Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola adaiwa kuwa chini ya ulinzi

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola adaiwa kuwa chini ya ulinzi

Mungu kajibu maombi ya walokole alikuwa akiwanyanyasa tulimuonya humu.Lugora kaa mbali na kunyanyasa walokole akajitia kichwa ngumu yako wapi? Akaingia kunyanyasa mitume na manabii hadharani kilichomkuta halali yake.Nakala imfikie Sophia Mjema na mkurugenzi wa mji wa Babati .Lugora ananyolewa wao watie maji
Bado Magufuli naye siku yake ipo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine unaweza kupata kazi sana kum-support Jiwe, anafanya mambo kinyumenyume sana mpaka unashindwa kuelewa nia yake hasa katika haya mambo ya rushwa ipo wapi? Maana tukumbuke huyu mtu naye atatoka madarakani,na nchi yetu itabaki.Ina miaka mitano tu mbele...maana ni hakika kwa mfumo wetu,huo mwezi October atashinda tu.

Huyu Kangi Lugola hakupaswa kabisa kuwepo kwenye hilo baraza na hii Wizara,huyu na Mwambalaswa na yule Mbunge wa Morogoro Mvomelo,walikutwa na shutuma za rushwa,kesi ikaisha kiajabu ajabu ili kutokukichafua chama,huyohuyo Lugola tena unampa wizara unategemea nini?

Halafu kwa sasa,ili kiongozi wa Serikali asafiri nje ya nchi,ni lazima awe na kibari cha Kutoka Msajili wa Hazina na Ikulu.Msajili wa Hazina anajiridhisha kuwa safari hiyo ina manufaa kwa nchi na haitaigharimu serikali pesa nyingi,kama safari inahusisha nauli,per diem n.k toka serikalini,msajili lazima ajiridhishe kuwa jambo hilo lina manufaa kwa nchi.

Hawa wa ngazi za kina Kangi Lugola,Katibu Mkuu na wengine wenye uteuzi wa ki-Rais,Mzee lazima ajue wanatoka nje ya nchi.Kwa wizara kama ya Mambo ya ndani ambayo ni ya Kiulinzi,Waziri kila siku kabla hajalala lazima afikishe report ya mambo ya usalama wa raia na nchi.Sasa kama alienda safari zote huko Romania huyu Jiwe hakujua??Yaani mpaka unasainiwa mkataba yeye hakuwa na taarifa?

Kama hakuwa anajua lolote,basi hapa tatizo kubwa ni Jiwe na hawa kina Kangi na Andengenye ni "bangusilo" tu.

Inashangaza sana.Ile hotuba ya Rais mwenye vyombo vyote anaishia kulalamika,analialia mbele ya Raia...Mzee kama Rais unatakiwa usilielie,toa suluhisho,ukiona wizara inakutesa ujue wewe pia umeshindwa?Inaposhindwa Wizara ujue na Rais kashindwa...Hii ndio dhana ya "Collective Responsibility"
 
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya ndani kangi Lugola aitwa na TAKUKURU kwa ajili ya mahojiano juu ya tuhuma za Kuingia mkataba wa kimangungo wa tsh zaidi ya Trillioni moja
Lakini mimi binafsi nashindwa kuelewa vetting ya viongozi wa Ccm kwa sasa.
Huyu Lugola akiwa kwenye kamati za bunge aliwahi kutuhumiwa kwa rushwa hadi kupelekwa mahakamani. Kesi ikaendeshwa kiCcm ikapotea. Sijui nibdharau kwa Watnzania au ni Ccm kujisahau, Mh Rais akampa uwaziri. Jambo ambalo naamini kama angekuwa Mwl. Nyerere hata marais wengine walio pita huyu hange pewa hata ubalozi wa nyumba kumi za Ccm. Wananchi waliandika na kulalamika sana uteuzi wa Lugola kuwa Waziri lakini haikusaidia. Leo Mh Rais alie dharau mawazo ya wananchi ana lalamika kuhusu Lugola kupig deal?? /Tumueleweje? Tumuonee huruma au tumuilize kwanini hakusikia wananchi walio mpa kura wakati wana mkataa Lugola?
Hii iko pia kwa alie pewa wizara kwa sasa. Huyu aliondolewa uwaziri kwa kashfa kwenye madini na nishati Mh kampeleka Ofisi ya Makamu wa Rais na sasa wizara ya. Mambo ya ndani. Hakuwahi kumsafisha na zile tuhuma. Je yakitokea ya Lugola attuambia tena hafai???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Mhe. Rais Magufuli amempongeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Jacob Kingu kwa kuandika barua ya kujiuzulu wadhifa wake ili kuwajibika kwa dosari hiyo, na amewashangaa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Kangi Lugola na Kamishna Jenerali wa Zimamoto na Uokoaji (CGF) Thobias Andengenye kutowajibika kwa dosari hiyo-Barua ya Gerson Msigwa

