kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
Apumzike kwa aman sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli huu mwaka umekuwa na vifo vingi sana Tanzania na duniani kwa ujumla. Duniani ni katika vita vya urusi dhidi ya Ukraine, vita vya Israel dhidi ya hayo makundi anayopambana nayo ya ktk nchi za kiarabu, majenerali wa Sudan, ajali za ndege, generation z, nk,nk. Kwa Tanzania kuna ajali zimeua takribani mamia ya watu, utekwaji na upoteaji wa watu, watu maarufu nk,nk.Huu mwaka uishe tu.
Pole wafiwa wote.
Asante sanaNkitoka hapa naenda cassa karibu
Ova
Aliambiwa awe anasoma siyo kusemasrma tuuuRIP Mh. Werema, nakumbuka alivyopigwa knockout na Lissu
Yeah!RIP Mh. Werema, nakumbuka alivyopigwa knockout na Lissu
Ni UNAFIKI TUKanisa letu hili katoliki huwa linachagua vigogo wawe viongozi ndani ya kanisa ! Sikiliza kwenye ibada ya mazishi atakavyo miminiwa kila aina ya sifa njema.
Ajaliwe kupumzika kwa amani 🙏
Hadi uchaguzi upite Rip za wakubwa za kupokezana!Naona wachawi wako bize kubalansi hesabu za vitabu vyao, wanaondoa mmoja mmoja
Jamaa alikua mjeuri.Ni taarifa ya kusikitisha kuhusu kufariki kwa kingunge wa sheria, Jaji Mstaafu na Mwanasheria Mkuu Mstaafu wa Tanzania. Amefariki Leo.
He has closed his case in this world. Rest in peace the former head of the bar.
Wakati akiwa Mwanasheria Mkuu, pale bungeni aliibuka na kauli ya "tumbili" ambayo ilimpiga laana ya kisiasa na kumporomosha Kafulila, kutoka kuwa mbunge mpaka sasa ni muajiriwa tu akisaini kama watumishi wengine pale Wizara ya Fedha.
_____
ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali, Frederick Werema amefariki dunia leo, tarehe 30/12/2024 katika Hospital ya Muhimbili.
Taarifa za kifo chake zimetolewa leo na Salome Ntaro, ambaye ni Katibu Parokia ya Mt. Martha ambayo marehemu Werema alikuwa mwenyekiti wake.
Kwa mujibu wa Ntaro, taratibu za msiba huo zinaendelea kwa kushirikiana na ndugu pamoja na serikali.
Jaji Werema, alijiuzulu uanasheria mkuu wa Serikali, tarehe 16 Desemba, 2014 baada ya kuhusishwa na kashfa ya Escrow iliyosababisha mawaziri kadhaa kujiuzulu.
======== ======
Akizungumza na JamiiForums, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari ametoa neno kuhusu msiba wa Mwanasheria Mkuu Mstaafu, Jaji Fredrick Werema:
"Tumepokea kwa masikitiko msiba wa Jaji Werema, kama wote tunavyofahamu alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, alikuwa ni mtu ambaye anafuata weledi katika kuisaidia Serikali kwenye masuala ya Sheria.
"Tunatoa pole kwa familia, ndugu na wengine wote walioguswa na msiba huo.
"Alikuwa kiongozi mzuri na mchango wake ulikuwa bado unahitajika kwenye Jamii, hatuna cha kufanya kwa kuwa hiyo ni mipango ya Mungu."
Mbele yake kun niniwanamzika wapi huyu mura? mbele yake nyuma.yetu
Kufa kupo tu, waliokufa tayari siku zao zimefikaHuu mwaka uishe tu.
Pole wafiwa wote.
Alikuwa na msimamo. Tofautisha kati ya jeuri na msimamo usiwe mbwisiJamaa alikua mjeuri.
Mbwisi means what????Alikuwa na msimamo. Tofautisha kati ya jeuri na msimamo usiwe mbwisi
Mbwisi manake falaMbwisi means what????