Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

See you again El Commandente John Joseph"Pombe"Magufuli"
May Holy Mary Mother of Mercy embrace in her hands.
Umejitahidi kuishi katika kusudu la kuumbea kwako...Tutayaishi maono yako.

Mwanga wa Milele ukuangazie 💔💔😢😢
Yaani Mariamu ampokee kama nani?

Mkuu, Mariamu alimzaa Yesu lakini hakumzaa Kristo ambaye ni Immanuel, yeye ni wa milele, hakuumbwa, hana mwanzo wala mwisho.

Mariamu yeye mwenyewe ilimpasa kumwamini Yesu ili aweze kuurithi uzima wa milele, hakuwa na guarantee yoyote kwamba lazima afike mbinguni.

Huu ukweli rahisi sana hata sielewi kwanini baadhi ya watu wanakwama.
 
Kaburu limependeza kwa nje...imetengenezewa ngazi.. Hii mazishi kiboko kweli.. Watu wamechoka,Madame Rais anaangalia saa.. Hakuna ndugu anayelia wakati wa kutupa udongo.
 
Sasa mbona matukio muhimu hapo nyumbani kwake hayaonyweshwi,wanaonyeshwa onyeshwa watu na ndege tu hata kaburi kuliona ni nongwa,duuu
Yaani kuna vitu wanaona tu waliopo hapo. Hatujaona Jeneza likitelemshwa wala Kufunikwa kama kwa Mkapa!
 
Naomba mwenye picha zinazoonyesha Marehemu akishushwa kaburini, na ikiwa na mashada kabisa.
 
Yaani Mariamu ampokee kama nani?

Mkuu, Mariamu alimzaa Yesu lakini hakumzaa Kristo ambaye ni Immanuel, yeye ni wa milele, hakuumbwa, hana mwanzo wala mwisho.

Mariamu yeye mwenyewe ilimpasa kumwamini Yesu ili aweze kuurithi uzima wa milele, hakuwa na guarantee yoyote kwamba lazima afike mbinguni.

Huu ukweli rahisi sana hata sielewi kwanini baadhi ya watu wanakwama.
A mad man say what he say..
Here you are
 
Kaburu limependeza kwa nje...imetengenezewa ngazi.. Hii mazishi kiboko kweli.. Watu wamechoka,Madame Rais anaangalia saa.. Hakuna ndugu anayelia wakati wa kutupa udongo.
Tupeni picha tuone
 
Hapa umeandika shudu mkuu 🤔
Yawezekana wewe ni mtoto au hujatembea sana kujua tamaduni za watu, wasukuma huwa wanazikana na mtu mzima wa afya. Hata humu jukwaani kuna uzi kabisa tena nadhani huko geita
 
Yaani Mariamu ampokee kama nani?

Mkuu, Mariamu alimzaa Yesu lakini hakumzaa Kristo ambaye ni Immanuel, yeye ni wa milele, hakuumbwa, hana mwanzo wala mwisho.

Mariamu yeye mwenyewe ilimpasa kumwamini Yesu ili aweze kuurithi uzima wa milele, hakuwa na guarantee yoyote kwamba lazima afike mbinguni.

Huu ukweli rahisi sana hata sielewi kwanini baadhi ya watu wanakwama.
Mkuu, hakuna ukweli wowote hapo bali ni imani ....!!
 
Yaani kuna vitu wanaona tu waliopo hapo. Hatujaona Jeneza likitelemshwa wala Kufunikwa kama kwa Mkapa!
Nimeshangaa sana kwa wanyonge kutopewa fursa hata ya kuona tu kupitia tv kinachoendelea juu ya mazishi ya kipenzi chao,hawajatendewa haki kabisa,kwenye mazishi kuna siri gani sasa
 
Urais kiboko, mama samia naona kaanza kuzeeka! Naona wrinkles usoni ambazo sijawahi ziona kwake usoni
😀😀😀
 
Back
Top Bottom