Nionyeshe amelisanuaje hapo.

dodge
Aisee amekutafunia na kumeza pia akumezee. ....??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu kajibu maombi ya walokole alikuwa akiwanyanyasa tulimuonya humu.Lugora kaa mbali na kunyanyasa walokole akajitia kichwa ngumu yako wapi? Akaingia kunyanyasa mitume na manabii hadharani kilichomkuta halali yake.Nakala imfikie Sophia Mjema na mkurugenzi wa mji wa Babati .Lugora ananyolewa wao watie maji
Usijifariji Mkuu, kwa Ankol Magu Integrity na Performance ni KEY ya kubaki kwenye nafasi yako, watizame hawa kisha utaelewa.

1. Suleiman Jafo
2. Ummy Mwalimu
3. Willium Lukuvi
4. Hamis Kigwangala
5. Prof. Aidan Mwaluko Kabudi

WATENDAJI WENYE PERFORMANCE NA INTEGRITY lakini LOW PROFILE
1. Prof. Ndalichako
2. Balozi Dr. Antony Mahiga
3. Philip Mpango Dr.
4. Hussein Mwinyi

Anamaliza nao hawa kwenye awamu ya kwanza na uwezekano mkubwa wa kurudi kwenye wizara hizo hizo katika awamu ya pili.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola aitwa na TAKUKURU kwa ajili ya mahojiano juu ya tuhuma za kuingia mkataba wa kimangungo wa zaidi ya Shilingi Trillioni moja.

Usanii tu ili kuhadaa umma. Alitakiwa awe ndani saa hii kama kweli kuna lolote.
 
Wote waliojibizana na Musiba wanaisoma namba,alianza na wazee ,wakampigia kelele sauti zao zikawekwa mezani wameufyata hadi wakaomba msamaha,Lugola yeye alikuwa anajimwambafay kwa Musiba naye imekula kwakwe,mtashangaa kuona waziri wa kwanza kuwekwa ndani kwa uhujumu uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyoosha tu maekezo kuwa: musiba anatafutiwa Jimbo la lugola kwa namna yoyote! Usifiche kwani lipo wazi na hii ni zawadi kwa musiba ili akaendelee kuwashika na kuwanyamazisha wabunge bungeni na huenda akapewa uwaziri ili azidi kumsujudu bwana mkubwa kwa mapambio ya sgr, bwawa, ndege na flyover!
 
Nakumbuka ulisema wazi
Mungu kajibu maombi ya walokole alikuwa akiwanyanyasa tulimuonya humu.Lugora kaa mbali na kunyanyasa walokole akajitia kichwa ngumu yako wapi? Akaingia kunyanyasa mitume na manabii hadharani kilichomkuta halali yake.Nakala imfikie Sophia Mjema na mkurugenzi wa mji wa Babati .Lugora ananyolewa wao watie maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu kajibu maombi ya walokole alikuwa akiwanyanyasa tulimuonya humu.Lugora kaa mbali na kunyanyasa walokole akajitia kichwa ngumu yako wapi? Akaingia kunyanyasa mitume na manabii hadharani kilichomkuta halali yake.Nakala imfikie Sophia Mjema na mkurugenzi wa mji wa Babati .Lugora ananyolewa wao watie maji
Ogopa sana mtu anayeonewa lakini hajibu mapigo, then amalizie kwa kusema, namwachia Mungu
Pole yake sisi tunashitaki kwa MUNGU tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ficha ujinga wako basi,kwani tuhuma hizo za kushiriki hivyo vikao na kuwa wanalipwa kila siku alizivumbua bibi yako mzaa baba au Rais mwenyewe? Alijua kuwa kuna kitu kinaendelea ndiyo maana akasema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwasemea Bibi wa wengine kwa lugha isiyofaa kwani hata wewe una Bibi mzaa babako! Magu anapewa taarifa tu na vyombo vya kiusalama na kitendaji na haendi field kusaka taarifa!

