Uchaguzi 2020 Aliyemshauri Rais Magufuli alipatia, Kama asingezuia shughuli za kisiasa kwa muda wa miaka 5, uchaguzi huu angeshindwa vibaya sana

Uchaguzi 2020 Aliyemshauri Rais Magufuli alipatia, Kama asingezuia shughuli za kisiasa kwa muda wa miaka 5, uchaguzi huu angeshindwa vibaya sana

Kwa hiyo wewe Kama hautaki wasomi waajiriwe unataka kila msomi akimaliza ajiajiri, Kama ikiwa hivo piga picha baada ya miaka kumi kila mtu atakuwa mtaani kuuza nyanya, au kufanya ujasiriamali, Je hapo ndo nchi itakapoendelea? Mfano mtaa mzima wote mnauza nyanya au wote Ni wajasiriamali.
Wewe kwa uelewa wako ujasiriamali ni kuuza nyanya tu.? Ok. Hata hiyo sawa.
Wewe ukiuza nyanya, mimi nafuga samaki, yule analima .

Jiulize tu kuwa unaweza kuwaajiri wasomi wote wapi?

Viwanda vinavyojengwa ni vya kiteknolojia
Wimbi la kukosa ajira ni global kwa sababu teknolojia imebalidilika.

Lkn maana unaaminishwa na wana siasa utapata ajira endelea
 
Angeruhusu angejua mbinu za upinzani mapema angejua jinsi ya kujihami. Sasa hivi tumebaki na ‘jogoo hoyee’.
Angeruhusu asingemaliza miaka mitano ya muhula wa kwanza madarakani.
Kulipangwa vurugu kila kona (civil unrest) ili upatikane uhalali wa kumuondoa na wageni kuingilia mambo yetu ya ndani, ndiyo maana ulisikia ndoto kama za "hatamaliza muda wake .." za akina nanii zile zilizofia gereza la Kisongo.
 
Najaribu kuwaza Kama tokea 2015 Rais Magufuli angeruhusu shughuli za kisiasa kuendelea Kama ilivyokuwa kipindi Cha nyuma, na hivyo Wapinzani kupata fursa ya kufanya mikutano ya kisiasa Mara kwa Mara ili kuwaambia wananchi juu ya madudu ambayo yamefanyika ndani ya miaka 5, Basi uchaguzi wa mwaka huu Magufuli angeshindwa vibaya sana.

Alicheza karata zake vizuri, ingawa pamoja na Kwamba wapinzani wote walizibwa midomo, wakafungwa kamba wasifanye siasa, na hivyo yeye pekee kuzunguka nchi nzima kuwaeleza wananchi Yale anayoyafanya, lakini bado inaonyesha watu wanataka mabadiliko.

Upinzani unaonekana kupokelewa kuliko kawaida. Pamoja na kwamba watu wamepigwa swaga za madaraja, barabara, Ndege n.k lakini wanataka maisha Bora, ajira na huduma nzuri za afya, vitu ambavyo wamevikosa katika awamu hii.
Bado gharama za maamuzi hayo zipo pale pale apende asipende.Tuanaenda kumwaga Pombe yote na kuvunja vyungu na mitungi yake,No more Pombe for Tanzanians please we are going to chase Pombe and it's brewers-CCM &Elect our True Leaders who will Glorify Tanzania for what it deserves.
 
Najaribu kuwaza Kama tokea 2015 Rais Magufuli angeruhusu shughuli za kisiasa kuendelea Kama ilivyokuwa kipindi Cha nyuma, na hivyo Wapinzani kupata fursa ya kufanya mikutano ya kisiasa Mara kwa Mara ili kuwaambia wananchi juu ya madudu ambayo yamefanyika ndani ya miaka 5, Basi uchaguzi wa mwaka huu Magufuli angeshindwa vibaya sana.

Alicheza karata zake vizuri, ingawa pamoja na Kwamba wapinzani wote walizibwa midomo, wakafungwa kamba wasifanye siasa, na hivyo yeye pekee kuzunguka nchi nzima kuwaeleza wananchi Yale anayoyafanya, lakini bado inaonyesha watu wanataka mabadiliko.

Upinzani unaonekana kupokelewa kuliko kawaida. Pamoja na kwamba watu wamepigwa swaga za madaraja, barabara, Ndege n.k lakini wanataka maisha Bora, ajira na huduma nzuri za afya, vitu ambavyo wamevikosa katika awamu hii.
Kijana umewahi kumsikia Augustine Lyatonga Mrema??, Kwa taarifa yako hakuna mpinzani aliyewahi kuvuta hisia za wananchi Kama yeye kwenye upinzani, kwa kukusaidia tu unaowaona Kama wapinzani kwa Sasa ni wajasiriamali tu.
 
Kijana umewahi kumsikia Augustine Lyatonga Mrema??, Kwa taarifa yako hakuna mpinzani aliyewahi kuvuta hisia za wananchi Kama yeye kwenye upinzani, kwa kukusaidia tu unaowaona Kama wapinzani kwa Sasa ni wajasiriamali tu.
Bado unaishi kwaa stroy za miaka ya tisini? Hahahhahahahaha
 
Yes. Angalau saaizi anaweza kupata hata 10% lakini kufanya siasa zingekua wazi kwa miaka 5 iliyopita basi asingeambulia chochote
 
Ameongea mambo yaleyale kwa miaka 5 peke yake , huku akikaripia na kutukana , ni yupi atapoteza muda wake kumsikiliza wakati wa Kampeni ? labda ahutubie polisi
FB_IMG_1549781877339.jpg
 
Back
Top Bottom