JJ Tabane of Oresego Communication, the actress' brother, Moemise Motsepe, found her body in her Randburg flat this morning. He called paramedics who declared her dead on the scene. Motsepe was 40 years old.

In 2011, the former Isidingo star announced she was HIV-positive and had been living with the disease for 13 years. "I went through many phases: denial, resentment, rejection and anger," Motsepe told The Star at the time. "But the most important thing is that I am alive today."

"I decided that if I was going to live, I would not let this get me down. I don't say I'm HIV-positive, I say HIV lives in my blood."
In 2012, Motsepe controversially revealed on SABC3's 3Talk that she had decided to stop taking her ARV medication, and was instead controlling the disease with a special diet that included beetroot and garlic and natural supplements.

Fans and HIV/AIDS activists across the board condemned her decision.
 
Too sad. RIP letti

Sent from my GT-S6102 using Tapatalk 2
 
akili yangu ilinipeleka kwa nandipa kumbe sio. hivi nandipa na yule bwana wake mwenye dreadlocks mtoto wa matabane wako wapi siku hizi?
 
hata mimi nilidhani nandipha.. hiyo picha ndio imenikumbusha. gone too soon. rip.
 
Huyu dada alishafikisha 40!!! Dah inasikitisha!
 
Alale pema peponi Letti Matabane...

Pia thanx to ITV....umaarufu wake kwa watanzania ni kwa sababu ya itv kuwepo hewani mapema....
 
Alikuwa talented and very beautiful huyu dada! Purely African lady.
 
Back
Top Bottom