Aliyemshauri Rais Samia aseme yeye ni ‘Chura Kiziwi’ alimpotosha

Aliyemshauri Rais Samia aseme yeye ni ‘Chura Kiziwi’ alimpotosha

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Kutokana na kauli hiyo leo Rais anachelea kuchukua hatua au kukemea maovu yanayofanywa na wasaidizi wake ili asionekane hana msimamo kwenye matamshi yake kuwa ‘Yeye ni Chura Kiziwi’.

Kwa kutokukemea kwake na kutochukua hatua inaonekana yote yanayotendeka yana baraka zake.

Kuwa, yeye ndiye anayewatuma polisi kuwatesa wananchi, kuwateka, kuwabaka na kuwaua, yeye ndiye anayeuza raslimali za taifa zikiwemo Bandari, kuwa yeye ndiye yuko nyuma ya mgogoro wa wamasai, yeye yuko nyuma ya wafanyabiashara kuonewa na TRA nk.

Kwa kifupi kila uchafu unaofanywa na wasaidizi wake ikiwemo kuvunja sheria na katiba waziwazi kuwa yeye huwa anabariki.

Matokeo ya kuwa Chura Kiziwi ni nini, ni kuchochea hasira za wananchi kwake binafsi na familia yake kwa vile wananchi wataona hata waliyedhani atakuwa mfariji wao mkuu hawasikilizi. Waliomshauri wao wanachekea chooni.

Sijui hasa lengo la waliomshauri kutowasikiliza wananchi (siasa ni mchezo mchafu), hili litaipa CCM wakati mgumu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na hata yeye binafsi kama ataamua kugombea 2025, hata kama waliomuingiza ‘Chaka’ wanamfariji kwa kumwambia asijali ‘matokeo ya uchaguzi tuachie sisi’.

Mjini Akili Hakuna Shamba.
 
Ngoja kwanza nilale
 

Attachments

  • FB_IMG_1724258363878.jpg
    FB_IMG_1724258363878.jpg
    33.3 KB · Views: 4
Kutokana na kauli hiyo leo Rais anachelea kuchukua hatua au kukemea maovu yanayofanywa na wasaidizi wake ili asionekane hana msimamo kwenye matamshi yake kuwa ‘Yeye ni Chura Kiziwi’.

Kwa kutokukemea kwake inaonekana yote yanayotendeka yana baraka zake.

Kuwa, yeye ndiye anayewatuma polisi kuwatesa wananchi kuwateka, kubaka na kuua, yeye ndiye yuko nyuma ya mgogoro wa wamasai, yeye yuko nyuma ya wafanyabiashara kuonewa na TRA nk.

Kwa kifupi kila uchafu unaofanywa na wasaidizi wake ikiwemo kuvunja sheria na katiba waziwazi kuwa yeye huwa anabariki.

Matokeo ya kuwa Chura Kiziwi ni kuchochea hasira za wananchi kwake binafsi na familia yake kwa vile wananchi wataona hata waliyedhani atakuwa mfariji wao hawasikilizi. Waliomshauri wao wanachekea chooni.

Sijui hasa lengo la waliomshauri kutowasikiliza wananchi (siasa ni mchezo mchafu), lkn hili litamletea matatizo makubwa wakati wa uchaguzi kama ataamua kugombea, hata kama waliomuingiza ‘Chaka’ wanamfariji kwa kumwambia asijali ‘matokeo ya uchaguzi tuachie sisi’.
1724296437478.png

1724296483701.png
 
Kutokana na kauli hiyo leo Rais anachelea kuchukua hatua au kukemea maovu yanayofanywa na wasaidizi wake ili asionekane hana msimamo kwenye matamshi yake kuwa ‘Yeye ni Chura Kiziwi’.

Kwa kutokukemea kwake inaonekana yote yanayotendeka yana baraka zake.

Kuwa, yeye ndiye anayewatuma polisi kuwatesa wananchi kuwateka, kuwabaka na kuwaua, yeye ndiye anayeuza raslimali za taifa zikiwemo Bandari, kuwa yeye ndiye yuko nyuma ya mgogoro wa wamasai, yeye yuko nyuma ya wafanyabiashara kuonewa na TRA nk.

Kwa kifupi kila uchafu unaofanywa na wasaidizi wake ikiwemo kuvunja sheria na katiba waziwazi kuwa yeye huwa anabariki.

Matokeo ya kuwa Chura Kiziwi ni kuchochea hasira za wananchi kwake binafsi na familia yake kwa vile wananchi wataona hata waliyedhani atakuwa mfariji wao hawasikilizi. Waliomshauri wao wanachekea chooni.

Sijui hasa lengo la waliomshauri kutowasikiliza wananchi (siasa ni mchezo mchafu), lkn hili litamletea matatizo makubwa wakati wa uchaguzi kama ataamua kugombea, hata kama waliomuingiza ‘Chaka’ wanamfariji kwa kumwambia asijali ‘matokeo ya uchaguzi tuachie sisi’.
Kuna genge linamtengenezea mweleka '25 nashangaa hajalishtukia
 
Kutokana na kauli hiyo leo Rais anachelea kuchukua hatua au kukemea maovu yanayofanywa na wasaidizi wake ili asionekane hana msimamo kwenye matamshi yake kuwa ‘Yeye ni Chura Kiziwi’.

