Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Pre GE2025 Aliyekuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa ahamia CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shalom,

Ya Mungu mengi ila ya binadamu nayo si haba ndivyo unaweza sema kama nakshi ya kituko cha mchungaji Msigwa kuhamia CCM.
Akihojiwa huku akiwa na kihotuba chake, na papo hapo anaweweseka hawezi kusoma na kutamka vizuri maneno aliyoyandaa mwenyewe ni ishara ya mkurupuko na mfadhaiko wa kitoto na kishamba.
Mch. Msigwa lugha yake ya mwili na matamshi ni ishara ya mkurupuko and a failed calculation.

Mch.Msigwa ni muhanga wa Empty and full Syndrome.

Pole sana ndugu Peter Msigwa kuchagua pia ni matokeo.

Mavi hata yakikauka hayabadiliki jina yanabakia mavi tu.

Vibwengo wana akili fupi wakienda mbele ndio huwa na mbio kali za kurudi nyuma.

Jagoo la Mchungaji Petro lawika Mithili ya kibwengo alikosa kivuli.

Ni hayo tu

Wadiz nipo. Kanyabayonga
chanzo cha muondoko wake ni kushindwa kiti cha uenyekiti wa kanda, alitaka aendelee ,wakati huohuo anamshutum mzee wa nyagi kukaa madarakani muda mrefu
mbona na yeye anataka akae muda mrefu
 
Matatizo haya yote yanaletwa na nchi zetu hizi kuifanya siasa kama chanzo rahisi kabisa cha mapato na utajiri, na si kuwatumikia wananchi. Tutayaona mengi toka sasa hadi August, 2025.
 
chanzo cha muondoko wake ni kushindwa kiti cha uenyekiti wa kanda, alitaka aendelee ,wakati huohuo anamshutum mzee wa nyagi kukaa madarakani muda mrefu
mbona na yeye anataka akae muda mrefu
Ndio vibwengo walivyo wakienda kama wanabaki na wakibaki kama wanaenda
 
Msigwa akipitia vituko vyake vya jana Bora angeumbwa mwanamke jamii ya mdundiko
 
Kama ni kweli, basi ndio mwisho wangu wa kumuamini mwana siasa wa upinzani bongo.
hutakiwi kumuamini binadamu yoyote duniani labda muwe mmelishana yamini.Ishi kwenye itikadi sio watu.
 
Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan

Pia soma: Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)

Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.


Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.

====

Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma:

1. Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa

2. Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

Lilikuwa suala la muda tu tangu 2018 huko.
 
Kuna mwamba alikuwa anaitwa machali, sijui alikuwa nccr yule akaenda sisiyemu, hv aliishiaga wapi yule jamaa?
 
Chama
Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan

Pia soma: Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)

Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.


Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.

====

Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma:

1. Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa

2. Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

Chadema nimevulia kofia ili kuimaliza ccm lazima tujipake , kwenye mfumo wao , naishia hapa
Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan

Pia soma: Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)

Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.


Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.

====

Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma:

1. Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa

2. Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

 
Ogopa njaa na teknolojia , sasa vijana kazi kwao kama tz wako Gen Z wakachome nyumba na magari kama walivyopewa ruksa.
 
Huyu alipoanza kumsifia ccm kwa kuondoa wamasai ngorongoro nikaanza kudoubt sasa yametimia
Umeona eeh. Ile ilikuwa red flag. Tundu Lissu anawatetea wafugaji wasiondolewe kwenye ardhi yao ya asili, Msigwa anapingana nae. Sasa hii confusion ilichanganya sana wadau.
 
Hivi ni kweli kabisa Mch. Peter Msigwa kahamia upande wa pili kama ilivyo kwa Mwamba wa Lusaka “TRIPLE C” ? 🙄
 

Attachments

  • FB831AAE-C9AC-49E4-9FEF-59E99355A015.jpeg
    FB831AAE-C9AC-49E4-9FEF-59E99355A015.jpeg
    32.8 KB · Views: 2
Mchungaji Peter Msigwa amejiunga rasmi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) na amepokelewa kwenye kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM NEC kinachoongozwa na Mwenyekiti wa CCM Daktari Samia Suluhu Hassan

Pia soma: Mch. Msigwa: Nikihamia CCM, wananchi chomeni moto nyumba na magari yangu
Alizaliwa Juni 8 1965, ni mwanasiasa Mtanzania aliyekuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Mbunge wa Iringa Mjini (2015-2020)

Kwa sasa Mchungaji Msigwa ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA.

Hivi karibuni 30 Mei 2024 Mbunge wa zamani wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, maarufu kama Sugu, alimshinda Mchungaji Peter Msigwa kwenye Cheo cha Uwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa.


Katika uchaguzi wa kanda hiyo uliofanyika ukumbi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makambako, ambao ulikuwa na mchuano mkali, Sugu aliibuka kidedea baada ya kupata kura 52 sawa na asilimia 51 dhidi ya Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa aliyepata kura 51 (asilimia 49). Matokeo hayo Mchungaji Msigwa hakukubaliana nayo kwa kile alichodai haki haikutendeka na alikata rufaa.

====

Kuhusu Mchungaji Msigwa kutaka kupewa Uwaziri na Hayati Magufuli soma:

1. Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Hayati Magufuli alitaka kunipa uwaziri na pesa lakini nilikataa

2. Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

 

Attachments

  • 5757228-2d34d6c66ed94e4c5aaaed0c01398d55.mov
    1.4 MB
Wanasiasa sio binadamu wa kuaminika hata kidogo, hasa hawa wa Tanzania. Mamluki wa ccm wamejaa sana huko cdm ndio maana hata chama hakipigi hatua.

Inawezekana kabisa wote cdm na ccm wanataka tutawaliwe hivi for generations to come.
 
Kama ulimwunga mkono Msigwa kwa sababu ya itikadi mliyokuwa mkiiamini, ni halali kabisa kujitenga naye. Maana kilichokuwa kinawaungamisha, hakipo tena.

Lakini kama ulikuwa unamwunga mkono Msigwa kwa sababu ya kunufaika naye, basi utaungana naye kokote aendako hata kama ni gizani.
 
Back
Top Bottom