Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola adaiwa kuwa chini ya ulinzi

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola adaiwa kuwa chini ya ulinzi

huyu na Mwambalaswa na yule Mbunge wa Morogoro Mvomelo,walikutwa na shutuma za rushwa,kesi ikaisha kiajabu ajabu ili kutokukichafua chama,huyohuyo Lugola tena unampa wizara unategemea nini??

actually that's a standard policy of the party: "mbunge wa CCM asibughudhiwe, amefanya mazuri, amefanya mabaya..."

Lugola huwezi kumgusa, ni kada wa kitaifa wa chama.

Wangekuwa serious wanataka kumsulubisha wangetuma polisi wamteke siku tatu, ya nne wangesema hajafa tunae, ya tano angepandishwa Kisutu kwa utakatishaji fedha na kuongoza genge la kimataifa la uhalifu. Dhamana imefungwa.

Ni kada gani wa chama amewahi kutiwa gerezani?
 
Wote waliojibizana na Musiba wanaisoma namba,alianza na wazee ,wakampigia kelele sauti zao zikawekwa mezani wameufyata hadi wakaomba msamaha,Lugola yeye alikuwa anajimwambafay kwa Musiba naye imekula kwakwe,mtashangaa kuona waziri wa kwanza kuwekwa ndani kwa uhujumu uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app

Lugola alinishangaza sana kulumbana na CAG na Kigogo2014
 

Attachments

  • VID-20200123-WA0183.mp4
    2.2 MB
Aliyemdondosha Lugola kimsingi ni Sai'moon! Kumbuka mafahali wawili, hawakai zizi moja.
Kwa muundo wa Sasa, Sai'moon ana madaraka makubwa kuliko waziri ingawa waziri ana cheo kikubwa kuliko Sai'moon!
 
Mungu kajibu maombi ya walokole alikuwa akiwanyanyasa tulimuonya humu.Lugora kaa mbali na kunyanyasa walokole akajitia kichwa ngumu yako wapi? Akaingia kunyanyasa mitume na manabii hadharani kilichomkuta halali yake.Nakala imfikie Sophia Mjema na mkurugenzi wa mji wa Babati .Lugora ananyolewa wao watie maji
We kichwa maji si ulikua unashabikia wew leo unamkana¿Kweli shetani hana rafiki
 
Aliyemdondosha Lugola kimsingi ni Sai'moon! Kuna haja ya kumfanya ei G pee kuwa na kofia mbili... Kumbuka mafahali wawili, hawakai zizi moja.
Kwa muundo wa Sasa, Sai'moon ana madaraka makubwa kuliko waziri ingawa waziri ana cheo kikubwa kuliko Sai'moon!

IGP kureport kwa Rais ni muhimu maana yeye ndie kiongozi mkuu pale polisi na kazi ya waziri ni kusimamia mambo ya sera tu utendaji wa kila siku wa polisi IGP anaufahamu vizuri kuliko waziri ambae kazi yake ni kusimamia sera tu na sio utendaji kimsingi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
We nawe
Mungu kajibu maombi ya walokole alikuwa akiwanyanyasa tulimuonya humu.Lugora kaa mbali na kunyanyasa walokole akajitia kichwa ngumu yako wapi? Akaingia kunyanyasa mitume na manabii hadharani kilichomkuta halali yake.Nakala imfikie Sophia Mjema na mkurugenzi wa mji wa Babati .Lugora ananyolewa wao watie maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine unaweza kupata kazi sana kum-support Jiwe,anafanya mambo kinyumenyume sana mpaka unashindwa kuelewa nia yake hasa katika haya mambo ya rushwa ipo wapi??Maana tukumbuke huyu mtu naye atatoka madarakani,na nchi yetu itabaki.Ina miaka mitano tu mbele...maana ni hakika kwa mfumo wetu,huo mwezi October atashinda tu.

Huyu Kangi Lugola hakupaswa kabisa kuwepo kwenye hilo baraza na hii Wizara,huyu na Mwambalaswa na yule Mbunge wa Morogoro Mvomelo,walikutwa na shutuma za rushwa,kesi ikaisha kiajabu ajabu ili kutokukichafua chama,huyohuyo Lugola tena unampa wizara unategemea nini??

Halafu kwa sasa,ili kiongozi wa Serikali asafiri nje ya nchi,ni lazima awe na kibari cha Kutoka Msajili wa Hazina na Ikulu.Msajili wa Hazina anajiridhisha kuwa safari hiyo ina manufaa kwa nchi na haitaigharimu serikali pesa nyingi,kama safari inahusisha nauli,per diem n.k toka serikalini,msajili lazima ajiridhishe kuwa jambo hilo lina manufaa kwa nchi.

Hawa wa ngazi za kina Kangi Lugola,Katibu Mkuu na wengine wenye uteuzi wa ki-Rais,Mzee lazima ajue wanatoka nje ya nchi.Kwa wizara kama ya Mambo ya ndani ambayo ni ya Kiulinzi,Waziri kila siku kabla hajalala lazima afikishe report ya mambo ya usalama wa raia na nchi.Sasa kama alienda safari zote huko Romania huyu Jiwe hakujua??Yaani mpaka unasainiwa mkataba yeye hakuwa na taarifa??

Kama hakuwa anajua lolote,basi hapa tatizo kubwa ni Jiwe na hawa kina Kangi na Andengenye ni "bangusilo" tu.

Inashangaza sana.Ile hotuba ya Rais mwenye vyombo vyote anaishia kulalamika,analialia mbele ya Raia...Mzee kama Rais unatakiwa usilielie,toa suluhisho,ukiona wizara inakutesa ujue wewe pia umeshindwa?Inaposhindwa Wizara ujue na Rais kashindwa...Hii ndio dhana ya "Collective Responsibility"
Mambo ya usalama ya kumfikishia Rais angeyatoa wapi wakati aliwekeza katika migogoro na Makamanda.
Kwa kuwa Makamanda wana access ya moja kwa moja kwa Mkulu naamini hawakuwa wanampa ushirikiano Bali walitoa wenyewe taarifa moja kwa moja kwa mkulu hivyo yeye akabaki na mikwara yake isiyo na madhara.
 
Wote waliojibizana na Musiba wanaisoma namba,alianza na wazee ,wakampigia kelele sauti zao zikawekwa mezani wameufyata hadi wakaomba msamaha,Lugola yeye alikuwa anajimwambafay kwa Musiba naye imekula kwakwe,mtashangaa kuona waziri wa kwanza kuwekwa ndani kwa uhujumu uchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hawezi kufanywa lolote, atakosa Jimbo tu. Kwenye mikataba ya kibiashara hamna mahali ambapo Waziri anasaini. Anayeingia mkataba ni Afisa Masururi wa Wizara au Taasisi/Shirika.
 
Mungu kajibu maombi ya walokole alikuwa akiwanyanyasa tulimuonya humu.Lugora kaa mbali na kunyanyasa walokole akajitia kichwa ngumu yako wapi? Akaingia kunyanyasa mitume na manabii hadharani kilichomkuta halali yake.Nakala imfikie Sophia Mjema na mkurugenzi wa mji wa Babati .Lugora ananyolewa wao watie maji
Kumbe hua mnajijua ndani hilo tambara bovu ?!.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom