kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Duniani kote hata nchi zilizoendelea matukio kama yale yapo. Rooney ni mchezaji mkubwa sana duniani hivyo tukio lile la mahaba na upendo kwa Rooney limetangazwa kwenye luninga duniani kote. Pia limempa kick hata Rooney mwenyewe na aibu kwa Morihno kwa kumuacha mchezaji mwenye hadhi ya aina ile.