Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
It's stupid to hate a spotted Hyena for feeding on carcasses. It's Hyenas nature.

Somebody doesn't get hated for what he is,or for simply being what he is.​
 
Msigwa asilaumiwe sana,Lissu alisema hela ya rushwa iliyotumika hadi kumng'oa uenyekiti wa kanda ya Nyasa ilitoka kwa Mama Abdul hivyo ameona na yeye aifuate huko huko ilikotoka.
 
Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan

Pia soma: Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)

Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.


Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.

====

Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma:

1. Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa

2. Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

Ukifuatilia kesi ya pididy kuna skendo ya kuwa alimrifa yule baba wa family matters kisa shida ya hela. Tunapoelekea ni kubaya sana jamii inaporomoka sana.



1719820442784.png

 
Kama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.

Hahah sio mwanasiasa wa upinzani...

Usiamini mwanasiasa yeyote, kwa maana wajinga ni chakula ya wanasiasa...
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa

Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo

Credit: Wasafi FM

Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo 😀😀🔥
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa

Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo

Credit: Wasafi FM

Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo 😀😀🔥
Kila la heri yetu macho.
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa

Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo

Credit: Wasafi FM

Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo 😀😀🔥
kwa ule ubabe na makorokoro ya mbowe,imagine angekuwa rais angefanyaje.
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa

Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo

Credit: Wasafi FM

Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo 😀😀🔥
Kama taifa ni zaidi ya vyama vya siasa angeacha siasa. Sio kuhama
 
Kada wa CCM mchungaji Msigwa amesema yeye kuhamia CCM ni kutokana na Uzalendo wake Kwa Nchi na Taifa letu pendwa

Msigwa kasema Taifa letu ni zaidi ya vyama vya siasa na Watanzania wote wanapaswa kuelewa hilo

Credit: Wasafi FM

Mchungaji Mwema huwaambia Kondoo kila Kitu kibaya kijapo [emoji3][emoji3][emoji91]

Hawa ndio wanasiasa uchara. Muda mfupi ameshasahau alichokisema. Jana kasema amehama CHADEMA kwa sababu hakuna demokrasia, leo anasema ni kwa sababu ya uzalendo! Kesho atasema kwa sababu ya njaa.
 
Back
Top Bottom