Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Yeye ndie role model WA Vijana wengi hapo Mbeya 😂Mdude ni think tank ya CHADEMA kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndie role model WA Vijana wengi hapo Mbeya 😂Mdude ni think tank ya CHADEMA kwa sasa.
HahahaKama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.
exactly, kuna akina mwashamba wanatafuta vyeo, leo unampa uwaziri Msigwa, lazima upinzani ndani ya ccm uwe mkubwaKama akipokelewa vizuri na kupewa nafsi nzuri basi itakuwa vizuri sana kwa afya ya demokrasia ya Tanzania kwa sababu CCM itakuwa inachimbia kaburi lake lenyewe. Kadiri wapinzani wanavyotimkia CCM ndiyo ushindani unavyozidi kuongezeka ndani yake, and guess what? Kitaparanyika!
Wanasiasa wanaparulana!
Hakuna consistency kwenye njaa. Ni timing tu
Waachage Dharau kwa vijana wanao hustle.. maana wao hufa kabisa wakitoka ktk hvyo viti...Mtaani kugumu sana jamani 😐
Mchungaji Msigwa kama Ana kanisa anaweza kuwauza waumini wake kwa mdogo wangu shetani
Agree.
Bila shaka uwaziri wake alioahidiwa, uko palepale, maana sasa hivi atapita ubunge wa kishindo kwa tiketi ya CCM, na kisha analamba uwaziri 😀 😀 😀 Kaupiga mwingi!!magufuri alimtaka sana ahamie na ampe uwaziri alijifanya mjanja akagoma, leo anashawishiwa na mwanamke anakubali...naamini msigwa anachembe chembe za uzinzi......haiwezekani umuogope mwanaume mwenzake