Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Huwezi kujua - kuna wakati anayefanya kazi chini, naweza kudhani yupo chini yako, kumbe ni mkuu wako wa kazi.Mbona Katibu Mkuu wake katunukiwa ubalozi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kujua - kuna wakati anayefanya kazi chini, naweza kudhani yupo chini yako, kumbe ni mkuu wako wa kazi.Mbona Katibu Mkuu wake katunukiwa ubalozi?
Mimi.muumini wa haki za binadamu na Uhuru wa kuabudu chochote kuwa mtu Yuko huru kuabudu chochote hata mavi au mikojo yake kwa mujibu wa katiba ya nchi.Lugora alikuwa akionea mno walokole mjinga mkubwa.Alikuwa anatukana walokole ohhh hiki munachoamini sio yeye Mungu? Maruhuni mkubwa yeye Nani wa kumpangia mtu aamini Nini?
Kuna mambo mengi sana yanachanganya kwenye hii nchiMbona Katibu Mkuu wake katunukiwa ubalozi?
Good comment. Hata wanaume huaga wake zao kwamba wanaenda safari kumbe wako jirani wanauza mechi. Yawezekana hawa jamaa walitumia mbinu hii.Kwani wewe mkeo akikuomba ruhusa anaenda kwenye party ukamruhusu akifanya mapenzi huko kosa linakuwa lako au la kwake? Na ukijua hutachukua hatua dhidi yake kwa kuwa ulimruhusu wewe mwenyewe? Tumia akiri, hata kama aliruhusiwa hakutakiwa kuandaa mikataba ya hovyo.
Naombeni kujua zilipo ofisi za takukuru nataka akifika tu getini nimwombe ilani yetu, asijeinajisi bureAliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola aitwa na TAKUKURU kwa ajili ya mahojiano juu ya tuhuma za kuingia mkataba wa kimangungo wa zaidi ya Shilingi Trillioni moja.
View attachment 1339964
Aliyekuwa Waziri wa mambo ya ndani Kangi Alphaxard Lugola
Hii nchi ni maskini kwa sababu tuna deal na mambo ya kijinga. Hivi lugola angeweza kusaini huo mkataba bila magufuli kujua kweli?
Ama kweli trump hakukosea.
Na tukiendelea hivi tutabaki hapa hapa tulipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli hajawahi nyanyasa watu kwa imani zao za kidini wakiwemo walokole.Ni lini ulimsikia akionea walokole au Waislamu au mtu yeyote kwa imani yake ya kidini Kama alivyofanya Lugora waziri wa mambo ya ndani,au Sophia Mjema mkuu wa wilaya ya Ilala au mkurugenzi wa babati mjini?
Kwa akili yako unaamini waziri anaweza saini mkataba bila rais kujua?Magufuli hajawahi nyanyasa watu kwa imani zao za kidini wakiwemo walokole.Ni lini ulimsikia akionea walokole au Waislamu au mtu yeyote kwa imani yake ya kidini Kama alivyofanya Lugora waziri wa mambo ya ndani,au Sophia Mjema mkuu wa wilaya ya Ilala au mkurugenzi wa babati mjini?
Lugola anajua kucheza political games.Alikuwa akimsifia sana raisi bungeni hivyo raisi alihadaiwa na ujanja wa Lugola .Msiba nae anacheza political game, kuna siku atateuliwa.Mtu aliywmewahi kuwa na mashitaka ya rushwa hakupaswa kuwa waziri in the first place.
Mteuaji hayupo makini au ana sababu zake binafsi za kufanya hivyo.
Nilishangaa sana Kangi kuteuliwa kuwa waziri. Hafai!
Iyo ni kampeni ya CCM, mnaangaika na kampeniAliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola hivi sasa yupo chini ya ulinzi unaomfanya asiweze kusafiri sehemu yoyote bila Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kuwa na taarifa.
Lugola alitenguliwa wadhifa wake baada ya kuhusishwa na mkataba wa kifisadi wa zaidi ya shilingi trilioni 1 wa ununuzi wa vifaa vuya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.
Hata hivyo, siku chache zilizopita wakati Rais Magufuli akiwaapisha mawaziri na mabalozi aliowateua alikabidhi suala hilo kwa TAKUKURU kwa hatua zaidi na kuisihi mamlaka hiyo kutowaonea huruma waliohusika.
Imeelezwa kuwa maagizo hayo yamekuwa mwiba zaidi kwa Lugola ambaye inaelezwa kuwa kwa sasa anafuatiliwa kwa karibu na vyombo vya usalama.