Kwa kutokukemea kwake na kutochukua hatua inaonekana yote yanayotendeka yana baraka zake.

Kuwa, yeye ndiye anayewatuma polisi kuwatesa wananchi, kuwateka, kuwabaka na kuwaua, yeye ndiye anayeuza raslimali za taifa zikiwemo Bandari, kuwa yeye ndiye yuko nyuma ya mgogoro wa wamasai, yeye yuko nyuma ya wafanyabiashara kuonewa na TRA nk.

Kwa kifupi kila uchafu unaofanywa na wasaidizi wake ikiwemo kuvunja sheria na katiba waziwazi kuwa yeye huwa anabariki.

Matokeo ya kuwa Chura Kiziwi ni nini, ni kuchochea hasira za wananchi kwake binafsi na familia yake kwa vile wananchi wataona hata waliyedhani atakuwa mfariji wao mkuu hawasikilizi. Waliomshauri wao wanachekea chooni.

Sijui hasa lengo la waliomshauri kutowasikiliza wananchi (siasa ni mchezo mchafu), hili litaipa CCM wakati mgumu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na hata yeye binafsi kama ataamua kugombea 2025, hata kama waliomuingiza ‘Chaka’ wanamfariji kwa kumwambia asijali ‘matokeo ya uchaguzi tuachie sisi’.

Mjini Akili Hakuna Shamba.
Misemo ya KIFEDHURI kwa watu wa pwani ni kawaida, mama ni Mtu wa taarabu sana na mipasho kama madada wa mitaani tu.😅
 
Atashtuka ikiwa too late
Alijigamba sana kipindi kile kachukua nchi kuwa Dkt Magufuli alikuwa simba wa yuda, watu tukamwambia Mama hapana hizo zilikuwa fitina zilitengenezwa na wabaya wa Dkt Magufuli ila hakuelewa kabisa. Ila now nadhani sasa anajionea jinsi anavyotukanwa. Yaani hata kipindi kile cha mwanzo alivyochukua nchi tukamwambia Dkt Samia zuia Dkt Magufuli asidhalilishwe, asitwezwe na kutukanwa akiwa ktk umauti wala hakusikiliza na yeye akawa anaongezea vijembe na kauli zenye dhihaka hahaha leo mpaka familia yake inaona aibu kujitambulisha na bado, watanzania wana hasira sana na kutukaniwa marehemu Dkt Magufuli. Na hakika Damu yake itadai damu nyingine nyingi maana inalalamika mpaka leo kaburini
 
Huyu
Kutokana na kauli hiyo leo Rais anachelea kuchukua hatua au kukemea maovu yanayofanywa na wasaidizi wake ili asionekane hana msimamo kwenye matamshi yake kuwa ‘Yeye ni Chura Kiziwi’.

Kwa kutokukemea kwake na kutochukua hatua inaonekana yote yanayotendeka yana baraka zake.

Kuwa, yeye ndiye anayewatuma polisi kuwatesa wananchi, kuwateka, kuwabaka na kuwaua, yeye ndiye anayeuza raslimali za taifa zikiwemo Bandari, kuwa yeye ndiye yuko nyuma ya mgogoro wa wamasai, yeye yuko nyuma ya wafanyabiashara kuonewa na TRA nk.

Kwa kifupi kila uchafu unaofanywa na wasaidizi wake ikiwemo kuvunja sheria na katiba waziwazi kuwa yeye huwa anabariki.

Matokeo ya kuwa Chura Kiziwi ni nini, ni kuchochea hasira za wananchi kwake binafsi na familia yake kwa vile wananchi wataona hata waliyedhani atakuwa mfariji wao mkuu hawasikilizi. Waliomshauri wao wanachekea chooni.

Sijui hasa lengo la waliomshauri kutowasikiliza wananchi (siasa ni mchezo mchafu), hili litaipa CCM wakati mgumu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na hata yeye binafsi kama ataamua kugombea 2025, hata kama waliomuingiza ‘Chaka’ wanamfariji kwa kumwambia asijali ‘matokeo ya uchaguzi tuachie sisi’.

Mjini Akili Hakuna Shamba.
Chura Kiziwi anaitesa nchi kweli kweli.
 
Alijigamba sana kipindi kile kachukua nchi kuwa Dkt Magufuli alikuwa simba wa yuda, watu tukamwambia Mama hapana hizo zilikuwa fitina zilitengenezwa na wabaya wa Dkt Magufuli ila hakuelewa kabisa. Ila now nadhani sasa anajionea jinsi anavyotukanwa. Yaani hata kipindi kile cha mwanzo alivyochukua nchi tukamwambia Dkt Samia zuia Dkt Magufuli asidhalilishwe, asitwezwe na kutukanwa akiwa ktk umauti wala hakusikiliza na yeye akawa anaongezea vijembe na kauli zenye dhihaka hahaha leo mpaka familia yake inaona aibu kujitambulisha na bado, watanzania wana hasira sana na kutukaniwa marehemu Dkt Magufuli. Na hakika Damu yake itadai damu nyingine nyingi maana inalalamika mpaka leo kaburini
Hakuna mtanzania timamu anayeumia kusemwa magu..
Yule MTU alkkuwa katili sana.
Ila Mungu aliamua ugomvi wetu
 
Back
Top Bottom