Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt. John Magufuli azikwa Chato mkoani Geita

Ktk maandiko na kwa imani ya dini na vitabu vyote, maamdiko hayajaleza waziwazi kuwa wafu watafufuka vp, ila yamesema tu watafufuka... So hapo kwenye kufufuka sisi tuna imagine tu.. Bt Mungu mwenyewe anajua. So hata ufukiwe futi futi 30 kwenda chini, still utafufuka tu.
1 korintho 15; 35-38

35Lakini mtu anaweza kuuliza: "Wafu watafufuliwaje? Watakuwa na mwili wa namna gani wakati watakapokuja tena?" 36Hayo ni maswali ya kijinga! Ukipanda mbegu, isipokufa kwanza haitaota. 37Unachopanda ni mbegu tu, labda ya ngano au nafaka nyingine, na si mmea mzima ambao hutokea baadaye. 38Mungu huipa hiyo mbegu mwili anaoutaka mwenyewe; kila mbegu hupata mwili wake wa pekee. 39Miili ya viumbe vyote si sawa. Miili ya binadamu ni ya namna moja, ya wanyama ni ya namna nyingine, ya ndege ni ya namna nyingine na miili ya samaki pia ni ya namna nyingine. 40Iko miili ya mbinguni na miili ya duniani; uzuri wa miili ya mbinguni ni mwingine, na na uzuri wa miili ya duniani ni mwingine. 41Uko uzuri wa jua, wa mwezi na wa nyota; hata nyota nazo huhitilafiana kwa uzuri.

1 korintho 15; 53-55


53Maana sharti huu uharibikao uvae kutokuharibika, nao huu wa kufa uvae kutokufa.
54Basi huu uharibikao utakapovaa kutokuharibika, na huu wa kufa utakapovaa kutokufa, hapo ndipo litakapokuwa lile neno lililoandikwa, Mauti imemezwa kwa kushinda.
55Ku wapi, Ewe mauti, kushinda kwako? U wapi, Ewe mauti, uchungu wako?
 
Angalieni pale kaburini vizuri,huyu mleta mada hajakurupuka. Nyie mlikuwa kwenye tv,wenzenu tulikuwa laivu. Tujibu hoja kwa hoja
 
Wakuu hii inakaaje, kwamba nimeona makaburi mawili, moja likiwa limekamilika ambalo linapicha yake, na wakati huo sehemu nyingine ipo wazi ambapo viongozi wameweka mchanga, kwangu haya ni mazalau kwa watz kwa nini?
Ule ni mfuniko wa kaburi umetengenezwa kwa material ya marble..... Haujaona baada ya kushusha jeneza katika kaburi wakausogeza ule mfuniko na kufunika kaburi?!
 
Ule ni kama mfuniko wa kaburi, ndio maana kukawa na reli za kuusukuma ili kufunika kaburi lenyewe. Turudi kwenye point ni kwamba hilo kaburi lingeachwa lijengwe baadae ni uharibifu wa rasilimali kitu ambacho marehemu hakukipenda enzi za uhai wake. Alitaka mambo yaende haraka.
uharibifu wa mali kwenye jeneza tu kwingine hujaona uharibifu...?
 
Nakerwa sana na hii kauli iliyozoeleka miongoni mwa jamii yetu, kuwa, eti, "tunaenda kumweka marehemu kwenye nyumba yake ya milele".

Ingekuwa kauli hii inatolewa na watu wa kawaida, wasiojua mafundisho ya dini, wala nisingeshangaa. Lakini, cha kushangaza zaidi, nimekuwa nikiwasikia hata hao wanaojiita viongozi wa dini, Mapadre, Wachungaji, Manabii na Maaskofu wakiongea bila aibu eti, kaburi ni nyumba ya milele.

Jamani, nani kasema kaburi ni nyumba ya milele? Je, YESU KRISTO, alikaa kaburini milele?

Je, siyo YESU aliyesema kifo ni usingizi tu na siku atakapokuja tena, atawafufua wafu?

