Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechelewa Sana aisee .... Tena huyu, hech'e na le,ma ..wamekuwa vibaraka wa mbowe wa muda mrefu, Wameua democrasia CDM..wame jimilikisha chama wamekuwa watu wa mabavu. Na ubabe, Hawaambiliki. hakuna haki kabisa....Kama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.
mzinzi yule, akibaniwa sauti tu anajisogeza.Bila shaka uwaziri wake alioahidiwa, uko palepale, maana sasa hivi atapita ubunge wa kishindo kwa tiketi ya CCM, na kisha analamba uwaziri 😀 😀 😀 Kaupiga mwingi!!
Wewe huko CCM ulihama lini.Hili nilishawahi kusema sana humu. Kuna kasumba ya Makamanda wenzangu kugeuza siasa kama biashara au ajira kuliko kuwatumikia wanabchi.
Sasa wengi wapo kwa ajili ya kudaka ubunge au uongozi ndani ya chama. Wakikosa tu wanahama. Na mwaka 2025 wengi tu watahama baada ya kukosa ubunge.
Chama chetu kinatakiwa kuwa na makamanda wafia chama kama mimi.
Mkuu nadhani kuna walakini ndani ya uongozi wa Chadema siyo bure.
Siasa ni fursa
Uwaamini akina NapeKama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.
Nape ndio nani huko daslam kwani...😳Uwaamini akina Nape
Unampigia mbuzi gitaaNiende Moja Kwa Moja Kwa peter msigwa,najua kuhama chama, ni hiari ya mtu,hamna mtu anayeweza kukulazimisha kuhama chama,Sasa nimefuatilia xna hutuba za peter msigwa imekuwa kero, Kwan yeye hotuba zake zimekuwa za kutukana chama,kumtukana mbowe,si jambo jema,Kwa nn usjifunze Kwa wenzako wengi waliohama? Kumbuka kwamba hakuna mkamilifu,hata uko ulipoenda c wakamilifu,kwanza si jambo jema kutoa Siri za chama,yaan ni sawa ww umeachana na mke wako uanze kutoa Siri zake,si jambo jema,hao watu unao wahutubia wanajitambua sio kwamba hawajua mbivu na mbichi, Kwa nn usitoke USHAURI Kwa chama chako ulipo Sasa?kama ni cheo utapewa subir,kunamambo mengi ya kuzungumza kwenye chama chako, chama kimekulea na umejulikana hapo kutokana na chadema bila chadema usingefka Tena ulisema ukihama tuchome nyumban moto,😁😁,sema watanzania wamekusamehe,USITUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO,KUMBUKA HAKUNA MAREFU YASIYO NA NCHA