“Lugola yupo kwenye wakati mgumu sana, kwanza hajui hatma yake, yaani wale aliokuwa akiwapa amri hivi sasa ndiyo wanampa amri na kumchunguza”
“Yupo chini ya ulinzi kila anapokwenda na anachofanya ni lazima kijulikane, yale maisha ya kujimwambafai hayapo tena, sina hakika kama hata vikao vya bunge vilivyoanza jana atashiriki kikamilifu” chanzo kimoja kimelieleza Tanzania Daima.
Hata hivyo imeelezwa kuwa Kangi Lugola hakuonekana jana katika ufunguzi wa vikao vya bunge, jambo lililozua maswali kadhaa, mojawapo likiwa ni kama amekwenda Dodoma au yupo Dar kwa mahojiano na vyombo vya dola.
Siku chache zilizopita Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brig. Jen. John Mbung’o alisema uchunguzi huo umeanza kama sehemu ya utekelezaji wa maelekezo ya Rais Magufuli.
Mbung’o alisema wataanza kupata nyaraka zinazohusu mkataba huo na kuhoji kila anayejua na aliyeshiriki katika mchakato wa mkataba huo, ikifuatiwa na kuwahoji watuhumiwa.
Chanzo: Tanzania Daima
Issue sio kusaini ni kufuata procedures. Kama hazijui angeuliza wataalamu wa fedha na utawala wamwambie .Magereza kitengo Cha fedha na utawala wKo vizurl mno ninaongea kwa uhakika Nilishawahi pewa assignment ya nikiwa private company ku check weakness and strength ya ile idara na kutoa recommendations .In short wako vizuri ila waziri atakuwa hakuwajali akijiona yeye waziri sanaaaaa!!!!!!!uwiii mbavu zangu mimiKwa akili yako unaamini waziri anaweza saini mkataba bila rais kujua?
Hujajibu swali..Issue sio kusaini ni kufuata procedures. Kama hazijui angeuliza wataalamu wa fedha na utawala wamwambie .Magereza kitengo Cha fedha na utawala wKo vizurl mno ninaongea kwa uhakika Nilishawahi pewa assignment ya nikiwa private company ku check weakness and strength ya ile idara na kutoa recommendations .In short wako vizuri ila waziri atakuwa hakuwajali akijiona yeye waziri sanaaaaa!!!!!!!uwiii mbavu zangu mimi
Hivi Mzee wa "hata nyasi tutakula" Bazir Pesambili Mramba alikuwa ni mkuu wa mkoa gani vile?Wote waliojibizana na Musiba wanaisoma namba,alianza na wazee ,wakampigia kelele sauti zao zikawekwa mezani wameufyata hadi wakaomba msamaha,Lugola yeye alikuwa anajimwambafay kwa Musiba naye imekula kwakwe,mtashangaa kuona waziri wa kwanza kuwekwa ndani kwa uhujumu uchumi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio lugumi staili?Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola aitwa na TAKUKURU kwa ajili ya mahojiano juu ya tuhuma za kuingia mkataba wa kimangungo wa zaidi ya Shilingi Trillioni moja.
View attachment 1339964
Aliyekuwa Waziri wa mambo ya ndani Kangi Alphaxard Lugola
Labda kwenye sehemu ya per diem walijaza sifuri...kwamba watatumia mishahara yao.Tatizo liko wapi!Halafu kwa sasa,ili kiongozi wa Serikali asafiri nje ya nchi,ni lazima awe na kibari cha Kutoka Msajili wa Hazina na Ikulu.Msajili wa Hazina anajiridhisha kuwa safari hiyo ina manufaa kwa nchi na haitaigharimu serikali pesa nyingi,kama safari inahusisha nauli,per diem n.k toka serikalini,msajili lazima ajiridhishe kuwa jambo hilo lina manufaa kwa nchi.
Walifanya Siri bunge bajeti wakipitisha haina hayana maelezo ya kiundani kuwa ohh manunuzi ya vifaa vya zimamoto!!!! Wait walivyo wajinga wakajiua bajeti imepita waweza endelea na mchakato wao ndani kwa ndani kimya kimya wakasahau kuwa Kuna Sheria ya manunuzi!!!!!! Inatakiwa ifuatwe !!!! Wslidanganyana!!!!Hujajibu swali..
Soma uelewe!
Kwa akili yako unaamini waziri anaweza saini mkataba bila rais kujua?