TANZIA Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mstaafu Frederick Werema afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mstaafu Frederick Werema afariki dunia

Dah, Mungu aipumzishe roho yake pema peponi na aipe faraja nyingi sana familia yake.

Kufariki wakati wa kipindi cha sherehe za mwaka mpya kunaiacha familia na kovu kubwa sana kwani siku za mbeleni hawataweza kusherehekea mwaka mpya tena bila kumkumbuka jaji.
 
Frederick Mwita Werema (born 10 October 1955) = 69 Years old🫢


Former US President Jimmy Carter has died aged 100, the centre he founded has confirmed.
Mkuu wazungu wanafanya Mazoezo na siyo wezi wa Mali za Wananchi wao,Leo hii Obama anaweza ukamuona ana fanya mazoezi ya kukimbia Barabarani bla kuwa na msululu wa watu na Magari yupo free anaishi kwa Amani bila hofu, Viongozi wetu wanaishi kwa hofu uwezi kumkuta kiongozi mkubwa mstaafu akatembea kwa miguu Asubuhi ila Wenzetu Wazungu wanafanya mazoezi kwa staili hiyo.
 
Back
Top Bottom