Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Wewe kwa uelewa wako ujasiriamali ni kuuza nyanya tu.? Ok. Hata hiyo sawa.Kwa hiyo wewe Kama hautaki wasomi waajiriwe unataka kila msomi akimaliza ajiajiri, Kama ikiwa hivo piga picha baada ya miaka kumi kila mtu atakuwa mtaani kuuza nyanya, au kufanya ujasiriamali, Je hapo ndo nchi itakapoendelea? Mfano mtaa mzima wote mnauza nyanya au wote Ni wajasiriamali.
Wewe ukiuza nyanya, mimi nafuga samaki, yule analima .
Jiulize tu kuwa unaweza kuwaajiri wasomi wote wapi?
Viwanda vinavyojengwa ni vya kiteknolojia
Wimbi la kukosa ajira ni global kwa sababu teknolojia imebalidilika.
Lkn maana unaaminishwa na wana siasa utapata ajira endelea