Haiwezekani hata kidogo waziri wa wizara nyeti hivi asafiri nje ya nchi na kuyafanya aliyoyafanya bila idhini ya rais na hata baraza Zima la mawaziri kujua! Magu alijua kila kitu juu ya dhumuni la mkataba ule ndio maana alimruhusu waziri kwenda kumuwakilisha na kutia sahihi mkataba ule! Usidanganye hapa na matusi yako ya rejareja na kusimama upande unaouhusudu Bali jifunze kusema ukweli japo mchungu!

Kama kweli waziri Ana makosa, katibu wa wizara anapewaje shavu huku wizara yake ikivurunda?
 
Wakati mwingine unaweza kupata kazi sana kum-support Jiwe,anafanya mambo kinyumenyume sana mpaka unashindwa kuelewa nia yake hasa katika haya mambo ya rushwa ipo wapi??Maana tukumbuke huyu mtu naye atatoka madarakani,na nchi yetu itabaki.Ina miaka mitano tu mbele...maana ni hakika kwa mfumo wetu,huo mwezi October atashinda tu.

Huyu Kangi Lugola hakupaswa kabisa kuwepo kwenye hilo baraza na hii Wizara,huyu na Mwambalaswa na yule Mbunge wa Morogoro Mvomelo,walikutwa na shutuma za rushwa,kesi ikaisha kiajabu ajabu ili kutokukichafua chama,huyohuyo Lugola tena unampa wizara unategemea nini??

Halafu kwa sasa,ili kiongozi wa Serikali asafiri nje ya nchi,ni lazima awe na kibari cha Kutoka Msajili wa Hazina na Ikulu.Msajili wa Hazina anajiridhisha kuwa safari hiyo ina manufaa kwa nchi na haitaigharimu serikali pesa nyingi,kama safari inahusisha nauli,per diem n.k toka serikalini,msajili lazima ajiridhishe kuwa jambo hilo lina manufaa kwa nchi.

Hawa wa ngazi za kina Kangi Lugola,Katibu Mkuu na wengine wenye uteuzi wa ki-Rais,Mzee lazima ajue wanatoka nje ya nchi.Kwa wizara kama ya Mambo ya ndani ambayo ni ya Kiulinzi,Waziri kila siku kabla hajalala lazima afikishe report ya mambo ya usalama wa raia na nchi.Sasa kama alienda safari zote huko Romania huyu Jiwe hakujua??Yaani mpaka unasainiwa mkataba yeye hakuwa na taarifa??

Kama hakuwa anajua lolote,basi hapa tatizo kubwa ni Jiwe na hawa kina Kangi na Andengenye ni "bangusilo" tu.

Inashangaza sana.Ile hotuba ya Rais mwenye vyombo vyote anaishia kulalamika,analialia mbele ya Raia...Mzee kama Rais unatakiwa usilielie,toa suluhisho,ukiona wizara inakutesa ujue wewe pia umeshindwa?Inaposhindwa Wizara ujue na Rais kashindwa...Hii ndio dhana ya "Collective Responsibility"
Mkuu barafu hata kama alijua lakini una uhakika alijua wanafanya ''biashara'' gani? Inaonekana walikuwa wanaaga kwenda kwenye vikao halafu wakafikia mwafaka na wakasaini bila kumshirikisha. Ni kama umemtuma mtoto dukani akaulizie bei madukani ili mje kufanya uamuzi lakini yule mtoto akachukua maamuzi ya kununua ile bidhaa kwa bei ya juu. Rais asingekuwa kichaa kuwaadhibu watu ambao aliwatuma. Hili la kumweka kwenye baraza la mawaziri nakubaliana na wewe. Huyu jamaa hata kwa kumwangalia tu bila kushirikisha rekodi zake anaonekana kabisa ni mtu wa ujanja ujanja!
 
Ilikuwaje Magufuli akamteua mtu aliewahi shitakiwa kwa kula Rushwa ? Ila Magufuli nae anatuangusha sana.
Hili ni swali zuri. Hata mimi Magufuli namkubali sana lakini kwenye uteuzi anatakiwa ajisahihishe sana. Tena kuna wengine bado wako kwenye baraza, ukuu wa mikoa nk. Wamejificha wanajifanya kunyenyekea lakini ni wapigaji kweli kweli.
 
Back
Top Bottom