Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Rematch ipo jamaa Tena 100% izo ni biashara za watuanadai kuna re match sidhani hata kama sky boxing watahangaika naye tena labda alilete Tanzania kwenye ukumbi wa disco pale masaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rematch ipo jamaa Tena 100% izo ni biashara za watuanadai kuna re match sidhani hata kama sky boxing watahangaika naye tena labda alilete Tanzania kwenye ukumbi wa disco pale masaki
sidhani kama itakuwa ni pambano kuu labda la utangulizi jana watu wamedai hadi warudishiwe hela zao, labda kuwe na mabondia wenye akili timamu wanapigana siku hiyo halafu hawa wajinga wawili wacheze la utanguliziRematch ipo jamaa Tena 100% izo ni biashara za watu
awe anapigania chumbani kwake sasa siyo hadharani na asisumbue watanzania eti wamuombee , ajiombee mwenyewe ya kwake yabaki kuwa ya kwakeMambo yake muachie mwenyewe...
anzishia uzi kuhusu simba na stars kuuuza mechi, umeandika vitu irrelevant kabisa, ungekuwa unajua kiingereza ungesoma hayo maneno ya pundits wa boxing wa sky boxing...HE DIVED..alijirusha , ngoja nikutafsirie kwa kiswahili na maneno ya bingwa wa zamani wa WBA Anthony Crolla akielezea upuuzi wa jana ungeelewaKwa hiyo Stars nao waliuza gemu , Simba nao..huyo Mwakinyo kapigwa tu kwani yeye nani asipigwe.