Sasa kama wafu watafufuliwa, iweje basi tuambiwe na hao wanaojiita viongozi wa dini kuwa kaburi ni nyumba ya milele??
Nini maana ya neno milele? Milele maaana yake, "isiyokuwa na mwisho".
Kwa maandiko yetu sisi Wakristo (Biblia), makaburi yana mwisho, maana yake wafu watafufuliwa na kutoka makaburini, na hao wafu wataishi tena, yaani hawatakufa tena bali wataishi milele katika Ufalme wa MUNGU, na siyo kaburini.

Sasa kama ni hivyo kwanini tunasema kaburi ni nyumba ya milele wakati siyo kweli.

Kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu, kaburi ni nyumba ya muda mfupi tu. Na hilo tulioneshwa wakati wa kifo cha YESU, alikaa kaburini kwa muda mfupi, siku tatu, na kisha akafufuliwa na kupaa Mbinguni.

Nawaomba ndugu zangu Wakristo, tuache huu "ujinga" wa kusema; "tunampeleka marehemu kwenye nyumba yake ya milele". No! Hapana! Kaburi siyo nyumba yetu ya milele na kamwe kaburi haliwezi kuwa nyumba yetu ya milele.

Tukisema kaburi ni nyumba ya milele, basi ni sawa na tunashiriki kumtangaza YESU kuwa ni "muongo", kwani Yeye alisema, "atatufufua siku atakaporudi tena".

Na YESU KRISTO siyo "muongo", alichokisema ni KWELI kuwa atatufufua na hilo litatimia.

Nina uhakika hata ndugu zetu Waislamu wanatambua kuwa siku ya "kiama", wafu watafufuliwa. Sasa kama ni hivyo, kaburi haliwezi kuwa nyumba ya milele.

Jamani, tubadilike, hasa hasa ninyi mnaojiita viongozi wa dini, acheni upotoshaji! Acheni kuongea ongea vitu kimazoea!
May be maandiko yanasema hivyo
 
Habari za social media ni sahihi zaidi kuliko hao akina Majaliwa. Si hao waliuosema Rais yuko busy akipekua mafaili wakati tayari alikwisha kuaga dunia? Utawaaminije hao?
Alituambia rais yuko buheri wa afya akiendelea na kazi zake, kumbe uhalisia mwamba tayari alikuwa wabaridi kitambo tu, mitano tenaaaaaaa.
 
Magufuli alizikwa juzi usiku na wazee wa mji wakisukuma,walidai Magufuli alikua ni mfalme,
Jana kulikua na jeneza tupu bila kitu.
Magufuli alizikwa juzi usiku baada ya wazee kuchukua mwiliwake na kizika pasipojulikana.
Jeneza lilikua tupu,hakuna alikua akijua Hilo.
Askof alikua anazika jeneza tupu bila kujuakunachoendelea.
 
Habari za social media ni sahihi zaidi kuliko hao akina Majaliwa. Si hao waliuosema Rais yuko busy akipekua mafaili wakati tayari alikwisha kuaga dunia? Utawaaminije hao?
nachukia watu wanao mlaumu majaliwa jiulize maswal haya kabla hujamlaum
*majaliwa ni Pm ana pata taarifa kwa wakubwa zake
*je kama mzee hakutaka itangazwe
*na je kama walipanga kupunguza taharuki wakati ule
+ukitaka kuamin angalia shahuku ya watanzania wakati ule alafu angalia muda waliokuja kutangaza huoni taharuk ilipungua kwa kias fulan . Jaman viongoz wetu wanafany kaz kwa utaratibu na kwa viapo vya kutunza siri walivyoapa mbele ya mh rais

Muwe mnafikiriaga je kama ni ww ungesemann msilalamike tuu fikirieni
Kiufupi naiman sana na serikal iliyopo mzee alijenga misingi mizur Mwenyez Mungu ampumzishe mahal pema

***NAKUPENDA TANZANIA
 
Back
Top Bottom