Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Dito nae wapemba nao wakamfanyia yao. Hatari sana.Ukiwaona Ditopile wa mzuzuri alimfumua dereva ubongo njia panda ya kawe Lugalo na akashinda kesi sembuse RC aliyekula mbususu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dito nae wapemba nao wakamfanyia yao. Hatari sana.Ukiwaona Ditopile wa mzuzuri alimfumua dereva ubongo njia panda ya kawe Lugalo na akashinda kesi sembuse RC aliyekula mbususu?
Huo ndo ukweli nao waheshimiwa shida wanataka kula malaya kiheshimiwa ndo shida inaanzia hapo, malaya anaona hii ni fulsa ya kutoka kimaisha yeye na familia yake anaundiwa zengwe apigwe mtonyo tu,, sisi wa kitaa tu tukienda kununua hizo papuch hatuendi na simu wala wallet yan ikibidi naenda na track suits tu na hela yake ya kumlipa hapo inakua imeisha ata anisechi akuti kitu mfukoni......... 😎😎😎😎Kwahio mwanafunzi alikuwa anataka kumchafua mheshimiwa duh
Nilitaka kuuliza hili swali.Huyo baba anayelia ndio nani kwake? Mhusika anacheka wengine wanalia!
Akafia Guest house Morogoro,Dito nae wapemba nao wakamfanyia Yao.
Tulilumbana sana humu mimi na wachache tulikuwa upande wa Nawanda kuwa atashinda na Imekuwa hivyo.Wakuu,
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi.
Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka moja la kulawiti kinyume na kifungu namba 154 (1) (a) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16.
Akizungumza na Wanahabari baada ya hukumu hiyo, Nawanda amesema "Namuachia Mungu." kisha akaondoka eneo la Mahakamani.
Awali, kabla ya ushahidi wa upande wa mshtakiwa kuanza kutolewa, Julai 16, 2024 mbele ya Hakimu Marley, mashahidi wawili wa Jamhuri ambao ni Mwanafunzi anayedaiwa kulawitiwa pamoja na mama mzazi wa mwanafunzi huyo walifungua ukurasa wa kutoa ushahidi ambapo waliutoa kwa siri (faragha).
Pia, Soma: Hukumu ya aliyekuwa RC Simiyu, anayetuhumiwa kulawiti kutolewa leo Novemba 29
Mahakama ya mbinguni huyo malaya ndiye mwenye kesi nzito.Hiyo ni mahakama ya Ccm kuna mahakama ya uraiani na mbinguni,haaminiki tena
Watulie na wake zaoSasa wakatembee na wawapi mkuu
Kwamba viongozi waache kutembea na mademu wa mtaani!! Watembee na mademu wa wapi sasa? Mbinguni? Au baharini?mademu
Kwamba viongozi waache kutembea na mademu wa mtaani!! Watembee na mademu wa wapi sasa? Mbinguni? Au baharini?
Angeshinda mbowe mngesema hukumu ya hakiNilisema hakuna Hakmu wa kutoa haki kwenye kesi kama hiyo. Huyu Hakimu anawinda kuwa Jaji, leo apigiwe simu akatae?
Wakuu,
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dkt. Yahaya Nawanda ameachiwa huru baada ya kushinda kesi aliyokuwa akituhumiwa ya kumlawiti Mwanafunzi wa Chuo iliyokuwa ikieneshwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi.
Dkt. Nawanda alifikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza Julai 9, 2024 na kusomewa shitaka moja la kulawiti kinyume na kifungu namba 154 (1) (a) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16.
Akizungumza na Wanahabari baada ya hukumu hiyo, Nawanda amesema "Namuachia Mungu." kisha akaondoka eneo la Mahakamani.
Awali, kabla ya ushahidi wa upande wa mshtakiwa kuanza kutolewa, Julai 16, 2024 mbele ya Hakimu Marley, mashahidi wawili wa Jamhuri ambao ni Mwanafunzi anayedaiwa kulawitiwa pamoja na mama mzazi wa mwanafunzi huyo walifungua ukurasa wa kutoa ushahidi ambapo waliutoa kwa siri (faragha).
Pia, Soma: Hukumu ya aliyekuwa RC Simiyu, anayetuhumiwa kulawiti kutolewa leo Novemba 29