Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Kwa maelezo ya Majaliwa kuna uwezekano watu walitaka zima mashine ya mama yake JPM asiendelee kupumua aungane na mtoto wake...
Heko rais kwa kulisimamia hilo...
 
Eehh basii eehhh...Hayaaa

Ndugu zanguu..asanteni sana

Barikiwa sana A .H. Mwinyi
 
Kuongoza nchi sio jambo rahisi sana.

nawaza mtu ana mke na watoto wawili ila hawezi kuongoza familiya migogoro kibao,sembuse magufuli kuongoza hili linchi looote? Lawama zote kwake?

Wewe unaeshindwa kuongoza familiya usimame kumuhukumu magufuli?

Nahisi magufuli kaishi maisha magumu pale ikulu, wabaya wake wote wenda waliishi nae.

Sisi hatuwezi kujua ni makubwa gani alikuwa akiyapitia ila mtu anamuhukumu tu.

Wacheni akahukumiwe mbinguni ila sisi ambao tuko hai tukae kimya. Kile kiti cha urais sio chepesi kukikalia ukawa na amani ya moyo.

Kinachomponza magufuli ni the so called " employer's liabbility. Yaan sometimes analazimika kubeba dhambi za watu wengine.

Kila binadamu ana napungufu yake hivyo basi itoshe kusema that man was a good person.

Ameniuma sana coz nahisi alipitia mengi ambayo yalikuwa nje ya uwezo wake.

Hizi movie tunazoziona zinatosha kujua Rais au mfalme anapitia maisha gani magumu wakati akiwatumikia watu wake.

Lala salama magufuli huko uendako hakuna majungu, matusi, lawama.ni kusinzia tu.
Katika maisha ya baadae (kuzaliwa upya) ningependa nije nikuzae uwe kati ya watoto wangu nitakaojaliwa.

R.I.P J.P.M[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji120]
 
Kuongoza nchi sio jambo rahisi sana.

nawaza mtu ana mke na watoto wawili ila hawezi kuongoza familiya migogoro kibao,sembuse magufuli kuongoza hili linchi looote? Lawama zote kwake?

Wewe unaeshindwa kuongoza familiya usimame kumuhukumu magufuli?

Nahisi magufuli kaishi maisha magumu pale ikulu, wabaya wake wote wenda waliishi nae.

Sisi hatuwezi kujua ni makubwa gani alikuwa akiyapitia ila mtu anamuhukumu tu.

Wacheni akahukumiwe mbinguni ila sisi ambao tuko hai tukae kimya. Kile kiti cha urais sio chepesi kukikalia ukawa na amani ya moyo.

Kinachomponza magufuli ni the so called " employer's liabbility. Yaan sometimes analazimika kubeba dhambi za watu wengine.

Kila binadamu ana napungufu yake hivyo basi itoshe kusema that man was a good person.

Ameniuma sana coz nahisi alipitia mengi ambayo yalikuwa nje ya uwezo wake.

Hizi movie tunazoziona zinatosha kujua Rais au mfalme anapitia maisha gani magumu wakati akiwatumikia watu wake.

Lala salama magufuli huko uendako hakuna majungu, matusi, lawama.ni kusinzia tu.
Katika maisha ya baadae (kuzaliwa upya) ningependa nije nikuzae uwe kati ya watoto wangu nitakaojaliwa.

R.I.P J.P.M😭😭😭😭😭
Umeandika mambo mazuri Ila huko mwishoni umeharibu....
RIP Jemedari wetu JPM
 
Wale wenye chuki nae hawakutegemea kabisa kile kinachotokea baada ya kifo chake, sasa maumivu yamekuwa makali ndani ya nafsi zao kuliko awali.

Kipindi yupo hai waliombea sana afe ,wakiamini maumivu yaliyotokana na chuki zao binafsi kwake yangekwisha kabisa baada ya kifo chake.

Ajabu sasa baada ya kifo chake maumivu na wivu ndio vimeongezeka Mara dufu ndani ya mioyo yao, kwa sasa wana maumivu makali kuliko hata wale waliompenda tangu awali,hawakutegeme mwitikio huu ndio sababu wanashindwa kujizuia kuonyesha maumivu na chuki zao kwa kila aina ya maneno mabaya ili tu kujifariji kwa maumivu waliyonayo.

Sababu ya yote haya, ni wao kujaribu kupingana na ukweli tangu mwanzoni kabisa,wakajitungia UKWELI wao,wakausambaza kwa kadri ya uwezo wao wakautetea na kuupigania kwa kadri ya uwezo wao,mwishoni ndani ya akili zao wakaamini WaTanzania wamekubaliana na UKWELI wao,wakaamini Dunia imekubaliana na UKWELI wao.

Waliosema usibishane na ukweli waliona mbali, na ukibishana nao matokeo yake ndio kama hayo.

sasa baada ya kifo chake,ukweli umejionyesha kinyume na UKWELI wao,hali hiyo imepelekea maumivu makali sana miongoni mwao.

Kuthibitisha hilo la maumivu waliyonayo, angalia comments zao hapa! Ama pitia baadhi ya nyuzi zao na michango yao utayaona maumivu yao yalivyo dhahiri.

Ukweli utakuweka huru ila kwa akili zao,wataendelea kukomaa na UKWELI wao,usiwachukie bali waonee tu huruma!!!!
 
Back
Top Bottom