Uchaguzi 2020 Aliyemshauri Lissu baada ya kuadhibiwa na NEC anaweza kuendelea na shughuli za chama amemshauri vibaya

Tusiyumbishane waTanzania.
NEC tunawaombeni muandae MDAHALO wa wagombea URAIS wote haraka iwezekanavyo tuwasikilize ndipo tuwe na maMuzi. Hii zuia zuia mara mapumziko ni ujanja ujanja tu. Na wawe live bila kukatakata mdahalo huo.
 
Kama Tundu Lissu ameshauriwa vibaya si ndio itakuwa faida kwenye CCM?Badala ya kufurahi mpinzani wako ameshauriwa vibaya wewe upate faida,kwanini unakuja kulialia hapa ?
 

Hebu ngoja tuangalie kauli za Mkuu mmoja mnyenyekevu na anaependa kujishusha mbele za watu:

Wananchi:Mzee huku Geita tuna janga la njaa.

Mh:Mlitaka mimi nije niwapikie.

Suala la Korosho:

Mh:Mngewaacha wajiletee kimbelembele,ningepiga shangazi zake.

Wananchi:Tunasubiri kujua hatma yetu khs janga hili la tetemeko mzee.

Mh:Nyie wa bukoba mtetemeke tu,serikali haikuleta tetemeko hapa.

Wananchi:Mzee pesa ya kupanda pantoni ni nyingi?

Mh😛igeni Mbizi
 
Lisu ana kiburi, makusudi na ujuaji

Dawa ya wakaidi mithili ya Lisu ni kuchukuliwa hatua zaidi na zaidi
Ili upambane na Ukaidi,ni vyema nawe ukawa mkaidi kwa mambo kadhaa.
 
Lissu anayajua hayo yote anatumia loop holes za watunga sheria kuwafundisha sheria hapa ametengeneza precedent ambayo hawakuitarajia ni jambo la kufikirisha kisheria, serikali yetu haina watu makini.
Hiyo advantage wanayo pia ccm na huitumia vyema na pengine kwa kuifuja kabisa. Kwakuwa mgombea wao ndo rais na hatuwezi kumtenga na urais, basi gharama na uratibu shughuli zake hubebwa na serekali, chama kinaongezea tu.
 
Wanaotaka asitoke naona wanalinganisha adhabu alipewa kuwa sawa na kifungo cha nyumbani, kitu ambacho si sahihi. Imenikumbusha kule Uganda Mseveni alipombana mpinzani wake kwa kumnyima upenyo wa kufanya siasa, Besigye akabuni alibuni kitu kinacho itwa "walk to work" iliyopa umaarufu mkubwa. Watu waliunga mkono mkono wakawa wanatembea kwa mguu kwenda makazini.
Matokeo yake jamaa alipigwa kifungo cha nyumbani rasmi.
 
Amesimamishwa kufanya kampeni ya uraisi na sio shughuli za siasa. Ili asimpiku mgombea wa ccm yaani amelazimishwa kupumzika ili kupunguza speed
 
Nyie mlivyompiga risasi ndo mlijishusha sio??
 
Kuna tofauti ya kujifanya unajua sana na kuwa unajua sana.
 
Lissu hakuwekwa kizuizini asitoke nje. Hakuambiwa asitoke au asiende popote. Sasa ukaidi ni upi. Mbona watu wapenda sana kujenga hoja za kiwivu wivu tu.
Ina maana angeenda kujifungia ndani aangalie TBC1

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Umepanic! Lissu amezuiwa kufanya kampeni. Hayo mengine ni kanuni zenu za chumbani za Uchaguzi
 
Wewe huoni hili limeua hoja yako nzima, au huelewi?
 
Hayo ndiyo mawazo yako, Kama Ni nafsi basi hata kulala asilale maana Ni mgombea. Tofautisha kupanda jukwaani kuomba kura na kuongea na wanachama wako.
 


Umemnsikiliz ajana mwenyekiti wa Tume ya madili waliompa adhabu jana ? au unakurupuka tu?
 
Lissu anayajua hayo yote anatumia loop holes za watunga sheria kuwafundisha sheria hapa ametengeneza precedent ambayo hawakuitarajia ni jambo la kufikirisha kisheria, serikali yetu haina watu makini.
Hata kama asiposhinda ila tundu Lisu ametufundisha ujasiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…