Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
msigwa baada kufumaniwa kuwa ni mamluki wa ccm, na kukosa fursa ya uongozi, kwa aibu akakimbia chadema na kujiunga na ma boss wake.. sasa ile aibu ya kufumaniwa inamtesa , kaamua kujifariji kwa style hyo.
 
Msigwa kupelekwa mahakamani ni "kuivua chupi chadema" hadharani na anguko la mwenyekiti, stay tunes!
 
Niende Moja Kwa Moja Kwa peter msigwa,najua kuhama chama, ni hiari ya mtu,hamna mtu anayeweza kukulazimisha kuhama chama,Sasa nimefuatilia xna hutuba za peter msigwa imekuwa kero, Kwan yeye hotuba zake zimekuwa za kutukana chama,kumtukana mbowe,si jambo jema,Kwa nn usjifunze Kwa wenzako wengi waliohama? Kumbuka kwamba hakuna mkamilifu,hata uko ulipoenda c wakamilifu,kwanza si jambo jema kutoa Siri za chama,yaan ni sawa ww umeachana na mke wako uanze kutoa Siri zake,si jambo jema,hao watu unao wahutubia wanajitambua sio kwamba hawajua mbivu na mbichi, Kwa nn usitoke USHAURI Kwa chama chako ulipo Sasa?kama ni cheo utapewa subir,kunamambo mengi ya kuzungumza kwenye chama chako, chama kimekulea na umejulikana hapo kutokana na chadema bila chadema usingefka Tena ulisema ukihama tuchome nyumban moto,😁😁,sema watanzania wamekusamehe,USITUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO,KUMBUKA HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA
Mimi niilisikitika alipoondoka nota kama anlionewa lakini anavyozidi kuwaandama wenzie naanza kumwona hana maana
 
Nashauri kesi ikishafunguliwa, ipelekwe mbio mbio kila baada ya siku 2-3-7,na iende muda mrefu iishe 2026.
#mafioso tactic!
 
Niende Moja Kwa Moja Kwa peter msigwa,najua kuhama chama, ni hiari ya mtu,hamna mtu anayeweza kukulazimisha kuhama chama,Sasa nimefuatilia xna hutuba za peter msigwa imekuwa kero, Kwan yeye hotuba zake zimekuwa za kutukana chama,kumtukana mbowe,si jambo jema,Kwa nn usjifunze Kwa wenzako wengi waliohama? Kumbuka kwamba hakuna mkamilifu,hata uko ulipoenda c wakamilifu,kwanza si jambo jema kutoa Siri za chama,yaan ni sawa ww umeachana na mke wako uanze kutoa Siri zake,si jambo jema,hao watu unao wahutubia wanajitambua sio kwamba hawajua mbivu na mbichi, Kwa nn usitoke USHAURI Kwa chama chako ulipo Sasa?kama ni cheo utapewa subir,kunamambo mengi ya kuzungumza kwenye chama chako, chama kimekulea na umejulikana hapo kutokana na chadema bila chadema usingefka Tena ulisema ukihama tuchome nyumban moto,😁😁,sema watanzania wamekusamehe,USITUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO,KUMBUKA HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA
Halafu anasahau tupo zama za 4R; si zama zile za kanyaboya!
 
Niende Moja Kwa Moja Kwa peter msigwa,najua kuhama chama, ni hiari ya mtu,hamna mtu anayeweza kukulazimisha kuhama chama,Sasa nimefuatilia xna hutuba za peter msigwa imekuwa kero, Kwan yeye hotuba zake zimekuwa za kutukana chama,kumtukana mbowe,si jambo jema,Kwa nn usjifunze Kwa wenzako wengi waliohama? Kumbuka kwamba hakuna mkamilifu,hata uko ulipoenda c wakamilifu,kwanza si jambo jema kutoa Siri za chama,yaan ni sawa ww umeachana na mke wako uanze kutoa Siri zake,si jambo jema,hao watu unao wahutubia wanajitambua sio kwamba hawajua mbivu na mbichi, Kwa nn usitoke USHAURI Kwa chama chako ulipo Sasa?kama ni cheo utapewa subir,kunamambo mengi ya kuzungumza kwenye chama chako, chama kimekulea na umejulikana hapo kutokana na chadema bila chadema usingefka Tena ulisema ukihama tuchome nyumban moto,😁😁,sema watanzania wamekusamehe,USITUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO,KUMBUKA HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA
si kweli kwamba anachohubiri Msigwa kuhusu chama alichojiengua ni kutukana, kua mstaarabu kidogo kwenye hilo...

anachokisema Msigwa ni ukweli mtupu juu ya madudu, masaibu na maisha halisi ya ndani ya chama husika kwasabub amekua huko kwa zaidi ya miaka 20. anajua A to Z ya chama hicho...

na actually,
amewasaidia sana waoga na walio vumilia hali hiyo kwa muda mrefu walau sasa wana pumua...

And for your information,
Mbowe anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe, Msigwa atasaidiwa kumuabisha mbowe mahakamani na waandamizi ndani ya chadema 🐒
 
si kweli kwamba anachohubiri Msigwa kuhusu chama alichojiengua ni kutukana, kua mstaarabu kidogo kwenye hilo...

anachokisema Msigwa ni ukweli mtupu juu ya madudu, masaibu na maisha halisi ya ndani ya chama husika kwasabub amekua huko kwa zaidi ya miaka 20. anajua A to Z ya chama hicho...

na actually,
amewasaidia sana waoga na walio vumilia hali hiyo kwa muda mrefu walau sasa wana pumua...

And for your information,
Mbowe anajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe, Msigwa atasaidiwa kumuabisha mbowe mahakamani na waandamizi ndani ya chadema 🐒
Unaandika hapa kujifirahisha tu na ama kuambulia vijisenti vile vya bando kutoka Lumumba fc!
Huyo msigwa na wewe lmao ushahidi wa tuhuma zenu? Au unapush agenda zenu za kumwondoa mwenyekiti wa cdm kwani amekuwa mwiba kwenu!
Huna ushahidi hata chembe, acha kujifanya unaijua Sana cdm.
 
Unaandika hapa kujifirahisha tu na ama kuambulia vijisenti vile vya bando kutoka Lumumba fc!
Huyo msigwa na wewe lmao ushahidi wa tuhuma zenu? Au unapush agenda zenu za kumwondoa mwenyekiti wa cdm kwani amekuwa mwiba kwenu!
Huna ushahidi hata chembe, acha kujifanya unaijua Sana cdm.
mbona uko zig zaga gentleman? :pedroP:

una weweseka , mihemko au umepanic tu?:pedroP:
 
Back
Top Bottom