Serikalini sio kwamba hakuna wanasheria wenye uwezo kutafsiri definition ya ‘campaign’ na kuangalia ‘literal intention’ ya adhabu aliyopewa au hata ‘the purposive approach’ of the sanction aliyopewa.
Unapofanya ziara ya ‘charm offence’ (kama anachofanya Lissu) that is another definition of campaign na wewe umeshazuiwa kufanya campaign; there are no complications of applying a golden rule hapo it is straight forward by definition unakaidi amri.
The guy is just sick he only has the luxury of breaking the law because of government pity considering his past plight, lakini sio kwamba anaijua sheria kuliko mawakili wa serikali.