Aliyempiga misumali Kichuya na Mavugo inatosha, mtatuua mashabiki

Aliyempiga misumali Kichuya na Mavugo inatosha, mtatuua mashabiki

Kupigana misumari mbona kumo, muulizeni Torres alivyohamia ChelseaFC kilichomkuta!!

Mavugo rudi kwenu ukaage hapa ni Bongo Daresalama jiji la Wazaramo, ingia kwa hodi brazaa.
 
Uzi unajieleza.

Kama kuna mtu amempiga misumari kijana wetu mahiri Shiza Kichuya na Muvugo, basi inatosha jamani, mashabiki tunaumia sana. Tunakwenda kwenye mabanda ya kutizama mpira tukiwa hatuna raha kabisa. Mkishinda kagoli kamoja mnamshukuru Mungu.

Hawa vijana wako vizuri sana, ukiwaona uwanjani wanavyohaha kurudisha imani kwa sisi mashabiki unaona kabisa kwamba wamefungwa miguu.

Tuacheni na sisi tufurahi kidogo katika kipindi hiki kilichobaki, wewe mpiga misumari fikiria toka mwaka gani hatujachukua kombe hili

INAUMA
Waulize wamatopeni unawezaje kumuacha mtu aliyefunga goli 19 msimu uliopita ambaye ni hamis kiiza!!!!!!!

Unaweza kubadili dini,uraia,

Ugumu ukowapi kubadili usimba kuja Young african wakimataifa!!!!!

Toka huko usife kwa stress

Whatch out

1.Msuva-10 goal
2.Tambwe-9 goal
3.Ngoma-9 goal
4.Chirwa-8goal

Ahhaaaa hata utumishi wamesitisha ajira lakini yanga wananiondolea stress za kusubiri ajira.
 
[emoji1] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] wabaki wabaya
 
Uzi unajieleza.

Kama kuna mtu amempiga misumari kijana wetu mahiri Shiza Kichuya na Muvugo, basi inatosha jamani, mashabiki tunaumia sana. Tunakwenda kwenye mabanda ya kutizama mpira tukiwa hatuna raha kabisa. Mkishinda kagoli kamoja mnamshukuru Mungu.

Hawa vijana wako vizuri sana, ukiwaona uwanjani wanavyohaha kurudisha imani kwa sisi mashabiki unaona kabisa kwamba wamefungwa miguu.

Tuacheni na sisi tufurahi kidogo katika kipindi hiki kilichobaki, wewe mpiga misumari fikiria toka mwaka gani hatujachukua kombe hili

INAUMA
Noma sana ! Hivi mtu unamroga binadamu mwenzio asifanikiwe ili iweje ?
 
Ila okw boban sunzu usihofu sana mwaka huu tutaachia tu kombe kwa kuwahurumia hata kama tutazidi points..wanasema kizuri kula na nduguyo.
 
Kakusikia banaaa, Mavugo Kapiga goli bora la 2017
 
Back
Top Bottom