TANZIA Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mstaafu Frederick Werema afariki dunia

TANZIA Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Mstaafu Frederick Werema afariki dunia

Mimi nmetoka tumboni mwa mama yangu nikiwa tupu, nami nitarudi vumbini vile vile.

Mungu anapotupa Pumzi zake, Mali na Fedha na Nafasi , tuwe sehem ya Furaha Kwa wengine.

Duniani tunapita, ikiwa mwanadam sekunde chache kabla ya kukata Roho angekua na Ufaham wake timamu kabisa, naye akaambiwa apewe nafasi Moja tu ya kusahihisha Mahali alipokosea, WATU wengi wangegawa sehem za urithi wao Kwa Yatima, Masikini na Wahitaji.


Hapa suala sio kufa, Bali Unazungumziwaje baada ya Kufa.
 
Mimi nmetoka tumboni mwa mama yangu nikiwa tupu, nami nitarudi vumbini vile vile.

Mungu anapotupa Pumzi zake, Mali na Fedha na Nafasi , tuwe sehem ya Furaha Kwa wengine.

Duniani tunapita, ikiwa mwanadam sekunde chache kabla ya kukata Roho angekua na Ufaham wake timamu kabisa, naye akaambiwa apewe nafasi Moja tu ya kusahihisha Mahali alipokosea, WATU wengi wangegawa sehem za urithi wao Kwa Yatima, Masikini na Wahitaji.


Hapa suala sio kufa, Bali Unazungumziwaje baada ya Kufa.
Mzee wa Tumbili? Sio.huyu?
 
Ni taarifa ya kusikitisha kuhusu kufariki kwa kingunge wa sheria, Jaji Mstaafu na Mwanasheria Mkuu Mstaafu wa Tanzania. Amefariki Leo.

He has closed his case in this world. Rest in peace the former head of the bar.

Wakati akiwa Mwanasheria Mkuu, pale bungeni aliibuka na kauli ya "tumbili" ambayo ilimpiga laana ya kisiasa na kumporomosha Kafulila, kutoka kuwa mbunge mpaka sasa ni muajiriwa tu akisaini kama watumishi wengine pale Wizara ya Fedha.

_____

View attachment 3188621

ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali, Frederick Werema amefariki dunia leo, tarehe 30/12/2024 katika Hospital ya Muhimbili.

Taarifa za kifo chake zimetolewa leo na Salome Ntaro, ambaye ni Katibu Parokia ya Mt. Martha ambayo marehemu Werema alikuwa mwenyekiti wake.

Kwa mujibu wa Ntaro, taratibu za msiba huo zinaendelea kwa kushirikiana na ndugu pamoja na serikali.

Jaji Werema, alijiuzulu uanasheria mkuu wa Serikali, tarehe 16 Desemba, 2014 baada ya kuhusishwa na kashfa ya Escrow iliyosababisha mawaziri kadhaa kujiuzulu.
Pole kwa Wafiwa
 
Ni taarifa ya kusikitisha kuhusu kufariki kwa kingunge wa sheria, Jaji Mstaafu na Mwanasheria Mkuu Mstaafu wa Tanzania. Amefariki Leo.

He has closed his case in this world. Rest in peace the former head of the bar.

Wakati akiwa Mwanasheria Mkuu, pale bungeni aliibuka na kauli ya "tumbili" ambayo ilimpiga laana ya kisiasa na kumporomosha Kafulila, kutoka kuwa mbunge mpaka sasa ni muajiriwa tu akisaini kama watumishi wengine pale Wizara ya Fedha.

_____

View attachment 3188621

ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali, Frederick Werema amefariki dunia leo, tarehe 30/12/2024 katika Hospital ya Muhimbili.

Taarifa za kifo chake zimetolewa leo na Salome Ntaro, ambaye ni Katibu Parokia ya Mt. Martha ambayo marehemu Werema alikuwa mwenyekiti wake.

Kwa mujibu wa Ntaro, taratibu za msiba huo zinaendelea kwa kushirikiana na ndugu pamoja na serikali.

Jaji Werema, alijiuzulu uanasheria mkuu wa Serikali, tarehe 16 Desemba, 2014 baada ya kuhusishwa na kashfa ya Escrow iliyosababisha mawaziri kadhaa kujiuzulu.
RiP
 
Ni taarifa ya kusikitisha kuhusu kufariki kwa kingunge wa sheria, Jaji Mstaafu na Mwanasheria Mkuu Mstaafu wa Tanzania. Amefariki Leo.

He has closed his case in this world. Rest in peace the former head of the bar.

Wakati akiwa Mwanasheria Mkuu, pale bungeni aliibuka na kauli ya "tumbili" ambayo ilimpiga laana ya kisiasa na kumporomosha Kafulila, kutoka kuwa mbunge mpaka sasa ni muajiriwa tu akisaini kama watumishi wengine pale Wizara ya Fedha.

_____

View attachment 3188621

ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu (AG) wa Serikali, Frederick Werema amefariki dunia leo, tarehe 30/12/2024 katika Hospital ya Muhimbili.

Taarifa za kifo chake zimetolewa leo na Salome Ntaro, ambaye ni Katibu Parokia ya Mt. Martha ambayo marehemu Werema alikuwa mwenyekiti wake.

Kwa mujibu wa Ntaro, taratibu za msiba huo zinaendelea kwa kushirikiana na ndugu pamoja na serikali.

Jaji Werema, alijiuzulu uanasheria mkuu wa Serikali, tarehe 16 Desemba, 2014 baada ya kuhusishwa na kashfa ya Escrow iliyosababisha mawaziri kadhaa kujiuzulu.
Wizi WA kura,na Mali za maskini!
 
Frederick Mwita Werema (born 10 October 1955) = 69 Years old🫢


Former US President Jimmy Carter has died aged 100, the centre he founded has confirmed.
 

Attachments

  • 20241230_180050.jpg
    20241230_180050.jpg
    170.2 KB · Views: 2
Back
Top Bottom