Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I doubtAm smart too.
sijui wanataka apite anganiUnataka kutuambia akizuiwa kufanya kampeni asiende sokoni kununua mahitaji yake au NEC watakuwa wanamnunulia.
soon utasikia wamevunja sheriaAsante ITV, wamerusha tour ya Lissu leo kuanzia mwendo kasi hadi kariakoo.
kwaio mnataka akae ajifungie ndani?Lisu ana kiburi, makusudi na ujuaji
Dawa ya wakaidi mithili ya Lisu ni kuchukuliwa hatua zaidi na zaidi
#NIYEYE LISSU ni kiboko ya ViChaa na WendaWazimu wa Lumumba.
Ni kosa kupanda mwendokasi...kununua maparachichi?? au kwenye kuzuiliwa paliandikwa hata asiende kununua mahitaji ya nyumbani kwake? Useless kabisa [emoji57][emoji57]Lisu ana kiburi, makusudi na ujuaji
Dawa ya wakaidi mithili ya Lisu ni kuchukuliwa hatua zaidi na zaidi
.Ukiwa ccm automatically IQ ina drop hata uwe profesa,mifano ni mingi mcheki Kitila anavyoongea shudu za maana....
Lisu ana kiburi, makusudi na ujuaji
Dawa ya wakaidi mithili ya Lisu ni kuchukuliwa hatua zaidi na zaidi
Na bado. Lazima muwehuke mwaka huu!! Huyo ndo Tundu Antiphas Lissu, kila mnalomfanyia ndo mnazidi kumpandisha zaidi 😂😂