Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Magaidi ni MATAGA wote kama wewe ambao hamna ya kuishi zaidi ya kuuza majungu.

Midomo yenu ni sumu kali zaidi ya nyoka swira.
Mungu lazima atawahukumu kulingana na matendo yenu.
Haa wapi,sisi ni spana tu.majungu ni ya Lisu munguwenu.
 
Huu ndio muonekano wa kaburi la aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania hayati Dkt. John Pombe Magufuli nyumbani kwao Wilayani Chato.

rickmediatz_1657587922812530967378712051752799892810489n.jpg


michuzijr_16498132830416575394923717029390117553034210n.jpg


michuzijr_1641037311645415488483747694887853931526885n.jpg
 
Wakuu hii inakaaje, kwamba nimeona kaburi mbili, moja ikiwa imekamirika ambayo inapicha yake,na wakati huo sehem nyinginea ipo wazi ambapo viongozi wameweka mchanga , kwangu haya ni mazalau KWA watz KWA nini , ??
Ndo Maraisi wanavyo zikwa, kwahiyo usishangai
 
Back
Top Bottom