barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Uhakika wapi wakati unaona nasema kuna Uwezekano?Wabongo kwa kupenda uzushi hamjambo.una uhakika na hilo unalosema?
kiswahili ulisomea IST au...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhakika wapi wakati unaona nasema kuna Uwezekano?Wabongo kwa kupenda uzushi hamjambo.una uhakika na hilo unalosema?
Huo uwezekano umeutoa wapi?Uhakika wapi wakati unaona nasema kuna Uwezekano?
kiswahili ulisomea IST au...
Mie nahis life style...yaan balaa jamaniSijui uzee inakuaje ,mi naweza kupiga story saaana,halafu Badae nshasahau nawauliza waskilizaji hivi tulikua tunaongea nini?
Si hata mzee niko early 40+
[emoji1787][emoji1787]Wengi mnaofurahia hotuba za misibani mtakua wageni wa misiba.
Aawapi kwa hotuba hii niloiskia hapa. Watanzania tujiandae kisaikolojia hili ni janga mama kashindwa kabla hajaanza.Vita hiyo ndio kwanza imeanza
Tawala zote zilizopita tumekuwa watu wa kulalamika tu hata huu unaokuja tutalalamikaHaiwezi kuwa kazi kubwa kamwe.
Kutoa uongozi sehemu ambayo una taasis kibao zinakusaidia.
Unasheria na taratibu za kufanya mambo ambazo zinakuwa enforced.
Tenda haki,fuata sheria,kanuni na taratibu. Heshimu mamlaka nyingine kwenye utendaji wao. Ingilia pale tu inabidi na kufuata utaratibu.
Epuka kujiona wewe ndiyo wewe,bila wewe mambo hayaendi.
Wote wanaolalamika uongozi mgumu ama shida wao ndiyo tatizo.
Fikiria story za kufa mtu unapiga funda kahawa watu enhee, we unawauliza tulikua tunaongea nini?Mie nahis life style...yaan balaa jamani
Naungana na wewe,wanatuwekea program ambazo hatuwez wasikiliza.wangetuonyesha tukio zaidi.Huyo machambuzi hatumsikiliz saa hiz,tunataka kufuatilia zaidi tukioYaani wakati watu tunaham ya kufuatilia yanayojiri chato kwenye mazishi ya JPM nyie kila saa mnaturudisha studio mnajadilijadili tu badala ya kutuachia tuangalie. Kama hamna uwezo kucover mda wote si muunge azam au tbc aisee kwa kituo kikubwa kama chenu kufanya chini ya matarajio ya watazamaji ni fedheha
Picha tafadhaliKuna huyu dada wa itifaki hapa anaongoza viongozi kutoka hapa uwanjani niseme tu yuko njema wazee[emoji23]
Picha tafadhali
Ova
🤣🤣🤣🤣Wengi mnaofurahia hotuba za misibani mtakua wageni wa misiba.
Na havai miwani. YAni anasoma bila miwani. Ni neema kubwa sana
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app