Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa

Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo

Credit: Wasafi FM

Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo 😀😀🔥
STUPID ZAKE, HILO NI FUNGU LA KUKOSA
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa

Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo

Credit: Wasafi FM

Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo 😀😀🔥
 

Attachments

  • VID-20240701-WA0005.mp4
    1.5 MB
wewe si unaona mbowe, wananchi wanapigwa virungu wengine hadi wanatekwa, lakini yeye hayupo serious, wakisema analamba asali atakataa, na wenzake wa ndani wanasema analamba asali. imagine, TUNDU LISU angekuwa ndiye mwenyekiti cha chama, upinzani ungekuwaje? mtu aliyesacrifice maisha kapigwa risasi kibao, pale alipo kajitoa haogopi chochote, ana akili nyingi kichwani, mwanasheria, ana exposure, very competent hata kuwa rais, halafu dj tu hapa aliyechukua chama kwa babamkwe anakipigilia misumari? kwa maslahi mapana kwanini mbowe haachii kiti ampe tundu lisu? au kwasababu ccm wanaogopa sana tundu lisu basi wamemwambia mbowe icho kitu asije kukiruhusu ili waendelee kushirikiana naye?

ukitaka kujua kuwa msigwa alikuwa wa maana kwenye chama, angalia jinsi Lema alivyoandika, hajaandika kumkejeli, ameandika kwa uchungu, anajua kilichoendelea.
Mbona hata Mbewe alifungwaa
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa

Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo

Credit: Wasafi FM

Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo 😀😀🔥
Kwahiyo huko ccm ndio kwenye uzalendo?
 
Kwahiyo kuna watu wanaamini wao ndio wanastahili kuwa viongozi tu?

Sasa asubiri kura za maoni za ccm achukuwe fomu ya ubunge ndio ataijuwa kata funuwa ya ccm.

Labda asubiri kuhongwa Udc ndio kijiwe cha majobless.
 
Kwahiyo kuna watu wanaamini wao ndio wanastahili kuwa viongozi tu?

Sasa asubiri kura za maoni za ccm achukuwe fomu ya ubunge ndio ataijuwa kata funuwa ya ccm.

Labda asubiri kuhongwa Udc ndio kijiwe cha majobless.
huyo watampa iringa mjini, jesca watampa viti maalumu. kesi imeisha, mtakutana bungeni kama mbowe atakuwa amejipanga vizuri walau mpate wabunge kadhaa.
 
Hili nilishawahi kusema sana humu. Kuna kasumba ya Makamanda wenzangu kugeuza siasa kama biashara au ajira kuliko kuwatumikia wanabchi.

Sasa wengi wapo kwa ajili ya kudaka ubunge au uongozi ndani ya chama. Wakikosa tu wanahama. Na mwaka 2025 wengi tu watahama baada ya kukosa ubunge.

Chama chetu kinatakiwa kuwa na makamanda wafia chama kama mimi.
 
1. Je unaonaje kuna haja ya katiba mpya
2. Je kuna haja ya tume huru ya uchaguzi
3. Je sheria za uchaguzi zinakidhi haja
4. Je bandari zimeuzwa
5. etc etc

Na mtuletee majibu hapa
 
maswali hayo ni sawa na kumwambia ale ugali na mkaa wa Moto.

Huku aki jua nini kita mtokea baada ya kufanya hivyo.
 
Back
Top Bottom