Uchaguzi 2020 Aliyemshauri Lissu baada ya kuadhibiwa na NEC anaweza kuendelea na shughuli za chama amemshauri vibaya

Vipi kuhusu Majaliwa, ni waziri mkuu au ni mjumbe wa kamati kuu?
 
Kuna tofauti ya kujifanya unajua sana na kuwa unajua sana.

lissu anajifanya anajua sana, hata hio sheria mwisho wake amepigwa ban, na kwa tuliosomea uchumi tunamuona kama boya tu! sasa ndo kujifanya mjuaji kumbe boya tu, madhara yake ndo haya anaenda kwenye kampeni anakoswa na mawe
 

what about huyu: Polisi ni majinga ( huyu ndo matusi kamezeshwa): atleast Mbowe hajajishushia heshima yake uchaguzi huu maaana nakumbuka alivojitoa kwa ajili ya lowasa alimpigia kampeni kisawasawa, sasa huyu sjui anakwama wap
 
Ndio,tukane wewe uone kama watakuacha policcm


mnashindwa siasa na katoto kadogo kama haka! angalia comments wote ccm + chadema wamemuafiki, hakuna aliempinga hakuna mtu kampinga:

sasa wengine imebidi mfunge comment section kabisa maaana wananchi watawanyoosha: alafu eti mnasema mtatetea uhuru wa kujielezea . hamjaingia hata kwenye uchaguzi mshafunga comment section
 
Ukijua sheria nayo sheria itakuweka huru kweli kweli ni hayo tu

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
 
Haituhusu
 
Ushauri wako ni mzuri ila ameshachelewa... leo nimepita sokoni mabibo wafanya biashara wana wanamchekaaaa wanasema kajawa dharau yule

Nikawaambia wazee wangu hayo maneno msubirini akija mmwambie[emoji847][emoji847]
Yaaani utarajie kabisaaaa mataga aseme tofauti mabibo ipi wewe unayosema wanamcheka mnafiki hana tofauti na mchawi

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
 

Kwa hiyo mkuu kujiridhisha tu:

Je umeona kuwa Lissu kwa kuendelea na shughuli zake zingine anakuwa anakuwa haipati adhabu yake vilivyo?

Kwa hiyo kwa bandiko lako hili sasa uko hapa kumwelekeza na kumshauri Lissu vilivyo ili adhabu hiyo ikapate kumwadabisha vilivyo?

Hiiiii bagosha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…